Nadhani hujaelewa. Hawa wanaoongea kesho ni BAWACHA siyo Covid 19.Hatuwezi kuwa na utawala wa kambale. Wamuache Mh Rais SSH ahutubie Bunge tarehe 22 ndio waruhusuwe kuongea. Labda kama wameamua kujitoa Bungeni not othewise.
Siyo Covid 19, ni BAWACHA Taifa (Baraza la Wanawake CHADEMA).Bawacha ndio hao maarufu kama covid-19?
Bila shaka wanakuja kuwaambia kuwa wamepata chanjo ya Astrazeneca.
Hivi wewe BAWACHA unaijua? Au unawafananisha covid 19?Hatuwezi kuwa na utawala wa kambale. Wamuache Mh Rais SSH ahutubie Bunge tarehe 22 ndio waruhusuwe kuongea. Labda kama wameamua kujitoa Bungeni not othewise.
Mdee alishatimuliwa ChademaJambo jema, Mama apate ziada live, japo sijui ni Bawacha ipi ya Mdee ama ipo mpya?
Wapate wapiHivi wana ofisi huko?
Mzee Halima Mdee ni miongoni mwa wale 13 waliokata rufaa au ni kati ya wale 6 waliogoma.
KademkeSitasikiliza
Mchawi hana alamaπ πWanaenda kumwaga mboga. Maza atamalizia kwa kumwaga ugali
Yap tunajua zipo kwenye mifuko na briefcase zaoChadema ina ofisi nchi nzima
Inakuhusu ww endelea na mitano sisi tunasonga mbele na samiaSitasikiliza
ngawethu ..Husna Said atakuwepo?
Amandla...
Chini ya Jiwe kulikuwa na Mahakama au Bunge? Ndiyo hao Covid bunge lakeChadema sio watu wazuri. Wangesikiliza rufaa na kuwatimulia mbali, wakina Mdee wangeenda Mahakamani ambapo Mahakama wangeweka zuio la amri kutekelezwa na hivyo kuwaruhusu kuendelea Bungeni. Wangeenda Mahakamani kabla ya rufaa yao kusikilizwa wangeweza kuambiwa wasubiri isikilizwe na status quo ya kabla ya kabla ya kuapishwe ingebakia. Na wangeonyesha kadi zao zote Mahakamani na hivyo kuirahisishia Chadema kufikia uamuzi usio pingika Mahakamani.
Mawazo yangu tu. Inawezekana kabisa ni pumba tupu.
Amandla...
labda kama huna machoYap tunajua zipo kwenye mifuko na briefcase zao
πππKademke
Hilo ni swali ama umetoa taarifa? CCM hopeless kabisa, yaani hata alama za kwenye sentensi hamjui kutumia? Hakika "SUPIKA" na GENGE lake huko bungeni wako sahihi kabisa, vijana wa CCM ni 'useless".Mzee Halima Mdee ni miongoni mwa wale 13 waliokata rufaa au ni kati ya wale 6 waliogoma.
umedanganywa kijinga sana !
Nijuavyo kuna Bendera zimesalia Tangu kipindi cha kampeni maeneo ya vigenge vya kahawa au ndo ofis hizo.Chadema ina ofisi nchi nzima