BAWACHA wapo Dodoma kupima kina cha maji

BAWACHA wapo Dodoma kupima kina cha maji

Alafu wakishavunjwa ukafurahi utakua umeongeza nini kwenye maisha yako?.Jinga wewe.
Hahahahahahah aiseeeeee TANZANIA PEKEE AMBAPO UNAWEZA CHUKIZWA NA MTU HATA HUJAWAHI WALA HUTOWAHI KUMJUA. HAPA NI KUCHAT TU
 
Polisi ya Tanzania ni ile ile. Jambo gani litawafika hawa wadada?

Hawa wadada lazima wafuate Sheria za Tanzania kama wengine wote tunavyozifuata.

Wanataka kulivamia Bunge kama wafuasi wa Trump walivyoivamia Congress.

Hawa watu hawana uzalendo.
Hawa ni vilaza au vipi?

Lazima tuwe na nidhamu Kama Taifa.
Mbona kina cha maji ni cha kawaida tu. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kazi iendelee
 
M
How comes unataka BAWACHA wafuate sheria kwa mtu asiefuata hizo sheria?
Wanatafuta mtu wa kuwatia mimba maana mr DJ siku hizi hana mapesa ya kugawa na kuwaita baby sasa wameamua kutafuta wanaume pale bungeni wenyewe,

Mtasubili waandamane kumbe wanajazwa mimba na wabunge huko dodoma maana wamepa miss mjengoni.
 
Acha wazame ndio watajua mama na mwendazake ni kitu kimoja
 
Polisi ya Tanzania ni ile ile. Jambo gani litawafika hawa wadada?

Hawa wadada lazima wafuate Sheria za Tanzania kama wengine wote tunavyozifuata.

Wanataka kulivamia Bunge kama wafuasi wa Trump walivyoivamia Congress.

Hawa watu hawana uzalendo.
Hawa ni vilaza au vipi?

Lazima tuwe na nidhamu Kama Taifa.
Kama tunaihubiri demokrasia basi tukubali na matendo yake
 
Tatizo ukiwa kiongozi halafu ukaanza kusema sijui hakukua na demokrasia sasa nataka demokrasia sijui na umoja gani, jamaa walikua washazoea kutii sheria Bila shurti sasa kauli Ile imewaamsha. Wataandama mpaka kwake. Binadamu ni mtu hatari sana. Yeye alitakiwa aseme tu uchaguzi uliisha kazi iendelee.
Hakukua na uchaguzi bali uzugaji ili muendelee kupewa misaada na mabeberu 😂
 
Polisi ya Tanzania ni ile ile. Jambo gani litawafika hawa wadada?

Hawa wadada lazima wafuate Sheria za Tanzania kama wengine wote tunavyozifuata.

Wanataka kulivamia Bunge kama wafuasi wa Trump walivyoivamia Congress.

Hawa watu hawana uzalendo.
Hawa ni vilaza au vipi?

Lazima tuwe na nidhamu Kama Taifa.
Wametokea Moshi au ni wale wa Geita?
 
Polisi ya Tanzania ni ile ile. Jambo gani litawafika hawa wadada?

Hawa wadada lazima wafuate Sheria za Tanzania kama wengine wote tunavyozifuata.

Wanataka kulivamia Bunge kama wafuasi wa Trump walivyoivamia Congress.

Hawa watu hawana uzalendo.
Hawa ni vilaza au vipi?

Lazima tuwe na nidhamu Kama Taifa.
Nidhamu ya uoga ni utumwa.
Kwani katiba yetu inasema je kuhusu maandamano?
Tuanzie hapo kwanza

Sent from my Infinix X622 using JamiiForums mobile app
 
Polisi ya Tanzania ni ile ile. Jambo gani litawafika hawa wadada?

Hawa wadada lazima wafuate Sheria za Tanzania kama wengine wote tunavyozifuata.

Wanataka kulivamia Bunge kama wafuasi wa Trump walivyoivamia Congress.

Hawa watu hawana uzalendo.
Hawa ni vilaza au vipi?

Lazima tuwe na nidhamu Kama Taifa.
Nini wafanye kama haufaki hili?
 
Back
Top Bottom