Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,818
- 5,555
Rais wa nchi anahusikaje na kuwatambua au kutowatambua wabunge? Hilo ni suala la spika wa Bunge.
Vv
Vv
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli aisee, wanafanya michezo ya kitoto, unamuacha demu lakini bado unaendelea kumfatilia na kila siku kuchungulia kama kaingia whatsap, mwisho wa siku unajikuta unakonda mpaka unakufa.Sasa kama wameshawafukuza uanachama kinachowasumbua kuwa fuatafuata ni nini? waacheni waendelee na mambo yao nyie hamuwatambui mnataka wao wawatambue nyie kama kina nani? mnawapa umaarufu hebu kaeni bila kuwaongelea muone kama kuna tatizo shida mnayo nyie mnaowaongelea kila siku mmeshawafukuza basi.
Hapa ndo patamu. Badala ya kusikiliza rufaa zao wanakimbilia kulishinikiza Bunge liwafukuze. Ilitakiwa kwanza wamshinikize Mbowe aitishe kikao cha kusikiliza rufaa zao kwa mujibu wa katiba yao inavyosema. Halafu kama wanazitupilia mbali ijulikane kwamba wamezikataa rufaa zao.na kama wanadai wamewavua uanachama huku hawataki kusikiliza rufaa zao sasa kinachowasumbua nini ? mmemvua uanachama siyo mwanachama wenu kinachowafanya waanze kutaka kumsumbua mama avunje katiba kuingilia mhimili wa bunge ni nini?
RAIS ni mhimili unaojitegemea ni taasisi na bunge ni mhimili unaojitegemea hauwezi kuingiliwa na mhimili mwingine acha uboya weweWewe usiwe iboya kama jina lako. Katiba inatamka wazi kuwa bunge lina sehemu mbili yaani Rais na Wabunge. Ukikiri ujinga wako utapungukiwa nini?
Katika mkutano huo, Catherine Ruge amesema:
Tumeona kwenye vyombo vingi vya habari kuwa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassani anaenda kulihutubia Bunge tarehe 22 -04-2021 kwa mara ya kwanza tangu alipoapishwa kwa rais wa JMT kufuatia kifo cha mtangulizi wake, Dkt John Magufuli.
Kuelekea tukio hilo, sisi BAWACHA tuna jambo mahususi amabalo tungependa kuliwasilisha kwa Mh. Rais.
Jambo hilo ni uwepo wa wanaoitwa Wabunge 19 katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Rais Samia Suluhu Hassan akiwa anakwenda kulihutubia Bunge hapo kesho, sisi wanawake wa CHADEMA tungependa atambue, katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuna watu wanaoitwa Wabunge 19 ambao wapo katika hilo bunge analotaraji kuhutubia, kinyume na katiba...
Hata hivyo, hao Wabunge 19 hawajakidhi vigezo kwa mujibu wa Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwakuwa Rais Samia Suluhu Hassan ameapa kuilinda katiba ya JMT na amekuwa akieleza hivyo mara kadhaa kwenye hotuba zake ambazo amekuwa akizitoa baada ya kuwa ameapishwa.
...atakuwa amevunja katiba kwa kuwaruhusu hao wanaoitwa Wabunge 19 kuhudhuria vikao vya bunge na kushiriki shughuli mbalimbali za bunge.
----- MAONI YANGU ----
BAWACHA hawaelewi maana ya kutofautisha mihimili
Nimesikiliza maongezi ya Bawacha walivyokuwa wanaongea na waandishi wa habari Dodoma yaani inaonekana wazi kuwa hawajui ni nini wanataka au ninini wafanye.
Unapomwambia Rais anapoenda bungeni asiwatambue au aende kuongelea suala la hao wabunge ni kumkosea adabu mheshimiwa Rais.
Yaani mnamtaka avunje katiba hadharani ili baadae mje tena muanze kusema kavunja katiba; hivyo atakuwa anaingilia mhimili mwingine, hiyo haiwezekani.
tafuteni agenda nyingine siyo kumuingiza mama kwenye mifarakano ya taasisi yenu.
Asante
sawa kabisa mkuu unafikiri wanaelewa hawa? halafu ndiyo wapewe nchi hiyo katiba itakuwa inavnjwa kila sikuHapa ndo patamu. Badala ya kusikiliza rufaa zao wanakimbilia kulishinikiza Bunge liwafukuze. Ilitakiwa kwanza wamshinikize Mbowe aitishe kikao cha kusikiliza rufaa zao kwa mujibu wa katiba yao inavyosema. Halafu kama wanazitupilia mbali ijulikane kwamba wamezikataa rufaa zao.
Halafu baada ya hapo , wamuandikie Spika kuhusu kuwavua uanachama wabunge wao, siyo kuongea kwenye mitandao. Spika hawezi kufanya kazi kwa mitandao.
siyo kweli bunge lina jitegemea na taasisi ya rais inajitegemea huwezi rais ukaanza kumpangia bunge mambo ya kufanya utakuwa umenajisi bunge muacheni mama msimvunjishe sheria
Serikali Ina mihimili mitatu,Ila nadhani umesahau kuwa Kuna muhimili umejichimbia chini zaidi😆😆😆🏃🏃
siyo kweli bunge lina jitegemea na taasisi ya rais inajitegemea huwezi rais ukaanza kumpangia bunge mambo ya kufanya utakuwa umenajisi bunge muacheni mama msimvunjishe sheria
Serikali Ina mihimili mitatu,Ila nadhani umesahau kuwa Kuna muhimili umejichimbia chini zaidi😆😆😆🏃🏃
Mchaga siyo chumia tumboSukuma vs chagas
Wote kazini yetu macho
Right. Hiyo ni kazi ya spika.Katika mkutano huo, Catherine Ruge amesema:
Tumeona kwenye vyombo vingi vya habari kuwa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassani anaenda kulihutubia Bunge tarehe 22 -04-2021 kwa mara ya kwanza tangu alipoapishwa kwa rais wa JMT kufuatia kifo cha mtangulizi wake, Dkt John Magufuli.
Kuelekea tukio hilo, sisi BAWACHA tuna jambo mahususi amabalo tungependa kuliwasilisha kwa Mh. Rais.
Jambo hilo ni uwepo wa wanaoitwa Wabunge 19 katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Rais Samia Suluhu Hassan akiwa anakwenda kulihutubia Bunge hapo kesho, sisi wanawake wa CHADEMA tungependa atambue, katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuna watu wanaoitwa Wabunge 19 ambao wapo katika hilo bunge analotaraji kuhutubia, kinyume na katiba...
Hata hivyo, hao Wabunge 19 hawajakidhi vigezo kwa mujibu wa Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwakuwa Rais Samia Suluhu Hassan ameapa kuilinda katiba ya JMT na amekuwa akieleza hivyo mara kadhaa kwenye hotuba zake ambazo amekuwa akizitoa baada ya kuwa ameapishwa.
...atakuwa amevunja katiba kwa kuwaruhusu hao wanaoitwa Wabunge 19 kuhudhuria vikao vya bunge na kushiriki shughuli mbalimbali za bunge.
----- MAONI YANGU ----
BAWACHA hawaelewi maana ya kutofautisha mihimili
Nimesikiliza maongezi ya Bawacha walivyokuwa wanaongea na waandishi wa habari Dodoma yaani inaonekana wazi kuwa hawajui ni nini wanataka au ninini wafanye.
Unapomwambia Rais anapoenda bungeni asiwatambue au aende kuongelea suala la hao wabunge ni kumkosea adabu mheshimiwa Rais.
Yaani mnamtaka avunje katiba hadharani ili baadae mje tena muanze kusema kavunja katiba; hivyo atakuwa anaingilia mhimili mwingine, hiyo haiwezekani.
tafuteni agenda nyingine siyo kumuingiza mama kwenye mifarakano ya taasisi yenu.
Asante
siyo kweli bunge lina jitegemea na taasisi ya rais inajitegemea huwezi rais ukaanza kumpangia bunge mambo ya kufanya utakuwa umenajisi bunge muacheni mama msimvunjishe sheria
RAIS NI SEHEMU YA BUNGE......
Bunge la Jamhuri ya Muungano waTanzania lilianzishwa kwa mujibu wa Ibara ya 62(1) ya Katiba na lina sehemu mbili, ambazo ni Rais na Wabunge.
KATIBA INASEMA HIVYO ,Wewe unasema "siyo kweli".
Bunge la Jamhuri ya Muungano waTanzania lilianzishwa kwa mujibu wa Ibara ya 62(1) ya Katiba na lina sehemu mbili, ambazo ni Rais na Wabunge.
Watu wengi hawaelewi tofauti ya Parliament na National Assembly. Rais anapoingia bungeni ndo linakua N. Assembly so kesho akiyaongea hayo ndani ya Bunge anakua hajavunja katiba ila sio akiwa nje wakati Parliament inaendeleaRAIS NI SEHEMU YA BUNGE......
Bunge la Jamhuri ya Muungano waTanzania lilianzishwa kwa mujibu wa Ibara ya 62(1) ya Katiba na lina sehemu mbili, ambazo ni Rais na Wabunge.
Watanzania siyo wajinga bwashee!Mkuu @johnthebaptist, mimi ni msomaji mzuri wa mada zako na huwa nachangia. Ila hii iko chini ya kiwango. Ukiweza i-DELETE
Imelenga ukweli mtupu!Mkuu @ohnthebaptist, mimi ni msomaji mzuri wa mada zako na huwa nachangia. Ila hii iko chini ya kiwango. Ukiweza i-DELETE