ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Huwa ni Kauli za loosers ,hakuna Mji imeendelea hapa Tanzania bila uwekezaji wa SerikaliKumbe ni jengo la TBA alafu utawaskia et mwanza inajijenga yenyewe😀😀 kwa mbele yake kuna mall waliyojengewa na halmashauri jengo lao refu la psssf ukiwaskia wanakuambia mwanza inajijenga yenyewe bogus hawa watu aka malalqmiko fc😀😀