BAVICHA kufanya Julai 1, 2021 kuwa siku ya Katiba

BAVICHA kufanya Julai 1, 2021 kuwa siku ya Katiba

Uzuri mmoja mama ni kama jk anawaachaa wafanye mikutano yao lakini masikio kayaweka mbalii wao wenyewe watachoka na watatulia
Mikutano ya ndani pamoja na wabunge kwenye maeneo yao ndo imeruhusiwa. Mikutano ya hadhara hakuna ruhusa.
 
Daaah hii nchi tuna safari kubwa sana, yaani mtu kama Nyani Ngabu mwenye exposure hauoni umuhimu wa katiba mpya, je mtanzania wa bariadi au simiyu atakua na mawazo gani?
Nyani Ngabu ni nyani mmoja mjinga tu, usiogope viingereza vyake vya kukopi kwenye dictionary. Alizamiaga meli tu kipindi kile akakutana na wagiriki wakafanya yao
 
Nimesikia kuwa kesho ndo siku ya katiba.

Sina hakika hasa ni akina nani ndo wameipanga ila nahisi ni akina mwafulani.


Shughuli itafanyika hapo Segerea. Tundu Lissu atakuwa mtoa mada. Au labda mmoja wa watoa mada?

Ni jambo zuri. Katiba mpya ni kitu muhimu kwa mustakabali taifa.

It is long overdue. Way long overdue.

Baada ya Rais Magufuli kufariki, vuguvugu la katiba mpya limerudi tena.

Na sasa hivi ‘Twitter advocates’ wa hiyo katiba mpya wanasema liwe liwalo litalokuwa, katiba mpya lazima ipatikane.

Mikwara na maneno kama hayo kuhusu hiyo katiba mpya sikuyasikia sana kipindi cha utawala wa Rais Magufuli.

I wonder why 😂 🤔.

Nimefanya ka observation kangu kadogo kwa hizi siku za mwanzoni za utawala wa Rais Samia na nimegundua kwamba kuna ‘perception’ ya yeye kuwa mpole, mlaini, mdhaifu, msikivu, na vivumishi vingnine kama hivyo.

Perception hiyo ndo naona imewapa moyo wale Twitter activists kusema liwe liwalo litalokuwa, katiba mpya ni lazima ipatikane.

Juzi Rais kasema apewe muda kwanza aisimamishe nchi kiuchumi halafu ndo labda tutazungumzia na kuyaangalia hayo mambo ya katiba mpya, baadhi ya raia tumemshukia kama gunia la mawe.

Kuwa mpole na kuwa msikivu si vibaya. Ila kilicho kibaya ni watu kuwa na perception ya kwamba wewe ni dhaifu na kwamba huwezi kuwa kichwa ngumu na huwezi kustahimili mashinikizo.

Kila la kheri hiyo kesho kwa washiriki wote wa kongamano hilo la katiba mpya.

Ila sitosahau yale maandamano ya UKUTA na yale maandamano ya Instagram ya yule dada enzi Magufuli akiwa Rais 🤣.
Katiba inakuja hakuna wakuzuia,
 
Katiba inapofanywa kuwa hitaji la kisiasa, ndio kosa linaanzia hapo

Katiba ni hoja ya kisiasa, ndio maana unaona, wakulima, wafanyakazi na hata wafanyabiashara wako kimya huku wakiwa hawana uwezo wa kutetea hata haki zao. Cdm hawatakiwi kuachia hoja hii maana wananchi wameelewa sana hoja hii.
 
Nimesikia kuwa kesho ndo siku ya katiba.

Sina hakika hasa ni akina nani ndo wameipanga ila nahisi ni akina mwafulani.


Shughuli itafanyika hapo Segerea. Tundu Lissu atakuwa mtoa mada. Au labda mmoja wa watoa mada?

Ni jambo zuri. Katiba mpya ni kitu muhimu kwa mustakabali taifa.

It is long overdue. Way long overdue.

Baada ya Rais Magufuli kufariki, vuguvugu la katiba mpya limerudi tena.

Na sasa hivi ‘Twitter advocates’ wa hiyo katiba mpya wanasema liwe liwalo litalokuwa, katiba mpya lazima ipatikane.

Mikwara na maneno kama hayo kuhusu hiyo katiba mpya sikuyasikia sana kipindi cha utawala wa Rais Magufuli.

I wonder why 😂 🤔.

Nimefanya ka observation kangu kadogo kwa hizi siku za mwanzoni za utawala wa Rais Samia na nimegundua kwamba kuna ‘perception’ ya yeye kuwa mpole, mlaini, mdhaifu, msikivu, na vivumishi vingnine kama hivyo.

Perception hiyo ndo naona imewapa moyo wale Twitter activists kusema liwe liwalo litalokuwa, katiba mpya ni lazima ipatikane.

Juzi Rais kasema apewe muda kwanza aisimamishe nchi kiuchumi halafu ndo labda tutazungumzia na kuyaangalia hayo mambo ya katiba mpya, baadhi ya raia tumemshukia kama gunia la mawe.

Kuwa mpole na kuwa msikivu si vibaya. Ila kilicho kibaya ni watu kuwa na perception ya kwamba wewe ni dhaifu na kwamba huwezi kuwa kichwa ngumu na huwezi kustahimili mashinikizo.

Kila la kheri hiyo kesho kwa washiriki wote wa kongamano hilo la katiba mpya.

Ila sitosahau yale maandamano ya UKUTA na yale maandamano ya Instagram ya yule dada enzi Magufuli akiwa Rais 🤣.
Who the hell has posted this crap!???
 
Mikwara na maneno kama hayo kuhusu hiyo katiba mpya sikuyasikia sana kipindi cha utawala wa Rais Magufuli.

I wonder why 😂 🤔.
IMG_20210627_194856.jpg
 
Katiba ni hoja ya kisiasa, ndio maana unaona, wakulima, wafanyakazi na hata wafanyabiashara wako kimya huku wakiwa hawana uwezo wa kutetea hata haki zao. Cdm hawatakiwi kuachia hoja hii maana wananchi wameelewa sana hoja hii.
Hauoni kwamba ni vigumu sasa kwa hoja hiyo kuwaleta watu wawe kitu kimoja kwa sababu ya mitazamo yao ya kisiasa?
 
Labda nikuulize kama unadhani "tweeter advocates" wameibuka baada ya Magufuli kufa, ni lini walipoa? Nini kilipelekea mpaka serikali ikafunga Twitter kupitia TCRA na watu bado wakaendelea kutumia VPN kuichana serikali na kumwaga siri za serikali? Kitu unatakiwa ujue, duniani kote Twitter ni mtandao wa watu makini, ndo maana marais wa dunia yote wanatumia Twitter na sio Facebook wala Instagram. Hivyo give the dudes their respects. Wengi wao ni wasomi wenye mamasters yao pale. Acha dharau dogo
Ka Jf ketu unakarank vipi?..ni nyumbani kwa la saba graduates nini?
 
Daaah hii nchi tuna safari kubwa sana, yaani mtu kama Nyani Ngabu mwenye exposure hauoni umuhimu wa katiba mpya, je mtanzania wa bariadi au simiyu atakua na mawazo gani?
Nini kimekufanya uone kama sioni umuhimu wa katiba mpya?

Ni nani hapa JF amekuwa akisema wapinzani wasishiriki chaguzi?
 
Hv niny mataga mna akili????lazma mtake hii katba ambayo inawabeba
Dai la katiba ni la watu wajinga wasiojua wanataka nini!

Ukiwauliza wana bavicha na hao wanaharakati wajinga kwamba unataka katiba mpya ili iweje, hana cha kujibu zaidi anafikiri katiba mpya itaweka mazingira mepesi ya kuwezesha wao kuingia ikulu kirahisi!

Kenya wana katiba tunayoambiwa ni nzuri sana lakini ni nzuri kwa wanasiasa tu maana ufisadi na maisha magumu kwa raia viko pale pale!

Wapeleke uhuni wao huko! Wao waendelee kupambana na mondi tu.
 
Katiba ni lazima sio hiari tena, karibu kesho tabata
 
Agenda hasa za hili kongamano la Katiba mpya ni zipi?

Watasimamia kwenye agenda zipi? Msaada kwa ajuaye tafadhali.
 
Back
Top Bottom