KIDUME20
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 1,951
- 4,540
Ohh sawasawa mtafutieni tiba sasaKuna habari zako flan ambazo ni rahisi sana kujulikana kuliko taarifa zako zingine zote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ohh sawasawa mtafutieni tiba sasaKuna habari zako flan ambazo ni rahisi sana kujulikana kuliko taarifa zako zingine zote
Kuna mahali nmesema alikuwa shoga.?Kuwa shoga ni ww kuamua tu kwani mashoga wote waliumwa bawasili
Unakuzidishia kivipi?Yan ndo unanizidishiaga kbsa
Ni ya nje au ndani?Yah mgagani ukiweka unauma sana alafu panazidi kuvimba
Ok endelea kutumia habat souda wakati unatafuta dawa mbadala, itakusaidia kuikausha.
HANITHI!Kawa shoga?
Wahi hospital ukafanyiwe upasuaji utapona.Bawasili imenikata nguvu za kiume kbsa msaada aliepona
Huu upasuaji atafanyiwa mara kwa mara kama hajaamua kubadili mtindo wa maisha na mtindo wa ulaji. Kwa maana vile vinyama ukikata vinatolewa ila vitarudi tuu kama ataendelea kukosa mboga za majani akiwa anatumia choo ya kukaa muda mrefu saa zima umeuweka kama unakunya kamba vijamaaa vitarudi tena.Bawasili imenikata nguvu za kiume kbsa msaada aliepona
Sasa mbona unamcheka tena Mshikaji wako, kwani hilo tatizo kajisababishia mwenyewe!!?? Gonjwa linaweza hamia kwako pia sijui na wwe utasemaje!!??Kuna mshikaji hapa mtaani anaitwa Ally aliumwa huo ugonjwa na akakosa nguvu za kiume kama mtoa mada na sasa hivi tunamuita Halima [emoji23]
Basi tumia Pombe Kali kwa kiasi kidogo sana Kama digestion itake place kwa urahisi!!Yan ndo unanizidishiaga kbsa