BAWACHA kutinga Bungeni tarehe 10/05/2021 kuwatimua Wabunge 19 waliopora nafasi za CHADEMA

Wajiandae kuchakazwa
 
Huyu Husna ni balaa lazima atalitekelez atalifanya atatekeleza
 
Husna huyo! 🙂

Amandla...
 
Hawa BAWACHA, njaa itawaua! Watafute wanaume wa kuwaoa wawasitiri na dhiki ndogo ndogo waache kutia aibu.
Hata kina Mdee wakiondolewa kwenye hizo nafasi, CHADEMA haitokuwa na right ya kupeleka viti maalum wengine kwa kuwa wataonekana kuwa hawakupeleka nominations within a reasonable time; kitu kinachoashiria kuwa wame forfeit their rights.
 
Teh teh

Ova
 
Bwashee mbona kama haueleweki? Yaani Bawacha wakadai nafasi 19 wakati uchaguzi hautambuliki ndio maana CDM hawakutaka kupeleka viti maalum.
 
CHADEMA fanyeni teuzi za wabunge 19 mkiambatanisha muhitasari wenu wa vikao vilivyofanya maamuzi na mpeleke kwa tume ya Taifa ya uchaguzi ili tume ipeleke hayo majina kwa spika. Bawacha wanaweza kuandamana iwapo tu, wajina yao halali yameshindikana kusomwa bungeni.
 
Makamu wa Rais mwingine!
Uchaguzi uleule, Bunge lilelile, speaker yuleyule, mbunge wa chadema yuleyule na naibu speaker ni yuleyule

Serikali ya sita lakini Bunge namba nin lilelilela 12
 
Hawajui ndugai nini?

Ngoja wajiandae na virungu, mabomu ya gesi, mikanda na kutiwa dore, wanasahau kule Bunda na Tarime wakati wa kampeni?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…