BAWACHA wapo Dodoma kupima kina cha maji

BAWACHA wapo Dodoma kupima kina cha maji

Kuna wanaodhani kuwa sheria zimekufa na Magufulim aliyeongoza kwa kuamini kuwa sheria ni msumeno! Majuzi nimesikia serikali ikisema kuwa BASAT isitekeleze sheria fulani iliyotungwa na bunge eti kwa sababu siyo sheria nzuri. Serikali inasimamia sheria haitungi sheria, kama ni sheria mbaya siyo kazi ya serikali kutoisimamia, ni kazi ya bunge kuifuta. Sasa huu mwanya wa kuona kuwa kuna sheria ambazo serikali utazikaidi ndio hata mimi nitakaotumia kwenda kuweka genge langu la kuuza miwa pale kwenye lango la Ikulu kama mwekezaji
Sio sheria ni kanuni
 
Kuna wanaodhani kuwa sheria zimekufa na Magufulim aliyeongoza kwa kuamini kuwa sheria ni msumeno! Majuzi nimesikia serikali ikisema kuwa BASAT isitekeleze sheria fulani iliyotungwa na bunge eti kwa sababu siyo sheria nzuri. Serikali inasimamia sheria haitungi sheria, kama ni sheria mbaya siyo kazi ya serikali kutoisimamia, ni kazi ya bunge kuifuta. Sasa huu mwanya wa kuona kuwa kuna sheria ambazo serikali utazikaidi ndio hata mimi nitakaotumia kwenda kuweka genge langu la kuuza miwa pale kwenye lango la Ikulu kama mwekezaji

Na ww umekubaliana kuwa bunge ndio linalotunga sheria? Sheria zote hutungwa na serikali, tena hasa hasa rais na genge lake, kisha hupelekwa kwenye hilo bunge kibogoyo kutakatishwa. Nitajie mbunge yoyote aliyewahi kwenda mkononi na pendekezo la chochote na kuwa sheria. Sheria nyingi zilizotungwa enzi ya Magufuli hasa zile za hati ya dharura, zilikuwa kwa ajili ya kuaccomodate tabia na utashi wake binafsi. Halafu huko bungeni zilipitishwa kiini macho ili kupata uhalali wa mchakato wa kisheria, lakini nyingi ni sheria za kishenzi kama walizokuwa wanapitisha wakoloni, na wazungu huko Afrika Kusini.
 
Polisi ya Tanzania ni ile ile. Jambo gani litawafika hawa wadada?

Hawa wadada lazima wafuate Sheria za Tanzania kama wengine wote tunavyozifuata.

Wanataka kulivamia Bunge kama wafuasi wa Trump walivyoivamia Congress.

Hawa watu hawana uzalendo.
Hawa ni vilaza au vipi?

Lazima tuwe na nidhamu Kama Taifa.
Vilaza ni ndugu zako,kulikuwa na ulazima gani wa kuwaita vilaza?
 
Kuna wanaodhani kuwa sheria zimekufa na Magufulim aliyeongoza kwa kuamini kuwa sheria ni msumeno! Majuzi nimesikia serikali ikisema kuwa BASAT isitekeleze sheria fulani iliyotungwa na bunge eti kwa sababu siyo sheria nzuri. Serikali inasimamia sheria haitungi sheria, kama ni sheria mbaya siyo kazi ya serikali kutoisimamia, ni kazi ya bunge kuifuta. Sasa huu mwanya wa kuona kuwa kuna sheria ambazo serikali utazikaidi ndio hata mimi nitakaotumia kwenda kuweka genge langu la kuuza miwa pale kwenye lango la Ikulu kama mwekezaji
Pole sana MJANE utazoea zoea maisha bila mume.
 
Polisi ya Tanzania ni ile ile. Jambo gani litawafika hawa wadada?

Hawa wadada lazima wafuate Sheria za Tanzania kama wengine wote tunavyozifuata.

Wanataka kulivamia Bunge kama wafuasi wa Trump walivyoivamia Congress.

Hawa watu hawana uzalendo.
Hawa ni vilaza au vipi?

Lazima tuwe na nidhamu Kama Taifa.
Hawana muda watakua walemavu wa kudumu sasa hivi, jamaa walivyo na hasira na mishahara hawajapandishwa we ngoja wajifanye kuingia barabarani ndio watajua
 
Kuna wanaodhani kuwa sheria zimekufa na Magufulim aliyeongoza kwa kuamini kuwa sheria ni msumeno! Majuzi nimesikia serikali ikisema kuwa BASAT isitekeleze sheria fulani iliyotungwa na bunge eti kwa sababu siyo sheria nzuri. Serikali inasimamia sheria haitungi sheria, kama ni sheria mbaya siyo kazi ya serikali kutoisimamia, ni kazi ya bunge kuifuta. Sasa huu mwanya wa kuona kuwa kuna sheria ambazo serikali utazikaidi ndio hata mimi nitakaotumia kwenda kuweka genge langu la kuuza miwa pale kwenye lango la Ikulu kama mwekezaji
Hiyo miwa utamuuzia nani, labda yule mnunuzi wa mahindi na jogoo angekuwepo hapo ikulu angekuungisha!
 
Polisi ya Tanzania ni ile ile. Jambo gani litawafika hawa wadada?

Hawa wadada lazima wafuate Sheria za Tanzania kama wengine wote tunavyozifuata.

Wanataka kulivamia Bunge kama wafuasi wa Trump walivyoivamia Congress.

Hawa watu hawana uzalendo.
Hawa ni vilaza au vipi?

Lazima tuwe na nidhamu Kama Taifa.
Polisi Ni ileile. Lkn rais Ni mwingine
 
Hapa nitaungana na POLISI. Nitafurahi zaidi nikiona hao wamama wanavunjwa miguu kwa upumbavu wao.
 
Jaribu kupunguza papara hasa unapojibu comments! Aside ni nini? Uwe una proofread
Soma tena

Screenshot_20210511-102058.png
 
Back
Top Bottom