Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Mzee em acha utani, yn mtu ana shida ya chakula, malazi halafu ww unaenda na pole zako sasa itamsaidia n.?Siyo lazima uwe na kitu ndio umfariji mtu.
Hata kumtamkia neno la uzima tu inatosha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee em acha utani, yn mtu ana shida ya chakula, malazi halafu ww unaenda na pole zako sasa itamsaidia n.?Siyo lazima uwe na kitu ndio umfariji mtu.
Hata kumtamkia neno la uzima tu inatosha.
Basi katoe pole wewe uende na gunia la viaziMzee em acha utani, yn mtu ana shida ya chakula, malazi halafu ww unaenda na pole zako sasa itamsaidia n.?
Waambie bavichaa walioenda mikono mitupu na kupiga domoBasi katoe pole wewe uende na gunia la viazi
Hao ni bavicha au ni wavuta bangi wameokotwa kijiwenViongozi wa Bavicha , ambayo imetajwa kote Duniani kama Taasisi bora kabisa ya Vijana Barani Africa , imefika Rufiji kwa ajili ya kuwafariji Wahanga na kushiriki uokozi, ikiwa ni pamoja na kufanya tathmini ya madhara yaliyotokea.
Baada ya kumaliza ziara hiyo wataongea na Waandishi wa Habari na kufumua kila kilichofichwa.
Usiondoke JF
Mbona kama roho inakuuma shida ni nini Kaka?Waambie bavichaa walioenda mikono mitupu na kupiga domo
Unafiki waoMbona kama roho inakuuma shida ni nini Kaka?
Ndio unakuuma?Unafiki wao
Hapana, inakuwashaNdio unakuuma?
Wazee wa matukio wangekosa hawa misso misondo ningeshagaa angalizo wasipewe michango!
Mwashambwa hana akili huyo, usipoteze muda wako kumjibu, mpuuze kama unavyowapuuza punguani wengine.Hunaga jema kwa opposition party period!!! [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Mafuriko yamesababishwa na wenye PhD, hapo unasemaje?Hapo kuna hata aliyemaliza kidato cha nne?
Wewe hanang' unaijua au!?,punguza hizoUmewahi kuona wapi CHADEMA wakatoa misaada wakati wao wenyewe ndio watafuna misaada? Waulize kwenye maporomoko ya Hanang walipata shilingi ngapi kwenye kale kanamba ambako waliweka picha ya Mbowe? Walipeleka wapi kilichopatikana? CHADEMA ni matapeli sana na mafisi linapokuja suala la pesa mbele yao
Kati yao kuna Nyerere na Monalisa hapo? Wasubiri ukumbini ndiko utajua kama wanafanana na chawa wa mama.Wazee wa matukio wangekosa hawa misso misondo ningeshagaa angalizo wasipewe michango!
Kibubu hakijavunjwa!Nani kakupiga fix kwamba zimeliwa ?
Huyo mjinga tulishampiga tofali (ignore) kitambo hatusomi upumbavu wake , aliletwa na watu fulani kuvuruga nyuziMbona kama roho inakuuma shida ni nini Kaka?
HahahaaHuyo mjinga tulishampiga tofali (ignore) kitambo hatusomi upumbavu wake , aliletwa na watu fulani kuvuruga nyuzi
Ni miongoni mwa wanaolipwa kwa kutukana humu jf , usibishane na wajinga ni kuignore tuHahahaa
Sawa mkuu....tumlime tofali tuNi miongoni mwa wanaolipwa kwa kutukana humu jf , usibishane na wajinga ni kuignore tu