Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #81
Bado wengine watatu nawasikilizia , wakileta ujinga zaidi ni tofaliSawa mkuu....tumlime tofali tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado wengine watatu nawasikilizia , wakileta ujinga zaidi ni tofaliSawa mkuu....tumlime tofali tu
Piga chini woteBado wengine watatu nawasikilizia , wakileta ujinga zaidi ni tofali
Ni aibu sana , unatukana halafu husomwiPiga chini wote
Uvccm si ndiyo hawa usiku wanageuka kuwa panyaroad.Mbona washapita kitambo huko UVCCM ni taasisi kubwa!
Umewahi kuona wapi CHADEMA wakatoa misaada wakati wao wenyewe ndio watafuna misaada? Waulize kwenye maporomoko ya Hanang walipata shilingi ngapi kwenye kale kanamba ambako waliweka picha ya Mbowe? Walipeleka wapi kilichopatikana? CHADEMA ni matapeli sana na mafisi linapok
Shemeji usihofu mdogo wangu Makonda atakuoa. Ila punguza makeke ya kilugalugasuala la pesa mbele yao
Umewahi kuona wapi CHADEMA wakatoa misaada wakati wao wenyewe ndio watafuna misaada? Waulize kwenye maporomoko ya Hanang walipata shilingi ngapi kwenye kale kanamba ambako waliweka picha ya Mbowe? Walipeleka wapi kilichopatikana? CHADEMA ni matapeli sana na mafisi linapok
Shemeji usihofu mdogo wangu Makonda atakuoa. Ila punguza makeke ya kilugalugasuala la pesa mbele yao
Acha ujinga, ulitaka washughulikie nini, hewa?Wazee wa matukio wangekosa hawa misso misondo ningeshagaa angalizo wasipewe michango!
Fanya kama unajikuna hiviWamechooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooka !
Zote hizo ni kampeni... Bavicha wenyewe wanaonekana ni njaa kali tuViongozi wa Bavicha , ambayo imetajwa kote Duniani kama Taasisi bora kabisa ya Vijana Barani Africa , imefika Rufiji kwa ajili ya kuwafariji Wahanga na kushiriki uokozi, ikiwa ni pamoja na kufanya tathmini ya madhara yaliyotokea.
Baada ya kumaliza ziara hiyo wataongea na Waandishi wa Habari na kufumua kila kilichofichwa.
Usiondoke JF
Uvccm wako wapi sasa ?Kwa kweli BAVICHA mambo yao ni ovyo sana, jamaa wapo kimatukio tu hawana tofauti na UVCCM
Selfie na majogambo ya kisiasa yanasaidia nini wananchi.Hapa wangepeleka misaada basi mengoneyo hayasaidii niunafiki tu wakisiasaViongozi wa Bavicha , ambayo imetajwa kote Duniani kama Taasisi bora kabisa ya Vijana Barani Africa , imefika Rufiji kwa ajili ya kuwafariji Wahanga na kushiriki uokozi, ikiwa ni pamoja na kufanya tathmini ya madhara yaliyotokea.
Baada ya kumaliza ziara hiyo wataongea na Waandishi wa Habari na kufumua kila kilichofichwa.
Usiondoke JF
Sasa unalia nini ?Selfie na majogambo ya kisiasa yanasaidia nini wananchi.Hapa wangepeleka misaada basi mengoneyo hayasaidii niunafiki tu wakisiasa
Usiondoke JF
Yani hawa vijana wawili Mwenyekiti na mwenezi ndio Bavicha yenyewe so sad vijana wengine wamebakia mitamdaoni tu ku like nanku comment harakati Ila hawa wanasfahili sifaViongozi wa Bavicha , ambayo imetajwa kote Duniani kama Taasisi bora kabisa ya Vijana Barani Africa , imefika Rufiji kwa ajili ya kuwafariji Wahanga na kushiriki uokozi, ikiwa ni pamoja na kufanya tathmini ya madhara yaliyotokea.
Baada ya kumaliza ziara hiyo wataongea na Waandishi wa Habari na kufumua kila kilichofichwa.
Usiondoke JF
BAVICHA / CHADEMA YATAKA SERIKALI ITANGAZE MAFURIKO RUFIJI NI JANGA LA KITAIFA, IJITOKEZE KUOMBA RADHI, ILIPE FIDIA
View: https://m.youtube.com/watch?v=wiLWUekH3lc
Hawa tumewatumaYani hawa vijana wawili Mwenyekiti na mwenezi ndio Bavicha yenyewe so sad vijana wengine wamebakia mitamdaoni tu ku like nanku comment harakati Ila hawa wanasfahili sifa