gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,717
- 6,465
Alafu wakishavunjwa ukafurahi utakua umeongeza nini kwenye maisha yako?.Jinga wewe.Hapa nitaungana na POLISI. Nitafurahi zaidi nikiona hao wamama wanavunjwa miguu kwa upumbavu wao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu wakishavunjwa ukafurahi utakua umeongeza nini kwenye maisha yako?.Jinga wewe.Hapa nitaungana na POLISI. Nitafurahi zaidi nikiona hao wamama wanavunjwa miguu kwa upumbavu wao.
Mpe title yake husika, anza na neno "Shog∆"Asiye na uzalendo ni Ndungai
Pole ndugu,Hawana muda watakua walemavu wa kudumu sasa hivi, jamaa walivyo na hasira na mishahara hawajapandishwa we ngoja wajifanye kuingia barabarani ndio watajua
Duh, mkuu unapingana na ndugai anayesema kina mama washughulikiwa kwa staha...Hapa nitaungana na POLISI. Nitafurahi zaidi nikiona hao wamama wanavunjwa miguu kwa upumbavu wao.
Jizi la kura si alishakufa?Bunge la majizi ya kura linatakiwa livamiwe na watanzania wote wanaojitambua.
Kwani Moroto karuhusu hawa wahuni wafike jijini kwake?Polisi ya Tanzania ni ile ile. Jambo gani litawafika hawa wadada?
Hawa wadada lazima wafuate Sheria za Tanzania kama wengine wote tunavyozifuata.
Wanataka kulivamia Bunge kama wafuasi wa Trump walivyoivamia Congress.
Hawa watu hawana uzalendo.
Hawa ni vilaza au vipi?
Lazima tuwe na nidhamu Kama Taifa.
Watunga sheria 19 makanjanja sasa unategemea nini?How comes unataka BAWACHA wafuate sheria kwa mtu asiefuata hizo sheria?
Ruksa kwa kufuata utaratibu sio kama uhuru wa ndezi kuvamia mashamba ya mahindi kisa mi wanyama wanaostahili kula.Uhuru bila kufuata sheria ni fujo mkuu.Ina maana maandamano ya amani si rukhsa kwa sheria za tz?
Polisi ya Tanzania ni ile ile. Jambo gani litawafika hawa wadada?
Hawa wadada lazima wafuate Sheria za Tanzania kama wengine wote tunavyozifuata.
Wanataka kulivamia Bunge kama wafuasi wa Trump walivyoivamia Congress.
Hawa watu hawana uzalendo.
Hawa ni vilaza au vipi?
Lazima tuwe na nidhamu Kama Taifa.
Chanzo Cha yote haya Ni viongozi wetu kutofuata Sheria na katiba yetu.Kwangu ndugai Ni msaliti wa taifa letu.Ukivunja katiba unakuwa msaliti wa nchi yetu...
ndio maana Chadema imefariki maana Mbowe yeye mwenyewee kilaza amezungukwa na vilaza na mashabiki zake vilazaexpand...
Wanatetea katiba mkuu ,haiwezekani Mgogo mwenye file mirembe awakumbatie covid19 bungeni.
ndio maana Chadema imefariki maana Mbowe yeye mwenyewee kilaza amezungukwa na vilaza na mashabiki zake vilazaexpand...
Watunga sheria 19 makanjanja sasa unategemea nini?
ndio maana Chadema imefariki maana Mbowe yeye mwenyewee kilaza amezungukwa na vilaza na mashabiki zake vilazaexpand...
BAWACHA is an indomitable and pressure force. It's playing her political role effectively. They are a brave people. Looking at satan in his eyes and shouting at him that: "You are Satan".Polisi ya Tanzania ni ile ile. Jambo gani litawafika hawa wadada?
Hawa wadada lazima wafuate Sheria za Tanzania kama wengine wote tunavyozifuata.
Wanataka kulivamia Bunge kama wafuasi wa Trump walivyoivamia Congress.
Hawa watu hawana uzalendo.
Hawa ni vilaza au vipi?
Lazima tuwe na nidhamu Kama Taifa.
Baba yenu alijaribu san kwa juhudi zake zote kuiua, mwishowe kafa yeye chadema bado imara, [emoji23] [emoji23]. Pole na kuondokewa na mshua wako dogo.ndio maana Chadema imefariki maana Mbowe yeye mwenyewee kilaza amezungukwa na vilaza na mashabiki zake vilaza
Acha kuteteana ujingaKama hujamwelewa, mbona umemjibu?