BAWACHA kuongea na Waandishi wa Habari Jijini Dodoma

BAWACHA kuongea na Waandishi wa Habari Jijini Dodoma

Hatuwezi kuwa na utawala wa kambale. Wamuache Mh Rais SSH ahutubie Bunge tarehe 22 ndio waruhusuwe kuongea. Labda kama wameamua kujitoa Bungeni not othewise.
Nadhani hujaelewa. Hawa wanaoongea kesho ni BAWACHA siyo Covid 19.
 
Hatuwezi kuwa na utawala wa kambale. Wamuache Mh Rais SSH ahutubie Bunge tarehe 22 ndio waruhusuwe kuongea. Labda kama wameamua kujitoa Bungeni not othewise.
Hivi wewe BAWACHA unaijua? Au unawafananisha covid 19?
 
Mzee Halima Mdee ni miongoni mwa wale 13 waliokata rufaa au ni kati ya wale 6 waliogoma.
FB_IMG_1618920941315.jpg
 
Chadema sio watu wazuri. Wangesikiliza rufaa na kuwatimulia mbali, wakina Mdee wangeenda Mahakamani ambapo Mahakama wangeweka zuio la amri kutekelezwa na hivyo kuwaruhusu kuendelea Bungeni. Wangeenda Mahakamani kabla ya rufaa yao kusikilizwa wangeweza kuambiwa wasubiri isikilizwe na status quo ya kabla ya kabla ya kuapishwe ingebakia. Na wangeonyesha kadi zao zote Mahakamani na hivyo kuirahisishia Chadema kufikia uamuzi usio pingika Mahakamani.

Mawazo yangu tu. Inawezekana kabisa ni pumba tupu.

Amandla...
 
Chadema sio watu wazuri. Wangesikiliza rufaa na kuwatimulia mbali, wakina Mdee wangeenda Mahakamani ambapo Mahakama wangeweka zuio la amri kutekelezwa na hivyo kuwaruhusu kuendelea Bungeni. Wangeenda Mahakamani kabla ya rufaa yao kusikilizwa wangeweza kuambiwa wasubiri isikilizwe na status quo ya kabla ya kabla ya kuapishwe ingebakia. Na wangeonyesha kadi zao zote Mahakamani na hivyo kuirahisishia Chadema kufikia uamuzi usio pingika Mahakamani.

Mawazo yangu tu. Inawezekana kabisa ni pumba tupu.

Amandla...
Chini ya Jiwe kulikuwa na Mahakama au Bunge? Ndiyo hao Covid bunge lake
 
Mzee Halima Mdee ni miongoni mwa wale 13 waliokata rufaa au ni kati ya wale 6 waliogoma.
Hilo ni swali ama umetoa taarifa? CCM hopeless kabisa, yaani hata alama za kwenye sentensi hamjui kutumia? Hakika "SUPIKA" na GENGE lake huko bungeni wako sahihi kabisa, vijana wa CCM ni 'useless".
 
umedanganywa kijinga sana !

Ww ndio umedanganywa, walishaleta Barua ya kuomba ufadhiri wa mkutano wao wa uchaguzi wa kumchagua mwenyekiti mpya after mdee

Hawana hata mia ya kukodi viti
 
Tupo busy tunajiandaa na hotuba ya Rais Kesho.
 
Back
Top Bottom