emmanuel mruma
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,778
- 1,718
Sio sheria ni kanuniKuna wanaodhani kuwa sheria zimekufa na Magufulim aliyeongoza kwa kuamini kuwa sheria ni msumeno! Majuzi nimesikia serikali ikisema kuwa BASAT isitekeleze sheria fulani iliyotungwa na bunge eti kwa sababu siyo sheria nzuri. Serikali inasimamia sheria haitungi sheria, kama ni sheria mbaya siyo kazi ya serikali kutoisimamia, ni kazi ya bunge kuifuta. Sasa huu mwanya wa kuona kuwa kuna sheria ambazo serikali utazikaidi ndio hata mimi nitakaotumia kwenda kuweka genge langu la kuuza miwa pale kwenye lango la Ikulu kama mwekezaji
Kama hujamwelewa, mbona umemjibu?Jaribu kupunguza papara hasa unapojibu comments! Aside ni nini? Uwe una proofread
Kuna wanaodhani kuwa sheria zimekufa na Magufulim aliyeongoza kwa kuamini kuwa sheria ni msumeno! Majuzi nimesikia serikali ikisema kuwa BASAT isitekeleze sheria fulani iliyotungwa na bunge eti kwa sababu siyo sheria nzuri. Serikali inasimamia sheria haitungi sheria, kama ni sheria mbaya siyo kazi ya serikali kutoisimamia, ni kazi ya bunge kuifuta. Sasa huu mwanya wa kuona kuwa kuna sheria ambazo serikali utazikaidi ndio hata mimi nitakaotumia kwenda kuweka genge langu la kuuza miwa pale kwenye lango la Ikulu kama mwekezaji
Vilaza ni ndugu zako,kulikuwa na ulazima gani wa kuwaita vilaza?Polisi ya Tanzania ni ile ile. Jambo gani litawafika hawa wadada?
Hawa wadada lazima wafuate Sheria za Tanzania kama wengine wote tunavyozifuata.
Wanataka kulivamia Bunge kama wafuasi wa Trump walivyoivamia Congress.
Hawa watu hawana uzalendo.
Hawa ni vilaza au vipi?
Lazima tuwe na nidhamu Kama Taifa.
Wanaitest Sumu Kwa Kuilamba....!
Pole sana MJANE utazoea zoea maisha bila mume.Kuna wanaodhani kuwa sheria zimekufa na Magufulim aliyeongoza kwa kuamini kuwa sheria ni msumeno! Majuzi nimesikia serikali ikisema kuwa BASAT isitekeleze sheria fulani iliyotungwa na bunge eti kwa sababu siyo sheria nzuri. Serikali inasimamia sheria haitungi sheria, kama ni sheria mbaya siyo kazi ya serikali kutoisimamia, ni kazi ya bunge kuifuta. Sasa huu mwanya wa kuona kuwa kuna sheria ambazo serikali utazikaidi ndio hata mimi nitakaotumia kwenda kuweka genge langu la kuuza miwa pale kwenye lango la Ikulu kama mwekezaji
Afadhali umemfungua macho huyo mataga wa lumumba.Sio sheria ni kanuni.
Kanuni zinatungwa na taasisi au wizara
Hawana muda watakua walemavu wa kudumu sasa hivi, jamaa walivyo na hasira na mishahara hawajapandishwa we ngoja wajifanye kuingia barabarani ndio watajuaPolisi ya Tanzania ni ile ile. Jambo gani litawafika hawa wadada?
Hawa wadada lazima wafuate Sheria za Tanzania kama wengine wote tunavyozifuata.
Wanataka kulivamia Bunge kama wafuasi wa Trump walivyoivamia Congress.
Hawa watu hawana uzalendo.
Hawa ni vilaza au vipi?
Lazima tuwe na nidhamu Kama Taifa.
Umeomaeeeeeeeee?Akili za Mataga zipo kwenye matako
Ni mjane huyoTulia wewe mfuasi wa mwendazake usitupigie mikelele hapa
Labda mzalendo nyumbani kwakeMzalendo namba moja kwenye nchi hii ni Ndugai?
Ushaanza kutangaza biashara zako asubuhi yoote hii tena ni mwezi mtukufu
Karibu sana JFHawawezi kuingia ndani ya Bunge mpaka Bunge libadilishe kanuni zake kuwaruhusu.
Hiyo miwa utamuuzia nani, labda yule mnunuzi wa mahindi na jogoo angekuwepo hapo ikulu angekuungisha!Kuna wanaodhani kuwa sheria zimekufa na Magufulim aliyeongoza kwa kuamini kuwa sheria ni msumeno! Majuzi nimesikia serikali ikisema kuwa BASAT isitekeleze sheria fulani iliyotungwa na bunge eti kwa sababu siyo sheria nzuri. Serikali inasimamia sheria haitungi sheria, kama ni sheria mbaya siyo kazi ya serikali kutoisimamia, ni kazi ya bunge kuifuta. Sasa huu mwanya wa kuona kuwa kuna sheria ambazo serikali utazikaidi ndio hata mimi nitakaotumia kwenda kuweka genge langu la kuuza miwa pale kwenye lango la Ikulu kama mwekezaji
Polisi Ni ileile. Lkn rais Ni mwinginePolisi ya Tanzania ni ile ile. Jambo gani litawafika hawa wadada?
Hawa wadada lazima wafuate Sheria za Tanzania kama wengine wote tunavyozifuata.
Wanataka kulivamia Bunge kama wafuasi wa Trump walivyoivamia Congress.
Hawa watu hawana uzalendo.
Hawa ni vilaza au vipi?
Lazima tuwe na nidhamu Kama Taifa.
Aibu sana hii Ni lini mwendazake alifuata sheriaKuna wanaodhani kuwa sheria zimekufa na Magufulim aliyeongoza kwa kuamini kuwa sheria ni msumeno!
Kuna ambae alikuwa akifoka kila mara kuwa hajaribiwi na kwamba watakaomjaribu wataenda kuhadithia kwa wazaz wao,Wanaitest Sumu Kwa Kuilamba....!
Ila anabagua wanawake wa kuwatetea.Ndungai anapaswa kupewa kadi ya UWT mtetezi wa wanawake Tanzania
Soma tenaJaribu kupunguza papara hasa unapojibu comments! Aside ni nini? Uwe una proofread