BAWACHA kuongea na Waandishi wa Habari Jijini Dodoma

Taarifa inaeleza kwamba Mkutano huo utafanyika kwenye ofisi za Kanda ya Kati Jijini Dodoma kesho Tarehe 21/4/2021, kuanzia saa 5 kamili asubuhi .

Wote Mnakaribishwa .

Muhimu : Zingatia mwongozo wa WHO kuhusu janga la corona

=========
chadema kila mtu anaongea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…