Hahahahahahah aiseeeeee TANZANIA PEKEE AMBAPO UNAWEZA CHUKIZWA NA MTU HATA HUJAWAHI WALA HUTOWAHI KUMJUA. HAPA NI KUCHAT TUAlafu wakishavunjwa ukafurahi utakua umeongeza nini kwenye maisha yako?.Jinga wewe.
Pole.Acha kuteteana ujinga
Mbona kina cha maji ni cha kawaida tu. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kazi iendeleePolisi ya Tanzania ni ile ile. Jambo gani litawafika hawa wadada?
Hawa wadada lazima wafuate Sheria za Tanzania kama wengine wote tunavyozifuata.
Wanataka kulivamia Bunge kama wafuasi wa Trump walivyoivamia Congress.
Hawa watu hawana uzalendo.
Hawa ni vilaza au vipi?
Lazima tuwe na nidhamu Kama Taifa.
Wanatafuta mtu wa kuwatia mimba maana mr DJ siku hizi hana mapesa ya kugawa na kuwaita baby sasa wameamua kutafuta wanaume pale bungeni wenyewe,How comes unataka BAWACHA wafuate sheria kwa mtu asiefuata hizo sheria?
Kama tunaihubiri demokrasia basi tukubali na matendo yakePolisi ya Tanzania ni ile ile. Jambo gani litawafika hawa wadada?
Hawa wadada lazima wafuate Sheria za Tanzania kama wengine wote tunavyozifuata.
Wanataka kulivamia Bunge kama wafuasi wa Trump walivyoivamia Congress.
Hawa watu hawana uzalendo.
Hawa ni vilaza au vipi?
Lazima tuwe na nidhamu Kama Taifa.
Hakukua na uchaguzi bali uzugaji ili muendelee kupewa misaada na mabeberu πTatizo ukiwa kiongozi halafu ukaanza kusema sijui hakukua na demokrasia sasa nataka demokrasia sijui na umoja gani, jamaa walikua washazoea kutii sheria Bila shurti sasa kauli Ile imewaamsha. Wataandama mpaka kwake. Binadamu ni mtu hatari sana. Yeye alitakiwa aseme tu uchaguzi uliisha kazi iendelee.
Wametokea Moshi au ni wale wa Geita?Polisi ya Tanzania ni ile ile. Jambo gani litawafika hawa wadada?
Hawa wadada lazima wafuate Sheria za Tanzania kama wengine wote tunavyozifuata.
Wanataka kulivamia Bunge kama wafuasi wa Trump walivyoivamia Congress.
Hawa watu hawana uzalendo.
Hawa ni vilaza au vipi?
Lazima tuwe na nidhamu Kama Taifa.
Itakua chato ππWametokea Moshi au ni wale wa Geita?
Yaani mkoa wa Geita! Mtindo wa kuamini dada zake hawashiriki mchezo wa hatari.Itakua chato ππ
Si umeelewa lakini?Jaribu kupunguza papara hasa unapojibu comments! Aside ni nini? Uwe una proofread
Nidhamu ya uoga ni utumwa.Polisi ya Tanzania ni ile ile. Jambo gani litawafika hawa wadada?
Hawa wadada lazima wafuate Sheria za Tanzania kama wengine wote tunavyozifuata.
Wanataka kulivamia Bunge kama wafuasi wa Trump walivyoivamia Congress.
Hawa watu hawana uzalendo.
Hawa ni vilaza au vipi?
Lazima tuwe na nidhamu Kama Taifa.
Nini wafanye kama haufaki hili?Polisi ya Tanzania ni ile ile. Jambo gani litawafika hawa wadada?
Hawa wadada lazima wafuate Sheria za Tanzania kama wengine wote tunavyozifuata.
Wanataka kulivamia Bunge kama wafuasi wa Trump walivyoivamia Congress.
Hawa watu hawana uzalendo.
Hawa ni vilaza au vipi?
Lazima tuwe na nidhamu Kama Taifa.
Kamanda umesikia jinsi sheria inavyochukua mkondo wake kwa wafuasi wa trump? Nao waliamini hivyo hivyo!Bunge la majizi ya kura linatakiwa livamiwe na watanzania wote wanaojitambua.
Kamanda umesikia jinsi sheria inavyochukua mkondo wake kwa wafuasi wa trump? Nao waliamini hivyo hivyo!