BAVICHA kufanya Julai 1, 2021 kuwa siku ya Katiba

Watujibu kwanza Kwann Waliharibu Ule mchakato wa Kwanza Kwa Kutoka Nje Ya Bunge la Katiba?
Kwa hiyo mchakato wa katiba mpya uliharibiwa na UKAWA kutoka nje ya Bunge?! Huu ni uongo wako mwenyewe, au na Polepole alikukaririsha?!
 
Uzuri mmoja mama ni kama jk anawaachaa wafanye mikutano yao lakini masikio kayaweka mbalii wao wenyewe watachoka na watatulia
Mikutano ya ndani pamoja na wabunge kwenye maeneo yao ndo imeruhusiwa. Mikutano ya hadhara hakuna ruhusa.
 
Daaah hii nchi tuna safari kubwa sana, yaani mtu kama Nyani Ngabu mwenye exposure hauoni umuhimu wa katiba mpya, je mtanzania wa bariadi au simiyu atakua na mawazo gani?
Nyani Ngabu ni nyani mmoja mjinga tu, usiogope viingereza vyake vya kukopi kwenye dictionary. Alizamiaga meli tu kipindi kile akakutana na wagiriki wakafanya yao
 
Katiba inakuja hakuna wakuzuia,
 
Katiba inapofanywa kuwa hitaji la kisiasa, ndio kosa linaanzia hapo

Katiba ni hoja ya kisiasa, ndio maana unaona, wakulima, wafanyakazi na hata wafanyabiashara wako kimya huku wakiwa hawana uwezo wa kutetea hata haki zao. Cdm hawatakiwi kuachia hoja hii maana wananchi wameelewa sana hoja hii.
 
Who the hell has posted this crap!???
 
Katiba ni hoja ya kisiasa, ndio maana unaona, wakulima, wafanyakazi na hata wafanyabiashara wako kimya huku wakiwa hawana uwezo wa kutetea hata haki zao. Cdm hawatakiwi kuachia hoja hii maana wananchi wameelewa sana hoja hii.
Hauoni kwamba ni vigumu sasa kwa hoja hiyo kuwaleta watu wawe kitu kimoja kwa sababu ya mitazamo yao ya kisiasa?
 
Ka Jf ketu unakarank vipi?..ni nyumbani kwa la saba graduates nini?
 
Daaah hii nchi tuna safari kubwa sana, yaani mtu kama Nyani Ngabu mwenye exposure hauoni umuhimu wa katiba mpya, je mtanzania wa bariadi au simiyu atakua na mawazo gani?
Nini kimekufanya uone kama sioni umuhimu wa katiba mpya?

Ni nani hapa JF amekuwa akisema wapinzani wasishiriki chaguzi?
 
Hv niny mataga mna akili????lazma mtake hii katba ambayo inawabeba
 
Katiba ni lazima sio hiari tena, karibu kesho tabata
 
Agenda hasa za hili kongamano la Katiba mpya ni zipi?

Watasimamia kwenye agenda zipi? Msaada kwa ajuaye tafadhali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…