Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ulishawahi kumsogelea kichaa mwenye kisu mkononi kwa nia ya kishindana naye kwa hoja?Hivi wewe uliwahi hata kufikiria kuandamana enzi Magufuli akiwa Rais? Au ngebe zako huwa unazipigia JF tu?
Nashauri serikali iwashughulikie wahuni wote wanaodai katiba hewaNimesikia kuwa kesho ndo siku ya katiba.
Sina hakika hasa ni akina nani ndo wameipanga ila nahisi ni akina mwafulani.
View attachment 1835874
Shughuli itafanyika hapo Segerea. Tundu Lissu atakuwa mtoa mada. Au labda mmoja wa watoa mada?
Ni jambo zuri. Katiba mpya ni kitu muhimu kwa mustakabali taifa.
It is long overdue. Way long overdue.
Baada ya Rais Magufuli kufariki, vuguvugu la katiba mpya limerudi tena.
Na sasa hivi ‘Twitter advocates’ wa hiyo katiba mpya wanasema liwe liwalo litalokuwa, katiba mpya lazima ipatikane.
Mikwara na maneno kama hayo kuhusu hiyo katiba mpya sikuyasikia sana kipindi cha utawala wa Rais Magufuli.
I wonder why [emoji23] [emoji848].
Nimefanya ka observation kangu kadogo kwa hizi siku za mwanzoni za utawala wa Rais Samia na nimegundua kwamba kuna ‘perception’ ya yeye kuwa mpole, mlaini, mdhaifu, msikivu, na vivumishi vingnine kama hivyo.
Perception hiyo ndo naona imewapa moyo wale Twitter activists kusema liwe liwalo litalokuwa, katiba mpya ni lazima ipatikane.
Juzi Rais kasema apewe muda kwanza aisimamishe nchi kiuchumi halafu ndo labda tutazungumzia na kuyaangalia hayo mambo ya katiba mpya, baadhi ya raia tumemshukia kama gunia la mawe.
Kuwa mpole na kuwa msikivu si vibaya. Ila kilicho kibaya ni watu kuwa na perception ya kwamba wewe ni dhaifu na kwamba huwezi kuwa kichwa ngumu na huwezi kustahimili mashinikizo.
Kila la kheri hiyo kesho kwa washiriki wote wa kongamano hilo la katiba mpya.
Ila sitosahau yale maandamano ya UKUTA na yale maandamano ya Instagram ya yule dada enzi Magufuli akiwa Rais [emoji1787].
We jamaa nakushauri hiyo mimba itoeWewe ulishawahi kumsogelea kichaa mwenye kisu mkononi kwa nia ya kishindana naye kwa hoja?
Your logic is flawed!Wewe ulishawahi kumsogelea kichaa mwenye kisu mkononi kwa nia ya kishindana naye kwa hoja?
Watujibu kwanza Kwann Waliharibu Ule mchakato wa Kwanza Kwa Kutoka Nje Ya Bunge la Katiba?Nimesikia kuwa kesho ndo siku ya katiba.
Sina hakika hasa ni akina nani ndo wameipanga ila nahisi ni akina mwafulani.
View attachment 1835874
Shughuli itafanyika hapo Segerea. Tundu Lissu atakuwa mtoa mada. Au labda mmoja wa watoa mada?
Ni jambo zuri. Katiba mpya ni kitu muhimu kwa mustakabali taifa.
It is long overdue. Way long overdue.
Baada ya Rais Magufuli kufariki, vuguvugu la katiba mpya limerudi tena.
Na sasa hivi ‘Twitter advocates’ wa hiyo katiba mpya wanasema liwe liwalo litalokuwa, katiba mpya lazima ipatikane.
Mikwara na maneno kama hayo kuhusu hiyo katiba mpya sikuyasikia sana kipindi cha utawala wa Rais Magufuli.
I wonder why [emoji23] [emoji848].
Nimefanya ka observation kangu kadogo kwa hizi siku za mwanzoni za utawala wa Rais Samia na nimegundua kwamba kuna ‘perception’ ya yeye kuwa mpole, mlaini, mdhaifu, msikivu, na vivumishi vingnine kama hivyo.
Perception hiyo ndo naona imewapa moyo wale Twitter activists kusema liwe liwalo litalokuwa, katiba mpya ni lazima ipatikane.
Juzi Rais kasema apewe muda kwanza aisimamishe nchi kiuchumi halafu ndo labda tutazungumzia na kuyaangalia hayo mambo ya katiba mpya, baadhi ya raia tumemshukia kama gunia la mawe.
Kuwa mpole na kuwa msikivu si vibaya. Ila kilicho kibaya ni watu kuwa na perception ya kwamba wewe ni dhaifu na kwamba huwezi kuwa kichwa ngumu na huwezi kustahimili mashinikizo.
Kila la kheri hiyo kesho kwa washiriki wote wa kongamano hilo la katiba mpya.
Ila sitosahau yale maandamano ya UKUTA na yale maandamano ya Instagram ya yule dada enzi Magufuli akiwa Rais [emoji1787].
Watujibu kwanza Kwann Waliharibu Ule mchakato wa Kwanza Kwa Kutoka Nje Ya Bunge la Katiba?
Basi tuanzie hapo tuipigie kura ili wananchi waseme...mchakato haukuharibika.
..bunge maalum lilikamilisha kazi yake na kutoa katiba pendekezwa ambayo ilitakiwa iwasilishwe kwa wanachi waipigie kura.
Basi tuanzie hapo tuipigie kura ili wananchi waseme.
Magufuli alikuwa dikteta,mama anaendesha nchi kwa kufuata katiba inavyosema,kuwa watu Wana uhuru wa kujieleza na kupinga jambo lolote,Nimesikia kuwa kesho ndo siku ya katiba.
Sina hakika hasa ni akina nani ndo wameipanga ila nahisi ni akina mwafulani.
View attachment 1835874
Shughuli itafanyika hapo Segerea. Tundu Lissu atakuwa mtoa mada. Au labda mmoja wa watoa mada?
Ni jambo zuri. Katiba mpya ni kitu muhimu kwa mustakabali taifa.
It is long overdue. Way long overdue.
Baada ya Rais Magufuli kufariki, vuguvugu la katiba mpya limerudi tena.
Na sasa hivi ‘Twitter advocates’ wa hiyo katiba mpya wanasema liwe liwalo litalokuwa, katiba mpya lazima ipatikane.
Mikwara na maneno kama hayo kuhusu hiyo katiba mpya sikuyasikia sana kipindi cha utawala wa Rais Magufuli.
I wonder why 😂 🤔.
Nimefanya ka observation kangu kadogo kwa hizi siku za mwanzoni za utawala wa Rais Samia na nimegundua kwamba kuna ‘perception’ ya yeye kuwa mpole, mlaini, mdhaifu, msikivu, na vivumishi vingnine kama hivyo.
Perception hiyo ndo naona imewapa moyo wale Twitter activists kusema liwe liwalo litalokuwa, katiba mpya ni lazima ipatikane.
Juzi Rais kasema apewe muda kwanza aisimamishe nchi kiuchumi halafu ndo labda tutazungumzia na kuyaangalia hayo mambo ya katiba mpya, baadhi ya raia tumemshukia kama gunia la mawe.
Kuwa mpole na kuwa msikivu si vibaya. Ila kilicho kibaya ni watu kuwa na perception ya kwamba wewe ni dhaifu na kwamba huwezi kuwa kichwa ngumu na huwezi kustahimili mashinikizo.
Kila la kheri hiyo kesho kwa washiriki wote wa kongamano hilo la katiba mpya.
Ila sitosahau yale maandamano ya UKUTA na yale maandamano ya Instagram ya yule dada enzi Magufuli akiwa Rais 🤣.
Kuna mambo mnataka kutukaririsha, lakini kumbukeni tu kwamba zama zinadika(ga)! Ni kweli Mazaa katoa ile kauli, lakini anaweza kurudi kivingine! Muda ni mwalimu!Nami naona kitu kama hicho.
Ndo maana akasema hiyo ‘impossible’, kulinganisha wazo la kuandamana enzi za awamu ya 5! Siyo lugha ngumu kuelewa, Nyani!Your logic is flawed!
Kichaa toka lini ukashindana naye kwa hoja???
Labda nikuulize kama unadhani "tweeter advocates" wameibuka baada ya Magufuli kufa, ni lini walipoa? Nini kilipelekea mpaka serikali ikafunga Twitter kupitia TCRA na watu bado wakaendelea kutumia VPN kuichana serikali na kumwaga siri za serikali? Kitu unatakiwa ujue, duniani kote Twitter ni mtandao wa watu makini, ndo maana marais wa dunia yote wanatumia Twitter na sio Facebook wala Instagram. Hivyo give the dudes their respects. Wengi wao ni wasomi wenye mamasters yao pale. Acha dharau dogoNimesikia kuwa kesho ndo siku ya katiba.
Sina hakika hasa ni akina nani ndo wameipanga ila nahisi ni akina mwafulani.
View attachment 1835874
Shughuli itafanyika hapo Segerea. Tundu Lissu atakuwa mtoa mada. Au labda mmoja wa watoa mada?
Ni jambo zuri. Katiba mpya ni kitu muhimu kwa mustakabali taifa.
It is long overdue. Way long overdue.
Baada ya Rais Magufuli kufariki, vuguvugu la katiba mpya limerudi tena.
Na sasa hivi ‘Twitter advocates’ wa hiyo katiba mpya wanasema liwe liwalo litalokuwa, katiba mpya lazima ipatikane.
Mikwara na maneno kama hayo kuhusu hiyo katiba mpya sikuyasikia sana kipindi cha utawala wa Rais Magufuli.
I wonder why 😂 🤔.
Nimefanya ka observation kangu kadogo kwa hizi siku za mwanzoni za utawala wa Rais Samia na nimegundua kwamba kuna ‘perception’ ya yeye kuwa mpole, mlaini, mdhaifu, msikivu, na vivumishi vingnine kama hivyo.
Perception hiyo ndo naona imewapa moyo wale Twitter activists kusema liwe liwalo litalokuwa, katiba mpya ni lazima ipatikane.
Juzi Rais kasema apewe muda kwanza aisimamishe nchi kiuchumi halafu ndo labda tutazungumzia na kuyaangalia hayo mambo ya katiba mpya, baadhi ya raia tumemshukia kama gunia la mawe.
Kuwa mpole na kuwa msikivu si vibaya. Ila kilicho kibaya ni watu kuwa na perception ya kwamba wewe ni dhaifu na kwamba huwezi kuwa kichwa ngumu na huwezi kustahimili mashinikizo.
Kila la kheri hiyo kesho kwa washiriki wote wa kongamano hilo la katiba mpya.
Ila sitosahau yale maandamano ya UKUTA na yale maandamano ya Instagram ya yule dada enzi Magufuli akiwa Rais 🤣.
Nimesikia kuwa kesho ndo siku ya katiba.
Sina hakika hasa ni akina nani ndo wameipanga ila nahisi ni akina mwafulani.
Shughuli itafanyika hapo Segerea. Tundu Lissu atakuwa mtoa mada. Au labda mmoja wa watoa mada?
Ni jambo zuri. Katiba mpya ni kitu muhimu kwa mustakabali taifa.
It is long overdue. Way long overdue.
Baada ya Rais Magufuli kufariki, vuguvugu la katiba mpya limerudi tena.
Na sasa hivi ‘Twitter advocates’ wa hiyo katiba mpya wanasema liwe liwalo litalokuwa, katiba mpya lazima ipatikane.
Mikwara na maneno kama hayo kuhusu hiyo katiba mpya sikuyasikia sana kipindi cha utawala wa Rais Magufuli.
I wonder why 😂 🤔.
Nimefanya ka observation kangu kadogo kwa hizi siku za mwanzoni za utawala wa Rais Samia na nimegundua kwamba kuna ‘perception’ ya yeye kuwa mpole, mlaini, mdhaifu, msikivu, na vivumishi vingnine kama hivyo.
Perception hiyo ndo naona imewapa moyo wale Twitter activists kusema liwe liwalo litalokuwa, katiba mpya ni lazima ipatikane.
Juzi Rais kasema apewe muda kwanza aisimamishe nchi kiuchumi halafu ndo labda tutazungumzia na kuyaangalia hayo mambo ya katiba mpya, baadhi ya raia tumemshukia kama gunia la mawe.
Kuwa mpole na kuwa msikivu si vibaya. Ila kilicho kibaya ni watu kuwa na perception ya kwamba wewe ni dhaifu na kwamba huwezi kuwa kichwa ngumu na huwezi kustahimili mashinikizo.
Kila la kheri hiyo kesho kwa washiriki wote wa kongamano hilo la katiba mpya.
Ila sitosahau yale maandamano ya UKUTA na yale maandamano ya Instagram ya yule dada enzi Magufuli akiwa Rais 🤣.
Daaah hii nchi tuna safari kubwa sana, yaani mtu kama Nyani Ngabu mwenye exposure hauoni umuhimu wa katiba mpya, je mtanzania wa bariadi au simiyu atakua na mawazo gani?Nimesikia kuwa kesho ndo siku ya katiba.
Sina hakika hasa ni akina nani ndo wameipanga ila nahisi ni akina mwafulani.
Shughuli itafanyika hapo Segerea. Tundu Lissu atakuwa mtoa mada. Au labda mmoja wa watoa mada?
Ni jambo zuri. Katiba mpya ni kitu muhimu kwa mustakabali taifa.
It is long overdue. Way long overdue.
Baada ya Rais Magufuli kufariki, vuguvugu la katiba mpya limerudi tena.
Na sasa hivi ‘Twitter advocates’ wa hiyo katiba mpya wanasema liwe liwalo litalokuwa, katiba mpya lazima ipatikane.
Mikwara na maneno kama hayo kuhusu hiyo katiba mpya sikuyasikia sana kipindi cha utawala wa Rais Magufuli.
I wonder why [emoji23] [emoji848].
Nimefanya ka observation kangu kadogo kwa hizi siku za mwanzoni za utawala wa Rais Samia na nimegundua kwamba kuna ‘perception’ ya yeye kuwa mpole, mlaini, mdhaifu, msikivu, na vivumishi vingnine kama hivyo.
Perception hiyo ndo naona imewapa moyo wale Twitter activists kusema liwe liwalo litalokuwa, katiba mpya ni lazima ipatikane.
Juzi Rais kasema apewe muda kwanza aisimamishe nchi kiuchumi halafu ndo labda tutazungumzia na kuyaangalia hayo mambo ya katiba mpya, baadhi ya raia tumemshukia kama gunia la mawe.
Kuwa mpole na kuwa msikivu si vibaya. Ila kilicho kibaya ni watu kuwa na perception ya kwamba wewe ni dhaifu na kwamba huwezi kuwa kichwa ngumu na huwezi kustahimili mashinikizo.
Kila la kheri hiyo kesho kwa washiriki wote wa kongamano hilo la katiba mpya.
Ila sitosahau yale maandamano ya UKUTA na yale maandamano ya Instagram ya yule dada enzi Magufuli akiwa Rais [emoji1787].
Sita shangaa kuona enzi zap zikirejea keanu dalili za mvua ni joto na mawingu.Kamanda mroto kastaafu, angekua kazini leo angetoa tamko....
#watachakaa #kipigochambwakoko
Kwanini nyinyi mapunda wa CCM mnaiogopa katiba mpya kama mnajua haina madhara kwenu? Si muweke na tume huru tuingie uwanjani tuone kama saa 4 itafikaDai la katiba ni la watu wajinga wasiojua wanataka nini!
Ukiwauliza wana bavicha na hao wanaharakati wajinga kwamba unataka katiba mpya ili iweje, hana cha kujibu zaidi anafikiri katiba mpya itaweka mazingira mepesi ya kuwezesha wao kuingia ikulu kirahisi!
Kenya wana katiba tunayoambiwa ni nzuri sana lakini ni nzuri kwa wanasiasa tu maana ufisadi na maisha magumu kwa raia viko pale pale!
Wapeleke uhuni wao huko! Wao waendelee kupambana na mondi tu.