BAVICHA kufanya Julai 1, 2021 kuwa siku ya Katiba

BAVICHA kufanya Julai 1, 2021 kuwa siku ya Katiba

Katiba haiombwi inadaiwa kwa jasho na damu kwenye nchi zetu hizi za kishenzi
 
Nimesikia kuwa kesho ndo siku ya katiba.

Sina hakika hasa ni akina nani ndo wameipanga ila nahisi ni akina mwafulani.
View attachment 1835874

Shughuli itafanyika hapo Segerea. Tundu Lissu atakuwa mtoa mada. Au labda mmoja wa watoa mada?

Ni jambo zuri. Katiba mpya ni kitu muhimu kwa mustakabali taifa.

It is long overdue. Way long overdue.

Baada ya Rais Magufuli kufariki, vuguvugu la katiba mpya limerudi tena.

Na sasa hivi ‘Twitter advocates’ wa hiyo katiba mpya wanasema liwe liwalo litalokuwa, katiba mpya lazima ipatikane.

Mikwara na maneno kama hayo kuhusu hiyo katiba mpya sikuyasikia sana kipindi cha utawala wa Rais Magufuli.

I wonder why [emoji23] [emoji848].

Nimefanya ka observation kangu kadogo kwa hizi siku za mwanzoni za utawala wa Rais Samia na nimegundua kwamba kuna ‘perception’ ya yeye kuwa mpole, mlaini, mdhaifu, msikivu, na vivumishi vingnine kama hivyo.

Perception hiyo ndo naona imewapa moyo wale Twitter activists kusema liwe liwalo litalokuwa, katiba mpya ni lazima ipatikane.

Juzi Rais kasema apewe muda kwanza aisimamishe nchi kiuchumi halafu ndo labda tutazungumzia na kuyaangalia hayo mambo ya katiba mpya, baadhi ya raia tumemshukia kama gunia la mawe.

Kuwa mpole na kuwa msikivu si vibaya. Ila kilicho kibaya ni watu kuwa na perception ya kwamba wewe ni dhaifu na kwamba huwezi kuwa kichwa ngumu na huwezi kustahimili mashinikizo.

Kila la kheri hiyo kesho kwa washiriki wote wa kongamano hilo la katiba mpya.

Ila sitosahau yale maandamano ya UKUTA na yale maandamano ya Instagram ya yule dada enzi Magufuli akiwa Rais [emoji1787].
Nashauri serikali iwashughulikie wahuni wote wanaodai katiba hewa
 
Wewe ulishawahi kumsogelea kichaa mwenye kisu mkononi kwa nia ya kishindana naye kwa hoja?
Your logic is flawed!

Kichaa toka lini ukashindana naye kwa hoja???
 
Nimesikia kuwa kesho ndo siku ya katiba.

Sina hakika hasa ni akina nani ndo wameipanga ila nahisi ni akina mwafulani.
View attachment 1835874

Shughuli itafanyika hapo Segerea. Tundu Lissu atakuwa mtoa mada. Au labda mmoja wa watoa mada?

Ni jambo zuri. Katiba mpya ni kitu muhimu kwa mustakabali taifa.

It is long overdue. Way long overdue.

Baada ya Rais Magufuli kufariki, vuguvugu la katiba mpya limerudi tena.

Na sasa hivi ‘Twitter advocates’ wa hiyo katiba mpya wanasema liwe liwalo litalokuwa, katiba mpya lazima ipatikane.

Mikwara na maneno kama hayo kuhusu hiyo katiba mpya sikuyasikia sana kipindi cha utawala wa Rais Magufuli.

I wonder why [emoji23] [emoji848].

Nimefanya ka observation kangu kadogo kwa hizi siku za mwanzoni za utawala wa Rais Samia na nimegundua kwamba kuna ‘perception’ ya yeye kuwa mpole, mlaini, mdhaifu, msikivu, na vivumishi vingnine kama hivyo.

Perception hiyo ndo naona imewapa moyo wale Twitter activists kusema liwe liwalo litalokuwa, katiba mpya ni lazima ipatikane.

Juzi Rais kasema apewe muda kwanza aisimamishe nchi kiuchumi halafu ndo labda tutazungumzia na kuyaangalia hayo mambo ya katiba mpya, baadhi ya raia tumemshukia kama gunia la mawe.

Kuwa mpole na kuwa msikivu si vibaya. Ila kilicho kibaya ni watu kuwa na perception ya kwamba wewe ni dhaifu na kwamba huwezi kuwa kichwa ngumu na huwezi kustahimili mashinikizo.

Kila la kheri hiyo kesho kwa washiriki wote wa kongamano hilo la katiba mpya.

Ila sitosahau yale maandamano ya UKUTA na yale maandamano ya Instagram ya yule dada enzi Magufuli akiwa Rais [emoji1787].
Watujibu kwanza Kwann Waliharibu Ule mchakato wa Kwanza Kwa Kutoka Nje Ya Bunge la Katiba?
 
Watujibu kwanza Kwann Waliharibu Ule mchakato wa Kwanza Kwa Kutoka Nje Ya Bunge la Katiba?

..mchakato haukuharibika.

..bunge maalum lilikamilisha kazi yake na kutoa katiba pendekezwa ambayo ilitakiwa iwasilishwe kwa wanachi waipigie kura.
 
Swali la kuwauliza wanaodai katiba mpya, je wako tayari kupokea na kukubali maoni ya upande wa pili? Maana inavyojulikana upande wa pili ni wengi kuliko wao.
 
..mchakato haukuharibika.

..bunge maalum lilikamilisha kazi yake na kutoa katiba pendekezwa ambayo ilitakiwa iwasilishwe kwa wanachi waipigie kura.
Basi tuanzie hapo tuipigie kura ili wananchi waseme.
 
Basi tuanzie hapo tuipigie kura ili wananchi waseme.

..sawa.

..itabidi KAMPENI za kura ya maoni zifunguliwe.

..kuandaliwe utaratibu na chombo cha kusimamia kampeni hizo na zoezi la kupiga na kuhesabu kura.

..kwa hiyo tutahitaji TUME HURU.
 
Nimesikia kuwa kesho ndo siku ya katiba.

Sina hakika hasa ni akina nani ndo wameipanga ila nahisi ni akina mwafulani.
View attachment 1835874

Shughuli itafanyika hapo Segerea. Tundu Lissu atakuwa mtoa mada. Au labda mmoja wa watoa mada?

Ni jambo zuri. Katiba mpya ni kitu muhimu kwa mustakabali taifa.

It is long overdue. Way long overdue.

Baada ya Rais Magufuli kufariki, vuguvugu la katiba mpya limerudi tena.

Na sasa hivi ‘Twitter advocates’ wa hiyo katiba mpya wanasema liwe liwalo litalokuwa, katiba mpya lazima ipatikane.

Mikwara na maneno kama hayo kuhusu hiyo katiba mpya sikuyasikia sana kipindi cha utawala wa Rais Magufuli.

I wonder why 😂 🤔.

Nimefanya ka observation kangu kadogo kwa hizi siku za mwanzoni za utawala wa Rais Samia na nimegundua kwamba kuna ‘perception’ ya yeye kuwa mpole, mlaini, mdhaifu, msikivu, na vivumishi vingnine kama hivyo.

Perception hiyo ndo naona imewapa moyo wale Twitter activists kusema liwe liwalo litalokuwa, katiba mpya ni lazima ipatikane.

Juzi Rais kasema apewe muda kwanza aisimamishe nchi kiuchumi halafu ndo labda tutazungumzia na kuyaangalia hayo mambo ya katiba mpya, baadhi ya raia tumemshukia kama gunia la mawe.

Kuwa mpole na kuwa msikivu si vibaya. Ila kilicho kibaya ni watu kuwa na perception ya kwamba wewe ni dhaifu na kwamba huwezi kuwa kichwa ngumu na huwezi kustahimili mashinikizo.

Kila la kheri hiyo kesho kwa washiriki wote wa kongamano hilo la katiba mpya.

Ila sitosahau yale maandamano ya UKUTA na yale maandamano ya Instagram ya yule dada enzi Magufuli akiwa Rais 🤣.
Magufuli alikuwa dikteta,mama anaendesha nchi kwa kufuata katiba inavyosema,kuwa watu Wana uhuru wa kujieleza na kupinga jambo lolote,
Kwaiyo usimfananishe Samia na lile dikteta
 
Nimesikia kuwa kesho ndo siku ya katiba.

Sina hakika hasa ni akina nani ndo wameipanga ila nahisi ni akina mwafulani.
View attachment 1835874

Shughuli itafanyika hapo Segerea. Tundu Lissu atakuwa mtoa mada. Au labda mmoja wa watoa mada?

Ni jambo zuri. Katiba mpya ni kitu muhimu kwa mustakabali taifa.

It is long overdue. Way long overdue.

Baada ya Rais Magufuli kufariki, vuguvugu la katiba mpya limerudi tena.

Na sasa hivi ‘Twitter advocates’ wa hiyo katiba mpya wanasema liwe liwalo litalokuwa, katiba mpya lazima ipatikane.

Mikwara na maneno kama hayo kuhusu hiyo katiba mpya sikuyasikia sana kipindi cha utawala wa Rais Magufuli.

I wonder why 😂 🤔.

Nimefanya ka observation kangu kadogo kwa hizi siku za mwanzoni za utawala wa Rais Samia na nimegundua kwamba kuna ‘perception’ ya yeye kuwa mpole, mlaini, mdhaifu, msikivu, na vivumishi vingnine kama hivyo.

Perception hiyo ndo naona imewapa moyo wale Twitter activists kusema liwe liwalo litalokuwa, katiba mpya ni lazima ipatikane.

Juzi Rais kasema apewe muda kwanza aisimamishe nchi kiuchumi halafu ndo labda tutazungumzia na kuyaangalia hayo mambo ya katiba mpya, baadhi ya raia tumemshukia kama gunia la mawe.

Kuwa mpole na kuwa msikivu si vibaya. Ila kilicho kibaya ni watu kuwa na perception ya kwamba wewe ni dhaifu na kwamba huwezi kuwa kichwa ngumu na huwezi kustahimili mashinikizo.

Kila la kheri hiyo kesho kwa washiriki wote wa kongamano hilo la katiba mpya.

Ila sitosahau yale maandamano ya UKUTA na yale maandamano ya Instagram ya yule dada enzi Magufuli akiwa Rais 🤣.
Labda nikuulize kama unadhani "tweeter advocates" wameibuka baada ya Magufuli kufa, ni lini walipoa? Nini kilipelekea mpaka serikali ikafunga Twitter kupitia TCRA na watu bado wakaendelea kutumia VPN kuichana serikali na kumwaga siri za serikali? Kitu unatakiwa ujue, duniani kote Twitter ni mtandao wa watu makini, ndo maana marais wa dunia yote wanatumia Twitter na sio Facebook wala Instagram. Hivyo give the dudes their respects. Wengi wao ni wasomi wenye mamasters yao pale. Acha dharau dogo
 
Nimesikia kuwa kesho ndo siku ya katiba.

Sina hakika hasa ni akina nani ndo wameipanga ila nahisi ni akina mwafulani.


Shughuli itafanyika hapo Segerea. Tundu Lissu atakuwa mtoa mada. Au labda mmoja wa watoa mada?

Ni jambo zuri. Katiba mpya ni kitu muhimu kwa mustakabali taifa.

It is long overdue. Way long overdue.

Baada ya Rais Magufuli kufariki, vuguvugu la katiba mpya limerudi tena.

Na sasa hivi ‘Twitter advocates’ wa hiyo katiba mpya wanasema liwe liwalo litalokuwa, katiba mpya lazima ipatikane.

Mikwara na maneno kama hayo kuhusu hiyo katiba mpya sikuyasikia sana kipindi cha utawala wa Rais Magufuli.

I wonder why 😂 🤔.

Nimefanya ka observation kangu kadogo kwa hizi siku za mwanzoni za utawala wa Rais Samia na nimegundua kwamba kuna ‘perception’ ya yeye kuwa mpole, mlaini, mdhaifu, msikivu, na vivumishi vingnine kama hivyo.

Perception hiyo ndo naona imewapa moyo wale Twitter activists kusema liwe liwalo litalokuwa, katiba mpya ni lazima ipatikane.

Juzi Rais kasema apewe muda kwanza aisimamishe nchi kiuchumi halafu ndo labda tutazungumzia na kuyaangalia hayo mambo ya katiba mpya, baadhi ya raia tumemshukia kama gunia la mawe.

Kuwa mpole na kuwa msikivu si vibaya. Ila kilicho kibaya ni watu kuwa na perception ya kwamba wewe ni dhaifu na kwamba huwezi kuwa kichwa ngumu na huwezi kustahimili mashinikizo.

Kila la kheri hiyo kesho kwa washiriki wote wa kongamano hilo la katiba mpya.

Ila sitosahau yale maandamano ya UKUTA na yale maandamano ya Instagram ya yule dada enzi Magufuli akiwa Rais 🤣.

Nimecheka kwa nguvu ile mbaya, kwahiyo watu wasifanye mkutano wa ndani kudai wanachoamini, kisa rais atajisikia vibaya! Hata magu pamoja na unyama wake watu tulikuwa tunampa ukweli wake, na bado kwenye mikutano kibao ya ndani alipewa ukweli wake. Kwenye kampeni ndio alipewa ukweli uliompa msongo wa mawazo. Na kwenye msimu wake huu wa pili hata kama asingekuwa motoni, bado hoja hii ya katiba mpya ingepata nguvu ya ajabu.
 
Nimesikia kuwa kesho ndo siku ya katiba.

Sina hakika hasa ni akina nani ndo wameipanga ila nahisi ni akina mwafulani.


Shughuli itafanyika hapo Segerea. Tundu Lissu atakuwa mtoa mada. Au labda mmoja wa watoa mada?

Ni jambo zuri. Katiba mpya ni kitu muhimu kwa mustakabali taifa.

It is long overdue. Way long overdue.

Baada ya Rais Magufuli kufariki, vuguvugu la katiba mpya limerudi tena.

Na sasa hivi ‘Twitter advocates’ wa hiyo katiba mpya wanasema liwe liwalo litalokuwa, katiba mpya lazima ipatikane.

Mikwara na maneno kama hayo kuhusu hiyo katiba mpya sikuyasikia sana kipindi cha utawala wa Rais Magufuli.

I wonder why [emoji23] [emoji848].

Nimefanya ka observation kangu kadogo kwa hizi siku za mwanzoni za utawala wa Rais Samia na nimegundua kwamba kuna ‘perception’ ya yeye kuwa mpole, mlaini, mdhaifu, msikivu, na vivumishi vingnine kama hivyo.

Perception hiyo ndo naona imewapa moyo wale Twitter activists kusema liwe liwalo litalokuwa, katiba mpya ni lazima ipatikane.

Juzi Rais kasema apewe muda kwanza aisimamishe nchi kiuchumi halafu ndo labda tutazungumzia na kuyaangalia hayo mambo ya katiba mpya, baadhi ya raia tumemshukia kama gunia la mawe.

Kuwa mpole na kuwa msikivu si vibaya. Ila kilicho kibaya ni watu kuwa na perception ya kwamba wewe ni dhaifu na kwamba huwezi kuwa kichwa ngumu na huwezi kustahimili mashinikizo.

Kila la kheri hiyo kesho kwa washiriki wote wa kongamano hilo la katiba mpya.

Ila sitosahau yale maandamano ya UKUTA na yale maandamano ya Instagram ya yule dada enzi Magufuli akiwa Rais [emoji1787].
Daaah hii nchi tuna safari kubwa sana, yaani mtu kama Nyani Ngabu mwenye exposure hauoni umuhimu wa katiba mpya, je mtanzania wa bariadi au simiyu atakua na mawazo gani?
 
Dai la katiba ni la watu wajinga wasiojua wanataka nini!

Ukiwauliza wana bavicha na hao wanaharakati wajinga kwamba unataka katiba mpya ili iweje, hana cha kujibu zaidi anafikiri katiba mpya itaweka mazingira mepesi ya kuwezesha wao kuingia ikulu kirahisi!

Kenya wana katiba tunayoambiwa ni nzuri sana lakini ni nzuri kwa wanasiasa tu maana ufisadi na maisha magumu kwa raia viko pale pale!

Wapeleke uhuni wao huko! Wao waendelee kupambana na mondi tu.
Kwanini nyinyi mapunda wa CCM mnaiogopa katiba mpya kama mnajua haina madhara kwenu? Si muweke na tume huru tuingie uwanjani tuone kama saa 4 itafika
 
Back
Top Bottom