Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wamenifurahisha sana kwa uamuzi wao wa kuungurumia DodomaWacha wamtie ndimu bimkubwa kwanza kabla ya talehe 22
Utake usitake utasikiliza Tu huna pa kukimbiliaSitasikiliza
Mnatukaribisha Covid-19 Imeisha, mnakibali cha kufanya mikusanyiko? wasaka tonge wanawahi upepo kisiasa watembee nao fanyen himaTaarifa inaeleza kwamba Mkutano huo utafanyika kwenye ofisi za Kanda ya Kati Jijini Dodoma kesho Tarehe 21/4/2021, kuanzia saa 5 kamili asubuhi .
Wote Mnakaribishwa .
Taarifa inaeleza kwamba Mkutano huo utafanyika kwenye ofisi za Kanda ya Kati Jijini Dodoma kesho Tarehe 21/4/2021, kuanzia saa 5 kamili asubuhi .
Wote Mnakaribishwa .
Chadema ina ofisi nchi nzimaHivi wana ofisi huko?
Bawacha ndio hao maarufu kama covid-19?
Bila shaka wanakuja kuwaambia kuwa wamepata chanjo ya Astrazeneca.
umedanganywa kijinga sana !Kama pesa za kufanya mkutano wao tu wa uchaguzi wameshindwa kupata, wanataka kutuambia nn? Watuache kwanza wapambane na hali zao
Nikinyamaza nitajifunzaje , ndio maana nimekuuliza. Eti Bawacha ni nani hao?Hapana bwana kama ujui kitu nyamaza