BAVICHA yatinga Rufiji, Yakagua Mafuriko na kufanya Tathmin kabambe

Siyo lazima uwe na kitu ndio umfariji mtu.

Hata kumtamkia neno la uzima tu inatosha.
Mzee em acha utani, yn mtu ana shida ya chakula, malazi halafu ww unaenda na pole zako sasa itamsaidia n.?
 
Hao ni bavicha au ni wavuta bangi wameokotwa kijiwen
 
Wazee wa matukio wangekosa hawa misso misondo ningeshagaa angalizo wasipewe michango!

Kama kuna mambo yanatokea halafu hufanyi chochote, basi wewe huna akilo. Kwa wenye akili tukio hufuatiwa na tathmini, na kisha action.
 
Bavicha ilikua enzi za kina mnyika hawa wa sasa ni Uvccm waliovaa koti la bavicha.
 
Wewe hanang' unaijua au!?,punguza hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…