Wewe ndio mjinga kama unawakubali wabunge wasio halali.Mara nyingi wanaoandikaga ujinga huu ni watu vilaza sana waliokuwa wanaruka dirishani mwalimu wa hisabati akiingia kwa kifupi una tatizo kubwa sana kwenye ubongo wako hafu nahisi ulikuwa unatoroka darasani kila siku haujui unachoongea ni nn umekaririshwa maneno tu rubbish
Hilo ni swala la Tume ya uchaguzi!Inajulikana wazi kuwa Rais Samia Suluhu kabla ya kukabidhiwa madaraka haya ya urais, aliapa kuitii na kuiheshimu Katiba ya nchi.
Katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, katika Ibara ya 67(1)(b) inaeleza wazi kuwa huwezi kuwa mbunge wa Bunge letu, bila kwanza kuwa mwanachama chama cha siasa nchini.
Tunajua pia kuwa chama cha Chadema kilishawavua uanachama wao hao wanaoitwa ni wabunge wa viti maalum wa Chadema
Sasa tunamtegemea Rais wetu Samia Suluhu, alihutubie Bunge baadaye leo majira ya saa 10 jioni na kukitengua kitendawili hicho.
Aidha awe upande wa Spika Ndugai, ambaye kila mwananchi anajua kuwa ameivunja Katiba ya nchi, kwa kuendelea kuwatambua na kuwakumbatia hao wabunge akina Halima Mdee, au asimamie Katiba ya nchi na kumueleza Spika Ndugai kuwa anakosea kuendelea kuwakumbatia wabunge hao, kwa kuwa siyo wabunge halali, kwa mujibu wa Katiba yetu.
Kwa kuwa Rais wetu ameonyesha wazi kuwa anaitii na kuiheshimu Katiba ya nchi yetu. kwa hiyo "ramli" ya nini kitatokea baada ya hotuba yake hiyo kuhusiana na wabunge hao kinatabirika!
Mbunge akishaapa,ni mahakama tuSasa tunamtegemea Rais wetu Samia Suluhu, alihutubie Bunge baadaye leo majira ya saa 10 jioni na kukitengua kitendawili hicho.
Mbona afadhali ya mwasilisha mada kuliko hoja yako isiyo na nukta ya uelewa? Kwa kuwa mtz tu bila kujali elimu ungeujua ukweliInajulikana wazi kuwa Rais Samia Suluhu kabla ya kukabidhiwa madaraka haya ya urais, aliapa kuitii na kuiheshimu Katiba ya nchi.
Katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, katika Ibara ya 67(1)(b) inaeleza wazi kuwa huwezi kuwa mbunge wa Bunge letu, bila kwanza kuwa mwanachama chama cha siasa nchini.
Tunajua pia kuwa chama cha Chadema kilishawavua uanachama wao hao wanaoitwa ni wabunge wa viti maalum wa Chadema
Sasa tunamtegemea Rais wetu Samia Suluhu, alihutubie Bunge baadaye leo majira ya saa 10 jioni na kukitengua kitendawili hicho.
Aidha awe upande wa Spika Ndugai, ambaye kila mwananchi anajua kuwa ameivunja Katiba ya nchi, kwa kuendelea kuwatambua na kuwakumbatia hao wabunge akina Halima Mdee, au asimamie Katiba ya nchi na kumueleza Spika Ndugai kuwa anakosea kuendelea kuwakumbatia wabunge hao, kwa kuwa siyo wabunge halali, kwa mujibu wa Katiba yetu.
Kwa kuwa Rais wetu ameonyesha wazi kuwa anaitii na kuiheshimu Katiba ya nchi yetu. kwa hiyo "ramli" ya nini kitatokea baada ya hotuba yake hiyo kuhusiana na wabunge hao kinatabirika!
Ndiyo zao hizo hao jamaa zetu wa Lumumba.................Sijaona hoja zaidi ya dharau tu. Weka akiba ya maneno ndugu...!!
SEMA SASA YAKO AMBAYO SIO RUBBISHMara nyingi wanaoandikaga ujinga huu ni watu vilaza sana waliokuwa wanaruka dirishani mwalimu wa hisabati akiingia kwa kifupi una tatizo kubwa sana kwenye ubongo wako hafu nahisi ulikuwa unatoroka darasani kila siku haujui unachoongea ni nn umekaririshwa maneno tu rubbish
Jikite kwenye hoja bimkubwa.Mara nyingi wanaoandikaga ujinga huu ni watu vilaza sana waliokuwa wanaruka dirishani mwalimu wa hisabati akiingia kwa kifupi una tatizo kubwa sana kwenye ubongo wako hafu nahisi ulikuwa unatoroka darasani kila siku haujui unachoongea ni nn umekaririshwa maneno tu rubbish
katika hawa yule wa kutokea jela ni yupi , duh hii nchi ina mambo sanaShameless 19 must go home.View attachment 1760041View attachment 1760041
Anahusika kikatiba. Hilo liko wazi ingawa kwako ni maji marefu.Rais anahusika vipi na wabunge wa Chadema kwani yeye ni Mwenyekiti wa Chadema??
Inajulikana wazi kuwa Rais Samia Suluhu kabla ya kukabidhiwa madaraka haya ya urais, aliapa kuitii na kuiheshimu Katiba ya nchi.
Katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, katika Ibara ya 67(1)(b) inaeleza wazi kuwa huwezi kuwa mbunge wa Bunge letu, bila kwanza kuwa mwanachama chama cha siasa nchini.
Tunajua pia kuwa chama cha Chadema kilishawavua uanachama wao hao wanaoitwa ni wabunge wa viti maalum wa Chadema
Sasa tunamtegemea Rais wetu Samia Suluhu, alihutubie Bunge baadaye leo majira ya saa 10 jioni na kukitengua kitendawili hicho.
Aidha awe upande wa Spika Ndugai, ambaye kila mwananchi anajua kuwa ameivunja Katiba ya nchi, kwa kuendelea kuwatambua na kuwakumbatia hao wabunge akina Halima Mdee, au asimamie Katiba ya nchi na kumueleza Spika Ndugai kuwa anakosea kuendelea kuwakumbatia wabunge hao, kwa kuwa siyo wabunge halali, kwa mujibu wa Katiba yetu.
Kwa kuwa Rais wetu ameonyesha wazi kuwa anaitii na kuiheshimu Katiba ya nchi yetu. kwa hiyo "ramli" ya nini kitatokea baada ya hotuba yake hiyo kuhusiana na wabunge hao kinatabirika!
Jibu hoja na wala usibwabwaje
Hivi Spika Ndugai kuendelea kuwakumbatia hao wabunge kina Halima Mdee, wakati inajulikana wazi kiwa chama chao cha Chadema kimeshawavua uanachama, je wako bungeni wakiwa wanachama wa chama kipi cha siasa?
Kwa kuwa inafahamika kuwa ni takwa la kikatiba, kuwa ili uwe mbunge wa Bunge letu ni LAZIMA uwe mwanachama wa chama cha siasa
Hii itakuwa msumari wa moto!! Sioni gumu waambiwe wakakidhi kwanza takwa LA kikatiba
Shameless 19 must go home.View attachment 1760041View attachment 1760041
Akifanya hivyo itakua haingilii mhimili wa Bunge??Anahusika kikatiba. Hilo liko wazi ingawa kwako ni maji marefu.
Hivi kwa mazingira ya Tanzania kipindi cha Mwendazake unadhani Chadema wangeenda kufungua kesi haki ingetendeka?Kweli shule ni muhimu, hivi Rais atafanya nini juu ya hilo suala? Maana yeye yupo kwenye muhimili wa serikali na hilo suala lipo kwenye muhimili wa bunge. Spika anadai alipelekewa majina na NEC, je Rais atawezaje kuingilia Muhimili mwingine wa nchi? Huoni atakua anavunja katiba ya nchi, ili tu awafurahishe baadhi ya watu.
Ikiwa ni kweli CHADEMA hawakupeleka majina NEC, kwanini wasiende mahakamani kupinga hilo suala, kwanini wasifungue kesi ya kikatiba mahakama kuu? Ushahidi si wanao? Shida kubwa sana ya sisi wananchi (wacheza mdumange) hatujawajua wanasiasa, hilo suala unaweza kukuta wakubwa wa chama wanalijua vzr, na walishapiga pesa. Wanachofanya ni kujikosha tu
Hivi Halima ni wa kumgeuka Mbowe?