Erythrocyte JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 128,308 Reaction score 245,426 Apr 21, 2021 Thread starter #41 Kumekucha !
Gerald .M Magembe JF-Expert Member Joined Jul 17, 2013 Posts 2,496 Reaction score 1,800 Apr 21, 2021 #42 Rohombaya said: Dah....kwahiyo wamekubaliana kuhusu makao makuu ya NCHI? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Hawana tofauti na binti anae kupenda lakini anakuzunguusha. Ikfika siku imempendeza mnamalizana tuu.
Rohombaya said: Dah....kwahiyo wamekubaliana kuhusu makao makuu ya NCHI? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Hawana tofauti na binti anae kupenda lakini anakuzunguusha. Ikfika siku imempendeza mnamalizana tuu.
MFUKO WA RAMBO JF-Expert Member Joined May 30, 2017 Posts 201 Reaction score 114 Apr 21, 2021 #43 Erythrocyte said: Chadema ina ofisi nchi nzima Click to expand... Ni kweli kbs hata kama ni vibanda
K kabombe JF-Expert Member Joined Feb 11, 2011 Posts 26,153 Reaction score 18,740 Apr 21, 2021 #44 Erythrocyte said: Taarifa inaeleza kwamba Mkutano huo utafanyika kwenye ofisi za Kanda ya Kati Jijini Dodoma kesho Tarehe 21/4/2021, kuanzia saa 5 kamili asubuhi . Wote Mnakaribishwa . Muhimu : Zingatia mwongozo wa WHO kuhusu janga la corona ========= Click to expand... chadema kila mtu anaongea
Erythrocyte said: Taarifa inaeleza kwamba Mkutano huo utafanyika kwenye ofisi za Kanda ya Kati Jijini Dodoma kesho Tarehe 21/4/2021, kuanzia saa 5 kamili asubuhi . Wote Mnakaribishwa . Muhimu : Zingatia mwongozo wa WHO kuhusu janga la corona ========= Click to expand... chadema kila mtu anaongea
Erythrocyte JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 128,308 Reaction score 245,426 Apr 21, 2021 Thread starter #45 kabombe said: chadema kila mtu anaongea Click to expand... Na hiyo ndio nguvu ya chama cha siasa