BAWACHA kuongea na Waandishi wa Habari Jijini Dodoma

BAWACHA kuongea na Waandishi wa Habari Jijini Dodoma

Taarifa inaeleza kwamba Mkutano huo utafanyika kwenye ofisi za Kanda ya Kati Jijini Dodoma kesho Tarehe 21/4/2021, kuanzia saa 5 kamili asubuhi .

Wote Mnakaribishwa .

Muhimu : Zingatia mwongozo wa WHO kuhusu janga la corona

=========
chadema kila mtu anaongea
 
Back
Top Bottom