paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,503
- 3,499
Hii nchi kuna point itafika, itakuwa na ugaidi wa kutisha. Ukombozi hautaletwa na vyama vya siasa
Mkuu, ushindwe na ulegee!!!Hii nchi kuna point itafika, itakuwa na ugaidi wa kutisha. Ukombozi hautaletwa na vyama vya siasa
Mnapobanwa KIHOJA mnakimbilia kujificha nyuma ya DELUSION za "SHETANI"....Kwa lugha hiyo inazidi kuwa dhahiri kuwa nawe ni mmoja wa mawakala wa shetani. Humpati mtu hapa
Mkuu, ushindwe na ulegee!!!
😄😄😄😄
Hakuna mtu yeyote ambae angepewa ile fursa angeikataa.
Hata Halima na Ester Bulaya wangeachwa kwenye ile orodha wangesema kama walivyosema walioachwa.
Wabunge wenyewe wa viti maalum wanajiita 'Covid 19' wakiashiria idadi yao
Unazidi kujichanganya, real criminals wanawazidi akili, badala ya kuwawajibisha, mnawatetea tena kwa nguvu zote, so sad!
CCM iibe kura dhidi ya mgombea yupi?
Mgombea wenu alikuwa sera zipi?
Hizi move zenu za kura nani anahagaika nazo
Mtakaa chini na kuomba suluhu na kamwe hamtaipata hadi mbadili katiba, it is just a matter of timeU
ugaidi wa ndoa za watu labda
Naona Chadema ni Dangu..0
saaahv amekua mbege ladyWalikuwa wanamwita "iron lady".
Hakuna "mtu yeyote." Yeyote?
You must be nuts!
Traitor!saa
saaahv amekua mbege lady
traitor!
Mimi na wewe tuendelea kuhariri comments!
Sawa na CHADEMA ikifa sijui utakula wapi maana kazi yako itakua imeisha rasmiMwaka jana kulivuja sauti ya wabunge wa Chadema Said Kubenea na Anthony Komu wakipanga njama za kumuuwa Boniface Jacob ili hatimae wafanikishe adhima yao ya kumng'oa Freeman Mbowe kwenye uenyekiti wa chama.
Baada ya sauti hizo kuvuja mara moja chama kilitangaza kikao cha dharura cha kamati kuu kuwahoji ili waweze kuchukuliwa hatua kali sana ikiwa pamoja na kufukuzwa Chadema.
Matokeo yake baada ya kikao cha kamati kuu hao wabunge wauaji walisamehewa na kutakiwa kuomba radhi tu!!!
Kama hali ni hiyo, wabunge wa viti maalum Chadema si wauaji na wala hawajatishia kumuuwa mtu yoyote ila wanajaribu tu kutumia haki yao ya kikatiba iweje wafukuzwe Chadema?
Kweli kuwa mwanamke Chadema ni dhambi kubwa kuliko wapanga mauaji waliosamehewa??
Tusubiri na kuona kesho kikao cha kamati kuu chadema kitaamua nini ,bila shaka Mbowe is going to be tested again na maamuzi tofauti na kufukuza yatamwimalisha ,na maamuzi ya kufukuza hao wanawake itakuwa ni kiss of death kwa Mbowe na Chadema kwa ujumla.