BAVICHA yatinga Rufiji, Yakagua Mafuriko na kufanya Tathmin kabambe

Bavicha haina ubishoo Tayari andiko la Kitaalam kukabiliana na hili janga lipo Engine room...Bavicha imejaa wasomi wapo sehemu mbali mbali vitengo nyeti Kulitumilkia Taifa
We piga miayo tu huko uswekeni chama kiko Mjini
Umeandika ukweli mzito !
 
Wamechooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooka !
 
Ni vyema ndugu na jamaa wanapopata madhira kuwafriji.
 
ni mapanya sio 🐒
 
.Toeni Msaada kwa kodi zetu kwa maafa Rufiji muache kulalamika.

Kodi zao kila mwaka mnakula kwenye majanga mnakimbia.
 
Waathirika wa kule Hanang mliwasaidia nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…