paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,503
- 3,499
Hapo, Hekima itumike! La sivyo, Chadema imezikwa rasimi!!
Mimi Naamini kabisa M/kiti Chama hakosi kwenye hii inshu, na kama kufukuzwa, Yeye awe wa Kwanza ndipo wafuate hao dada zetu!
Swali linakuja, ni Nani wa kumfukuza Mbowe hapo Ufipa?
Yetu macho!!
Mimi Naamini kabisa M/kiti Chama hakosi kwenye hii inshu, na kama kufukuzwa, Yeye awe wa Kwanza ndipo wafuate hao dada zetu!
Swali linakuja, ni Nani wa kumfukuza Mbowe hapo Ufipa?
Yetu macho!!