Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Mwanza
_20221027_193450.JPG
 
Arusha ina maghorofa elf7 na Mwanza elfu 2 je watu wa Mwanza wanaishi wapi?
Walitumia criteria gani? Methodology gani iliyotumika kuhesabu hayo maghorofa? Endeleeni kupika data na Mwanza inaendelea kuotesha minazi, viota na vichuguu vya uhakika
Takwimu halisi sisi watu building permit tulishahesabu maghorofa yetu mpka sasa yamefikia 12000+ nyie kuleni data zenye bias.
 
Nimeitoa kwenye makalio yako, kama vipi leta yako.
📌📌📌🔨

Kwa taarifa Yako tuu ni kwamba mwaka 2023 ,Mbeya inaenda kuipita Mwanza Kwa GDP.

2021
Mwanza GDP 11.1T
Mbeya GDP 8.7

2022
Mwanza GDP 12.2
Mbeya GDP 9.5

Growth rate
Mwanza 0.1T
Mbeya 0.8

If the same changes prevail this year 2023 basi mnaenda kufanya 🖕🖕🖕 na Mbeya 😁😁😁😁👇👇👇
Screenshot_20240219-082139.jpg


Mwanza imelemaaa 😆😆😆😆
 
Walitumia criteria gani? Methodology gani iliyotumika kuhesabu hayo maghorofa? Endeleeni kupika data na Mwanza inaendelea kuotesha minazi, viota na vichuguu vya uhakika
Takwimu halisi sisi watu building permit tulishahesabu maghorofa yetu mpka sasa yamefikia 12000+ nyie kuleni data zenye bias.
Wewe nyumbu ,kuhesabu Kunahitaji criteria na methodology? 😁😁😁😁
 
📌📌📌🔨

Kwa taarifa Yako tuu ni kwamba mwaka 2023 ,Mbeya inaenda kuipita Mwanza Kwa GDP.

2021
Mwanza GDP 11.1T
Mbeya GDP 8.7

2022
Mwanza GDP 12.2
Mbeya GDP 9.5

Growth rate
Mwanza 0.1T
Mbeya 0.8

If the same changes prevail this year 2023 basi mnaenda kufanya 🖕🖕🖕 na Mbeya 😁😁😁😁👇👇👇
View attachment 2908799

Mwanza imelemaaa 😆😆😆😆
Acha kukurupuka na data zako za ovyo, hataka kama tukifuata hizo data kati ya Arusha na Mwanza wapi penye huge economy?
 
Wewe nyumbu ,kuhesabu Kunahitaji criteria na methodology? 😁😁😁😁
We unazani walikuwa wanahesabu maembe sokoni, kwenye hiyo census wangeweka na criteria na methodology iliyotumika hii nchi ya mafala sana, watu wa kaskazini wakajipendelea mara Mwanza inazidiwa adi na Tanga mbk Kilimanjaro😂😂😂😂😂😂 kmmk wallah.
 
We unazani walikuwa wanahesabu maembe sokoni, kwenye hiyo census wangeweka na criteria na methodology iliyotumika hii nchi ya mafala sana, watu wa kaskazini wakajipendelea mara Mwanza inazidiwa adi na Tanga mbk Kilimanjaro😂😂😂😂😂😂 kmmk wallah.
Wewe ni fala ,wajipendelee Ili kitokee nini?
 
Walitumia criteria gani? Methodology gani iliyotumika kuhesabu hayo maghorofa? Endeleeni kupika data na Mwanza inaendelea kuotesha minazi, viota na vichuguu vya uhakika
Takwimu halisi sisi watu building permit tulishahesabu maghorofa yetu mpka sasa yamefikia 12000+ nyie kuleni data zenye bias.
Mkuu sensa ni research na survey inafanyika globally and it's findings are always accepted as genuine.
We unaebisha ulifanya utafiti gani?
Sensa imefanywa na serikali sio watu wa Arusha na matokeo ndio hayo kama unabisha fanya research uje na matokeo tofauti
 
Back
Top Bottom