Bawasiri imenikata nguvu za kiume kabisa, msaada aliyepona

Bawasiri imenikata nguvu za kiume kabisa, msaada aliyepona

Akika mkuu

Be

Bei gan matibabu lazma tuulize kwanza mkuu
Sikumbuki ila kama mtu anatatizo la muda mrefu, ni bora kuwekeana mashalt na anayekutibu... Unaweza mwambia nikipona nitakupa kiasi ....... kama anauhakika na dawa atakubali akikataa juwa hamna kitu hapo.
 
Sikumbuki ila kama mtu anatatizo la muda mrefu, ni bora kuwekeana mashalt na anayekutibu... Unaweza mwambia nikipona nitakupa kiasi ....... kama anauhakika na dawa atakubali akikataa juwa hamna kitu hapo.
Nipe namba zake au ntampataje
 
Sasa nyingine imesababishwa na mengine tofaut na ulaji
Sijui sana sema nlipata sikia kuna familia ziko more prone to haemorrhoids than others mfano kwetu, kuna mtu mwngne kwenye familia yetu hili jambo linamsumbua.. nisijue wengne make hii ishu haizungumzwi saaaaaaana.
 
Sijui sana sema nlipata sikia kuna familia ziko more prone to haemorrhoids than others mfano kwetu, kuna mtu mwngne kwenye familia yetu hili jambo linamsumbua.. nisijue wengne make hii ishu haizungumzwi saaaaaaana.
Watu wanaona gonjwa la aibu
 
mcheki huyu 0716728650 tatizo lako litakuwa limefika mwisho
 
Back
Top Bottom