BAWACHA: Rais Samia asiwatambue Wabunge 19 wa Viti Maalum waliofukuzwa uanachama CHADEMA

BAWACHA: Rais Samia asiwatambue Wabunge 19 wa Viti Maalum waliofukuzwa uanachama CHADEMA

Mara nyingi wanaoandikaga ujinga huu ni watu vilaza sana waliokuwa wanaruka dirishani mwalimu wa hisabati akiingia kwa kifupi una tatizo kubwa sana kwenye ubongo wako hafu nahisi ulikuwa unatoroka darasani kila siku haujui unachoongea ni nn umekaririshwa maneno tu rubbish
Wewe ndio mjinga kama unawakubali wabunge wasio halali.
 
Inajulikana wazi kuwa Rais Samia Suluhu kabla ya kukabidhiwa madaraka haya ya urais, aliapa kuitii na kuiheshimu Katiba ya nchi.

Katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, katika Ibara ya 67(1)(b) inaeleza wazi kuwa huwezi kuwa mbunge wa Bunge letu, bila kwanza kuwa mwanachama chama cha siasa nchini.

Tunajua pia kuwa chama cha Chadema kilishawavua uanachama wao hao wanaoitwa ni wabunge wa viti maalum wa Chadema

Sasa tunamtegemea Rais wetu Samia Suluhu, alihutubie Bunge baadaye leo majira ya saa 10 jioni na kukitengua kitendawili hicho.

Aidha awe upande wa Spika Ndugai, ambaye kila mwananchi anajua kuwa ameivunja Katiba ya nchi, kwa kuendelea kuwatambua na kuwakumbatia hao wabunge akina Halima Mdee, au asimamie Katiba ya nchi na kumueleza Spika Ndugai kuwa anakosea kuendelea kuwakumbatia wabunge hao, kwa kuwa siyo wabunge halali, kwa mujibu wa Katiba yetu.

Kwa kuwa Rais wetu ameonyesha wazi kuwa anaitii na kuiheshimu Katiba ya nchi yetu. kwa hiyo "ramli" ya nini kitatokea baada ya hotuba yake hiyo kuhusiana na wabunge hao kinatabirika!
Hilo ni swala la Tume ya uchaguzi!
 
Hiko kitendwali hakiwezi kuteguliwa na Rais kwa sababu yeye sio mkuu wa mhimili wa bunge. Msitegemee lolote kutoka kwake kuhusu kwake. Hiko ni kitendwali cha Ndugai.
 
Nitaisikiliza hotuba mwanzo mwisho; asipotatua swala la kina Mzee Mdee na Covid-19 wenzake, nitasikitika sana
 
Sasa tunamtegemea Rais wetu Samia Suluhu, alihutubie Bunge baadaye leo majira ya saa 10 jioni na kukitengua kitendawili hicho.
Mbunge akishaapa,ni mahakama tu
Badala ya kuharibu kutafuta huruma ya Rais,ni bora mkapeleka mapambano mahakamani
 
Inajulikana wazi kuwa Rais Samia Suluhu kabla ya kukabidhiwa madaraka haya ya urais, aliapa kuitii na kuiheshimu Katiba ya nchi.

Katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, katika Ibara ya 67(1)(b) inaeleza wazi kuwa huwezi kuwa mbunge wa Bunge letu, bila kwanza kuwa mwanachama chama cha siasa nchini.

Tunajua pia kuwa chama cha Chadema kilishawavua uanachama wao hao wanaoitwa ni wabunge wa viti maalum wa Chadema

Sasa tunamtegemea Rais wetu Samia Suluhu, alihutubie Bunge baadaye leo majira ya saa 10 jioni na kukitengua kitendawili hicho.

Aidha awe upande wa Spika Ndugai, ambaye kila mwananchi anajua kuwa ameivunja Katiba ya nchi, kwa kuendelea kuwatambua na kuwakumbatia hao wabunge akina Halima Mdee, au asimamie Katiba ya nchi na kumueleza Spika Ndugai kuwa anakosea kuendelea kuwakumbatia wabunge hao, kwa kuwa siyo wabunge halali, kwa mujibu wa Katiba yetu.

Kwa kuwa Rais wetu ameonyesha wazi kuwa anaitii na kuiheshimu Katiba ya nchi yetu. kwa hiyo "ramli" ya nini kitatokea baada ya hotuba yake hiyo kuhusiana na wabunge hao kinatabirika!
Mbona afadhali ya mwasilisha mada kuliko hoja yako isiyo na nukta ya uelewa? Kwa kuwa mtz tu bila kujali elimu ungeujua ukweli
 
Mara nyingi wanaoandikaga ujinga huu ni watu vilaza sana waliokuwa wanaruka dirishani mwalimu wa hisabati akiingia kwa kifupi una tatizo kubwa sana kwenye ubongo wako hafu nahisi ulikuwa unatoroka darasani kila siku haujui unachoongea ni nn umekaririshwa maneno tu rubbish
SEMA SASA YAKO AMBAYO SIO RUBBISH
 
Mara nyingi wanaoandikaga ujinga huu ni watu vilaza sana waliokuwa wanaruka dirishani mwalimu wa hisabati akiingia kwa kifupi una tatizo kubwa sana kwenye ubongo wako hafu nahisi ulikuwa unatoroka darasani kila siku haujui unachoongea ni nn umekaririshwa maneno tu rubbish
Jikite kwenye hoja bimkubwa.
 
Inajulikana wazi kuwa Rais Samia Suluhu kabla ya kukabidhiwa madaraka haya ya urais, aliapa kuitii na kuiheshimu Katiba ya nchi.

Katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, katika Ibara ya 67(1)(b) inaeleza wazi kuwa huwezi kuwa mbunge wa Bunge letu, bila kwanza kuwa mwanachama chama cha siasa nchini.

Tunajua pia kuwa chama cha Chadema kilishawavua uanachama wao hao wanaoitwa ni wabunge wa viti maalum wa Chadema

Sasa tunamtegemea Rais wetu Samia Suluhu, alihutubie Bunge baadaye leo majira ya saa 10 jioni na kukitengua kitendawili hicho.

Aidha awe upande wa Spika Ndugai, ambaye kila mwananchi anajua kuwa ameivunja Katiba ya nchi, kwa kuendelea kuwatambua na kuwakumbatia hao wabunge akina Halima Mdee, au asimamie Katiba ya nchi na kumueleza Spika Ndugai kuwa anakosea kuendelea kuwakumbatia wabunge hao, kwa kuwa siyo wabunge halali, kwa mujibu wa Katiba yetu.

Kwa kuwa Rais wetu ameonyesha wazi kuwa anaitii na kuiheshimu Katiba ya nchi yetu. kwa hiyo "ramli" ya nini kitatokea baada ya hotuba yake hiyo kuhusiana na wabunge hao kinatabirika!

Ishu ni kuwa je ni kwanini chadema iliwavua wakina mdee uanachama?

Wakina mdee wamevuliwa uanachama kwa sababu moja tu ya kutii katiba na sheria ya inchi

Jambo la viti maalum sio jambo la chadema ni jambo la kisheria

Sasa kisa tu Bwana mjika madem zake hawapo kwenye ubunge ndio wanune?

Kama ni kuibiwa kura nitajie ni mwaka gani chadema hawajaibiwa kura na mbona walikuwa wanaenda bungeni?
 
Jibu hoja na wala usibwabwaje

Hivi Spika Ndugai kuendelea kuwakumbatia hao wabunge kina Halima Mdee, wakati inajulikana wazi kiwa chama chao cha Chadema kimeshawavua uanachama, je wako bungeni wakiwa wanachama wa chama kipi cha siasa?

Kwa kuwa inafahamika kuwa ni takwa la kikatiba, kuwa ili uwe mbunge wa Bunge letu ni LAZIMA uwe mwanachama wa chama cha siasa

Na ukumbuke katiba ndio inataka viti maalum so wakina mdee hawajavunja katiba yoyote
 
Mleta mada, kwa Mama Samia hili kwake ni gumu kwa sababu hahusiki nalo! Anachotakiwa kufanya ni kupiga tu jiwe kizani kueleza ni namna gani hafurahishwi na jinsi uvunjwaji wa wazi wazi wa katiba kwenye taasisi mbalimbali ikiwamo bunge. Kinyume na hapo, asithubutu kabisa kugusia moja kwa moja suala hilo kwa sababu ataonekana anaingilia mhimili mwingine!
 
Ana wakati mgumu sana. Ile kauli yake kwamba yeye na JPM ni mtu mmoja haikuwa nzuri. Aachane na kivuli cha mtangulizi wake akitaka kuheshimu katiba na kutenda haki.
 
Anahusika kikatiba. Hilo liko wazi ingawa kwako ni maji marefu.
Akifanya hivyo itakua haingilii mhimili wa Bunge??

Katiba inasemaje kuhusiana na mamlaka ya Rais juu ya Mbunge na ukizingatia sio wa Chama chake??
 
Kweli shule ni muhimu, hivi Rais atafanya nini juu ya hilo suala? Maana yeye yupo kwenye muhimili wa serikali na hilo suala lipo kwenye muhimili wa bunge. Spika anadai alipelekewa majina na NEC, je Rais atawezaje kuingilia Muhimili mwingine wa nchi? Huoni atakua anavunja katiba ya nchi, ili tu awafurahishe baadhi ya watu.

Ikiwa ni kweli CHADEMA hawakupeleka majina NEC, kwanini wasiende mahakamani kupinga hilo suala, kwanini wasifungue kesi ya kikatiba mahakama kuu? Ushahidi si wanao? Shida kubwa sana ya sisi wananchi (wacheza mdumange) hatujawajua wanasiasa, hilo suala unaweza kukuta wakubwa wa chama wanalijua vzr, na walishapiga pesa. Wanachofanya ni kujikosha tu

Hivi Halima ni wa kumgeuka Mbowe?
Hivi kwa mazingira ya Tanzania kipindi cha Mwendazake unadhani Chadema wangeenda kufungua kesi haki ingetendeka?

Hapa duniani kuna kitu kinaitwa KARMA ndio kipo na nilazima ifanye kazi. Naimani Rais wa sasa Mama Samia ni Mungu pekee ndio kamweka hapo alipo kwa makusudi flani, na siku zote kusudi la Mungu ni lazima litimie. Kila mtu kashuhudia uvunjifu wa wazi wa katiba juu ya wabunge 19 pale bungeni, na hili sio jambo dogo na nilazima litatuliwe la sivyo Karma itafanya kazi yake.

Mh. Rais Mama Samia leo tunapaswa tumuombee kwa Mungu ili atende sawasawa na mapenzi ya Mungu ili kuepusha Karma.

Tukutaneni Dodoma bungeni saa 10 jioni
 
Hili suala halina ugumu wowote ila kama yeye atamlinda Ndugai kwkw wote ni CCM. Na CCM ndiyo iliwapa zawadi hao covid-19.
Kikatiba wabunge wote pamoja na Ndugai mwenyewe wapo pale kutokana na uchaguzi mkuu wa 2020 uliokuwa wa mabavu. Mbaya zaidi ni kwamba SSH nae ni mnufaika wa mbinu zilizowaweka wenzake bungeni.
Hawezi kuwasaliti.
 
Back
Top Bottom