Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 6,976
- 7,726
Unachanganya mambo,hakuna per Capita bila GDP na Mapato yoote unayoyajua wewe ni sehemu ya GDP.
Kwenye uchumi huwezi ikwepa GDP ndio strongest parameter.
Mwisho kwangu Mimi Huwa Niko focused na Mapato ya Halmashauri kuliko ya TRA Kwa sababu Mapato ya Halmashauri ndio Yana reflect shughuli za watu Moja kwa Moja.👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C3jsyjNtyHK/?igsh=MWZpbmh4d3k1ZzJoZQ==
Kuna muda unakuwa na akili timamu.