Cha asubuhi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 1,549
- 2,279
Hii ndio mwanza [emoji1787][emoji1787]Compare and contrast
Arusha SkylineView attachment 2675329
Vs
Mwanza Skyline View attachment 2675332View attachment 2675333
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio mwanza [emoji1787][emoji1787]Compare and contrast
Arusha SkylineView attachment 2675329
Vs
Mwanza Skyline View attachment 2675332View attachment 2675333
Na bado Capri point inavutia kuliko hizo slum za ghorofa hapo Arusha[emoji1787][emoji1787][emoji1787] leo arusha imeiweka ligi moja na capripoint+posta
Nimecheka sana kuona jamaa kuchukua picha za posta na Capri na bado kapigwa chini[emoji1787][emoji1787]Na bado Capri point inavutia kuliko hizo slum za ghorofa hapo Arusha
Picha yake ya Arusha kapiga CBD asilimia 95..wakati mwanza ni just 50 percentNimecheka sana kuona jamaa kuchukua picha za posta na Capri na bado kapigwa chini[emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamaaa wivu unamsumbuaPicha yake ya Arusha kapiga CBD asilimia 95..wakati mwanza ni just 50 percent
Hivi ndio mana nasema Mwanza ni ndogo mno..kumbe kapri point ndio hako ka jengo ka nssf kalipo?!...sasa sehemu ya kishua kama iyo inachangnyikanaje na Majengo hayo?..kweli Mwanza Haina mpangilio ulionyooka[emoji1787][emoji1787][emoji1787] leo arusha imeiweka ligi moja na capripoint+posta
Majengo yapi ....we unadhani hicho Kijiji chako kina majengo mazuri kama capripointHivi ndio mana nasema Mwanza ni ndogo mno..kumbe kapri point ndio hako ka jengo ka nssf kalipo?!...sasa sehemu ya kishua kama iyo inachangnyikanaje na Majengo hayo?..kweli Mwanza Haina mpangilio ulionyooka
Hivi kumbe hata mwanza haujawahi kufika[emoji3][emoji3] kila siku umekazana na huo msemo wa kumbe mwanza ni ndogo sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi ndio mana nasema Mwanza ni ndogo mno..kumbe kapri point ndio hako ka jengo ka nssf kalipo?!...sasa sehemu ya kishua kama iyo inachangnyikanaje na Majengo hayo?..kweli Mwanza Haina mpangilio ulionyooka
Duh Emu njoo utembele Arusha asee ..sehemu za kishua kama Moshono uwezi Kuta maghorofa marefu ya mashirika yamechanganyikan na nyumba za watuMajengo yapi ....we unadhani hicho Kijiji chako kina majengo mazuri kama capripoint
Ndogo sana mkuu huo ndo ukweliHivi kumbe hata mwanza haujawahi kufika[emoji3][emoji3] kila siku umekazana na huo msemo wa kumbe mwanza ni ndogo sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ukiringanisha na wapi?Ndogo sana mkuu huo ndo ukweli
Yani hiyo kwa Arusha Bado sana ...alafu sijui kwanin Mwanza hampandi miti au mnataka muwe jangwa kama dom[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ukiringanisha na wapi?
Sina muda wa kukupa somoYani hiyo kwa Arusha Bado sana ...alafu sijui kwanin Mwanza hampandi miti au mnataka muwe jangwa kama dom
Sasa mfano hata Mwanza dala dala zikigoma ni sehemu moja zitagoma? Si mkoa mzimaKuna mtu alisema jiji la arusha ni kubwa leo daladala zimegoma sababu ya Balaji[emoji1787][emoji1787]
Hiii inaonesha ni jinsi gani hako ka mji ni kadogo[emoji1787][emoji1787]
View attachment 2677149View attachment 2677148
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti mkoa mzima jiji la mwanza tunarut ndefu ndefu ambazo hakuna Bajaj inaweza zimuduSasa mfano hata Mwanza dala dala zikigoma ni sehemu moja zitagoma? Si mkoa mzima
Kutoka Sokoni 1 kwenda USA unajua unatumia muda gani?!...Alafu kitu ambacho hujui Arusha route ndefu ndefu Kuna Costa broo hakuna daladala[emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti mkoa mzima jiji la mwanza tunarut ndefu ndefu ambazo hakuna Bajaj inaweza zimudu
Mwanza mjini 99% ni daladala sio Bajaj kama arusha huku Bajaj utazijuta nje ya mji
Mfano; buzuruga,nyasaka,maduka tusa,kijereshi,buswelu,igoma,national,mahina nk....
Mwanza hauwezi kukuta daladala na Bajaji zinashare route moja [emoji1787][emoji1787][emoji1787] na jiji la mwana lina ruti zaidi ya 15+ za daladala
Mwanza kuna ruti hadi za masaa wawili umekaa tu kwenye daladala kitu kitu ambacho kwa arusha ni ndoto[emoji1787] halafu unakuja unasema kua jiji la mwanza ni dogo kwa arusha nakuona nakuona kama kituko[emoji1787]
Daladala zipi zinaanzia Sokon I kwenda Usa River...?!Kutoka Sokoni 1 kwenda USA unajua unatumia muda gani?!...Alafu kitu ambacho hujui Arusha route ndefu ndefu Kuna Costa broo hakuna daladala
Kumbe haujui hata maaana ya daladala [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kutoka Sokoni 1 kwenda USA unajua unatumia muda gani?!...Alafu kitu ambacho hujui Arusha route ndefu ndefu Kuna Costa broo hakuna daladala