Bawasiri imenikata nguvu za kiume kabisa, msaada aliyepona

Bawasiri imenikata nguvu za kiume kabisa, msaada aliyepona

Watu wa tiba tuna changamoto sana,nilishaelekeza hapa namna ya kujiandalia tiba ya bawasiri sema watu wanapenda kudharau na kupuuza vitu! Mtaendelea kuhangaika sana hata katika vitu vidogo na vinavyowezekanika.Kama huwezi unasema usaidiwe hata kama ni kwa gharama lakini upate kurejesha afya yako.Bawasiri siyo jambo dogo itaendelea kukuvuruga kisaikolojia usipokuwa makini. Tiba zipo na unapona,kama wengine wanapona kwa nini wewe usipone!?
 
Kwanza tumia sabuni ya detol ya maji changanya na maji ya uvuguvugu weke kwenye beseni kaa kama dakika 10 kila siku asubu jioni tumia pia dawa inaitwa nutrient fibre ya unga inachanganywa na maji itakusadia kula mboga mboga epuka chakula kigumu itakusaidia sana
 
Bawasili imenikata nguvu za kiume kbsa msaada aliepona
Pole, pamoja na mbinu walizopendekeza wadau pia kuna hii njia unaweza itumia i have seen its positive performance.

Usiwe unakula chakula kama ilivyo kawaida, jitahidi uwe unakunywa chai/ maziwa asbh na mchana na jioni unakula ugali na mboga majani au mlenda.

Hapa lengo ni kupunguza frequence ya ya kwenda haja kubwa ili kuacha muda wa kidonda kukauka na kupona na inapotokea unaenda haja basi iwe ile lainiiii.
Kuna uzi humu pia unahoja kama yako na ulipata wachangiaji wengi waliotoa solution ya tatizo hili.
 
Watu wa tiba tuna changamoto sana,nilishaelekeza hapa namna ya kujiandalia tiba ya bawasiri sema watu wanapenda kudharau na kupuuza vitu! Mtaendelea kuhangaika sana hata katika vitu vidogo na vinavyowezekanika.Kama huwezi unasema usaidiwe hata kama ni kwa gharama lakini upate kurejesha afya yako.Bawasiri siyo jambo dogo itaendelea kukuvuruga kisaikolojia usipokuwa makini. Tiba zipo na unapona,kama wengine wanapona kwa nini wewe usipone!?
We vp unaongea kwa ukali unazani kila mtu huku jf ni mwenyeji take care alafu kila mtu anatoa dawa yake mda wa kuperuzi post za zamani ad niione yako ni lin jitambue sio unacoment pita kule
 
Bawasili imenikata nguvu za kiume kbsa msaada aliepona
Mimi nina zaidi ya miaka 15 nasumbuliwa na hiyo kitu Bawasili llinisumbua sana mwanzo kwa kuwa ilikuwa ni kwamba kama ugonjwa wa aibu unaanzaje kusema lakini maumivu yalipozidi ilibidi niwe wazi.
ndipo nikakutana na shauri mbalimbali zilizo nisaidia na mpaka leo inanipa hafueni swala la kupona kabisa halinisumbui sana.
  1. badili mfumo wa maisha punguza ngano na pia ikitokea unakula nyama nyekundu kula kwa kiasi na hakikisha unatumia mboganyingi za majani.
  2. mbuguza uzito ukiweza inadaiwa uzito pia ni sehemu ya hili tatizo
  3. punguza pombe na ikiwezekana achana nazo kwa muda hasa pombe kali
  4. tu.mia matunda zaidi hasa papai ikiwezekana asubuhi piga papa kubwa nusu na jioni nusu piga hapo na maji ya kutosha ukifanya kwa uaminifu kwa wiki utapata matokeo makubwa sana.
  5. hakikisha unakuwa na tabia ya kusimamasima usikae kwa muda mrefu lakini pia kama uko ofisini badilisha kitu tumia kile office chair cha Mtendaji na kuna wakati unaweza kukalia tatika staili sehemu ya kati haibebi mzigo mkubwa yaani unakaa kwenye kiti ukijichungulia unaona pembe ya kiti inatengeneza pembe tatu yaani pale kwenye maunguio ya suruali panabakiza kisehemu cha pembe tatu usikae muda mrefu kwa kiasi tu kwa kila muda.
  6. pamoja na yote waliokushauri jiamini kuwa mtu wa ibada fanya mazoezi kidogo tembea angalau saa moja kwa siku tatu kwa wiki kwa kuwa kuna watu wanamatatizo zaidi yako usiwe na wasiwasi hakuna lisilowezekana kwa MWENYEZI MUNGU yeye aliyetuumba atatulinda pia tumtumainie yeye.
  7. vinginevyo karibu pm.
 
Mimi nina zaidi ya miaka 15 nasumbuliwa na hiyo kitu Bawasili llinisumbua sana mwanzo kwa kuwa ilikuwa ni kwamba kama ugonjwa wa aibu unaanzaje kusema lakini maumivu yalipozidi ilibidi niwe wazi.
ndipo nikakutana na shauri mbalimbali zilizo nisaidia na mpaka leo inanipa hafueni swala la kupona kabisa halinisumbui sana.
  1. badili mfumo wa maisha punguza ngano na pia ikitokea unakula nyama nyekundu kula kwa kiasi na hakikisha unatumia mboganyingi za majani.
  2. mbuguza uzito ukiweza inadaiwa uzito pia ni sehemu ya hili tatizo
  3. punguza pombe na ikiwezekana achana nazo kwa muda hasa pombe kali
  4. tu.mia matunda zaidi hasa papai ikiwezekana asubuhi piga papa kubwa nusu na jioni nusu piga hapo na maji ya kutosha ukifanya kwa uaminifu kwa wiki utapata matokeo makubwa sana.
  5. hakikisha unakuwa na tabia ya kusimamasima usikae kwa muda mrefu lakini pia kama uko ofisini badilisha kitu tumia kile office chair cha Mtendaji na kuna wakati unaweza kukalia tatika staili sehemu ya kati haibebi mzigo mkubwa yaani unakaa kwenye kiti ukijichungulia unaona pembe ya kiti inatengeneza pembe tatu yaani pale kwenye maunguio ya suruali panabakiza kisehemu cha pembe tatu usikae muda mrefu kwa kiasi tu kwa kila muda.
  6. pamoja na yote waliokushauri jiamini kuwa mtu wa ibada fanya mazoezi kidogo tembea angalau saa moja kwa siku tatu kwa wiki kwa kuwa kuna watu wanamatatizo zaidi yako usiwe na wasiwasi hakuna lisilowezekana kwa MWENYEZI MUNGU yeye aliyetuumba atatulinda pia tumtumainie yeye.
  7. vinginevyo karibu pm.
Hakuna kitu apo izo umetaja ninjia za kujikinga ili isikupate na kama imekupata basi izo njia zitapooza tatzo na sio kutibu will back again
 
Kama utakua tayari, kuna dokta alimsaidia mdogo wangu, sina uhusiano nae wala simpigii debe, kama utataka kujaribu nambie nikutumie namba yuko dar

NB, anatumia dawa za kisuna
Unamanisha za kiislam?
 
Back
Top Bottom