kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
aise, usipende kutamka maendeleo na hujui maendeleo ni nn na yanatoka aje ,hakuna maendeleo bila siasa safiWatu badala ya kufanya kazi ili kukuza uchumi wa nchi wamekalia poor politics zisizo na tija katika uchumi na maendeleo ya nchi, poor you!
Aisee, lugha ya malkia ni shidaaaa...!Watu badala ya kufanya kazi ili kukuza uchumi wa nchi wamekalia poor politics zisizo na tija katika uchumi na maendeleo ya nchi, poor you!
Watu hawafanyi mambo kwa kufuata maneno ya mnafiki Ndugai, bali sheria na kanuni.wivu tu, ndugai alishatoa muongozo wa kufata, leteni kikao kilichokaa , ambatisheni kaatiba yenu inasemaje, je baraza kuu lilikaa lini, je walisikilizwa,
je kama mlizidiana maarifa kwenye ulaji, au kuwekana ubunge viti maalumu , mmeamua kuwaaharibia, basi ndugai awafukuze tu ....kama ikiwa hivo ,itakuwa mbunge akigombana na wenye chama hata bila sababu ya msingi, anavuliwa uanachama then anakomolewa asiwe mbunge , Na spika akikubali huo ujinga ,.... basi Hakuna demokrasia mnayoiimba kila siku
HAPA NI WIVU TU KWA KINA MDEE , KISA WALIWAWAHI KINA MBOWE WASIPELEKE MAJINA YA KINA JOYCE MUKYA
Kabla hakijafika Bandarisalama kitatua hapa si unajua maroli yanapita karibu na kwake mjengoni.Clinic yake India lini?? Kile cha Punjab kimefika congo, soon kitakuwa bandarini kwa malori ya mizigo
Ukiwa verified user inabidi ujifunze kuwa unaandika pointi. Vinginevyo bora kukaa kimya tu.hivi kwanini verified member wengi wa jf ni mbumbumbu ?
Wakati anawaapisha hao wahuni walimpelekea katiba na minutes za kikao kilichowachagua? Mmeishiwa na utetezi saa hii mmbeki kudandia Utetezi wa kijinga.wivu tu, ndugai alishatoa muongozo wa kufata, leteni kikao kilichokaa , ambatisheni kaatiba yenu inasemaje, je baraza kuu lilikaa lini, je walisikilizwa,
je kama mlizidiana maarifa kwenye ulaji, au kuwekana ubunge viti maalumu , mmeamua kuwaaharibia, basi ndugai awafukuze tu ....kama ikiwa hivo ,itakuwa mbunge akigombana na wenye chama hata bila sababu ya msingi, anavuliwa uanachama then anakomolewa asiwe mbunge , Na spika akikubali huo ujinga ,.... basi Hakuna demokrasia mnayoiimba kila siku
HAPA NI WIVU TU KWA KINA MDEE , KISA WALIWAWAHI KINA MBOWE WASIPELEKE MAJINA YA KINA JOYCE MUKYA
Na mbumbumbu wanajulikana kwasababu ni mbumbumbu. OvaKwasababu ni mbumbumbu
Mkuu, ukiona panya anachezea sharubu za paka, jua kuna shimo karibu.wajaribu waone , waandae note book, computer, pia mavazi waliambiwa ata Bukta ruksa hahahahahahahahaha
Mbuzi tu hao bawacha, wanapima maji kwa miguu
Machadema mnajisumbua, mnadhani mkimsifia mama ndio atakubaliana na upumbavu wenu wote!!?Muroto alianza kupona ukichaa kipindi fulani, akakaa kimya tukajua ameishapona, ila sasa naona ukichaa unaanza kurudi kwa kasi ya 4G.
Mwache ajisahau na kuhisi huu bado ni utawala wa mpenda sifa, Mama hapakaliwi mafuta kwa mgongo wa chupa wala hatanii. Mama kaisha anza na Biswalo kuvuliwa DPP na kupelekwa mahakamani ili akajionee raha ya kusikiliza kesi zisizoisha kwa kuahirishwa kila kukicha mpaka miaka 7 inakata.
Wanaamua kuwa verified kwa sababu hoja zao hazina nguvu (hazina madhara), zero effect.hivi kwanini verified member wengi wa jf ni mbumbumbu ?
Kuna ukweli fulaniWanaamua kuwa verified kwa sababu hoja zao hazina nguvu (hazina madhara), zero effect.