Umefikia wapi,kuna mtu mmoja alimtibia babayangu na akapona kabisa kutumia mitishamba...Bawasili imenikata nguvu za kiume kbsa msaada aliepona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umefikia wapi,kuna mtu mmoja alimtibia babayangu na akapona kabisa kutumia mitishamba...Bawasili imenikata nguvu za kiume kbsa msaada aliepona
Akika mkuuHuwez Fanya lolote maana setting zote zinazopelekea mashine Ifanye KAZI vizuri misuli yake Ipo mkunduni ndo maana shoga hawez kuwa na nguvu za kiume
Bemaana nyuma ppashaharibiakik
Bei gan matibabu lazma tuulize kwanza mkuuUmefikia wapi,kuna mtu mmoja alimtibia babayangu na akapona kabisa kutumia mitishamba...
So ikiwa dhaifu or kama tayari alikuwa na ugonjwa Unamnyemelea Nd kabisaInategemea na afya ya mtu mzee kinga za mwili
Mkuu nilitumia siku mbili...Hiyo dawa ya anusol ulitumia muda gani Hadi ukapona
Na ukaponaMkuu nilitumia siku mbili...
Mimi nimepona na niko sawa, sema ya kwangu ililetwa na ulaji mbovu.Na ukapona
Ahsanteeeeaah,pole sana
Sikumbuki ila kama mtu anatatizo la muda mrefu, ni bora kuwekeana mashalt na anayekutibu... Unaweza mwambia nikipona nitakupa kiasi ....... kama anauhakika na dawa atakubali akikataa juwa hamna kitu hapo.Akika mkuu
Be
Bei gan matibabu lazma tuulize kwanza mkuu
Nipe namba zake au ntampatajeSikumbuki ila kama mtu anatatizo la muda mrefu, ni bora kuwekeana mashalt na anayekutibu... Unaweza mwambia nikipona nitakupa kiasi ....... kama anauhakika na dawa atakubali akikataa juwa hamna kitu hapo.
Sijui ila vyanzo ni ving hata nilisikia genetics zinaweza kuchochea., kuna familia ziko prone kwa bawasiri kuliko zingne...Sasa nyingine imesababishwa na mengine tofaut na ulaji
Sijui sana sema nlipata sikia kuna familia ziko more prone to haemorrhoids than others mfano kwetu, kuna mtu mwngne kwenye familia yetu hili jambo linamsumbua.. nisijue wengne make hii ishu haizungumzwi saaaaaaana.Sasa nyingine imesababishwa na mengine tofaut na ulaji
Watu wanaona gonjwa la aibuSijui sana sema nlipata sikia kuna familia ziko more prone to haemorrhoids than others mfano kwetu, kuna mtu mwngne kwenye familia yetu hili jambo linamsumbua.. nisijue wengne make hii ishu haizungumzwi saaaaaaana.
Kwel mkuu lakini hakuna cha ajabu chochote watu wanatakiwa kuzungumza kucreate awareness... mostly hii inachochewa na lifestyle.Watu wanaona gonjwa la aibu
Ngoja niulizie mimi sina kwa sasa...na nipo mbali. Lakini June nitakuwa bongo naweza mtafuta.Nipe namba zake au ntampataje
mkuu mpigie huyo hapo 0716728650 mtaalamu wa dawa za asiliNipe namba zake au ntampataje
Mkuu USHAPONA?Garama zake?