BAVICHA: Tumesikitishwa sana na walioenda kuapa, ni kitendo cha usaliti, hujuma na hakiwezi kuvumilika. Wataka hatua kali zichukuliwe

BAVICHA: Tumesikitishwa sana na walioenda kuapa, ni kitendo cha usaliti, hujuma na hakiwezi kuvumilika. Wataka hatua kali zichukuliwe

Hapo, Hekima itumike! La sivyo, Chadema imezikwa rasimi!!

Mimi Naamini kabisa M/kiti Chama hakosi kwenye hii inshu, na kama kufukuzwa, Yeye awe wa Kwanza ndipo wafuate hao dada zetu!

Swali linakuja, ni Nani wa kumfukuza Mbowe hapo Ufipa?

Yetu macho!!
 
Hakuna mtu yeyote ambae angepewa ile fursa angeikataa.

Hata Halima na Ester Bulaya wangeachwa kwenye ile orodha wangesema kama walivyosema walioachwa.

Wabunge wenyewe wa viti maalum wanajiita 'Covid 19' wakiashiria idadi yao

Hakuna "mtu yeyote." Yeyote?
 
Acheni chuki kwa dada zenu hivyo viti maalum kama vingekuwa vinawahusu wanaume sahizi zamani akina Mbowe na Lema wangekuwa wameshaapishwa na kijifanya wamechenji gia angani
 
Unazidi kujichanganya, real criminals wanawazidi akili, badala ya kuwawajibisha, mnawatetea tena kwa nguvu zote, so sad!

Waziwazi mmejua mlibugi kuingilia na kujimilikisha mchakato wa chama chao.

Wenyewe wamechacha hawataki ukhanithi!

Wakajifiche wapi jiwe, manoti na bwana supika waasisi wa utopolo huu?

Mijizi mikubwa!
 
Kwakuwa mademu zao hawakupa kiti ndio maana mnawaonea wivuu. Fikiria kama John Mnyika mke wake angekuemo kwenye list si angekaaa kimyaaa.
 
Mambo hayo
CCM iibe kura dhidi ya mgombea yupi?
Mgombea wenu alikuwa sera zipi?
Hizi move zenu za kura nani anahagaika nazo
Screenshot_20201101-101529.jpg
 
Sijaona maana ya hiyo press, nilitegemea wao wanataka kuweka wazi msimamo pia kupendekeza hatua ambayo inahitajika na wengi, lakini ajabu ni kuwa hawanyooshi maelezo hasa juu ya kile wanacho kiwaza wao.
 
Mimi na wewe tuendelea kuhariri comments!

Ongelea moyo wako si nyoyo za wengine. Kwa vile wewe si nabii wa Mungu, huo ndiyo uungwana. Vinginevyo mengine ni ramli typical kwa jamii zisizo staarabika.
 
Yule wa Nkasi vipi wamekubaliana naye kwenda bungeni kinyume na msimamo wa chama?
 
Mwaka jana kulivuja sauti ya wabunge wa Chadema Said Kubenea na Anthony Komu wakipanga njama za kumuuwa Boniface Jacob ili hatimae wafanikishe adhima yao ya kumng'oa Freeman Mbowe kwenye uenyekiti wa chama.

Baada ya sauti hizo kuvuja mara moja chama kilitangaza kikao cha dharura cha kamati kuu kuwahoji ili waweze kuchukuliwa hatua kali sana ikiwa pamoja na kufukuzwa Chadema.
Matokeo yake baada ya kikao cha kamati kuu hao wabunge wauaji walisamehewa na kutakiwa kuomba radhi tu!!!

Kama hali ni hiyo, wabunge wa viti maalum Chadema si wauaji na wala hawajatishia kumuuwa mtu yoyote ila wanajaribu tu kutumia haki yao ya kikatiba iweje wafukuzwe Chadema?
Kweli kuwa mwanamke Chadema ni dhambi kubwa kuliko wapanga mauaji waliosamehewa??

Tusubiri na kuona kesho kikao cha kamati kuu chadema kitaamua nini ,bila shaka Mbowe is going to be tested again na maamuzi tofauti na kufukuza yatamwimalisha ,na maamuzi ya kufukuza hao wanawake itakuwa ni kiss of death kwa Mbowe na Chadema kwa ujumla.
Sawa na CHADEMA ikifa sijui utakula wapi maana kazi yako itakua imeisha rasmi
 
Back
Top Bottom