Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣Hongera mkuuSaiv natoa ela baada ya kupona kama awez ivo basiiii
Vp maendeleo yako had sasaEla baada kama ngum bsi wagaigai nineona weng
We pumbavu unacheka udhaifu wa mwanaume mwenzako, mbwa kabisa weweHapana, ila kama huwezi kusimamia show ww huna maana tena 😂
Ushapata tiba ndugu!?Saiv natoa ela baada ya kupona kama awez ivo basiiii
OkYa nje 2yrs kama tba zako zinagarama bas mkuu 0788292312
Pole sana ... Kuna tiba kama itakua tayari mimi pia nilipata tatizo hilo na ilimsaidia sana.. mimi nipo dar 0623140090 kama utahitaji kujaribu pia karibu malipo yake mpaka uone hali yako inakua vizuri unaweza kufanya hayo malipoChiz ilo linajiona limekamilika
Bdo
Mjinga huyo mgonjwa hachekwiSasa mbona unamcheka tena Mshikaji wako, kwani hilo tatizo kajisababishia mwenyewe!!?? Gonjwa linaweza hamia kwako pia sijui na wwe utasemaje!!??
Vyakula vya ngano ni UKWELI MTUPU. Nilipata tatizo la BAWASILI nilipokuwa nakaa gheto uswahili kupika shida.Inawezekana kupona kwanza anza kubadirisha mlo wako unaokula itaacha yenyewe, bawasiri ni matokea ya mfumo wa Chakula kua na itilafu sababu ni kutokula chakula au vyakula vywenye nyuzi nyuzi kwa wingi, ingawa sababu zake ni nyingi Ila kwanza kabisa ukitaka upone acha kabisa kula vyakula vya ngano mfano maandazi, chapati, nk chochote kilichopikwa kwa ngano kaa nacho mbali utaanza kupata nafuu
Unatumiaje ngani?Tumia mgagani mkuu, walio wahi kupata hilo tatizo wanasema huo mmea uliwaponya kabisa.
Kuna dawa za asili, zinatibu moja kwa mojaBawasili imenikata nguvu za kiume kbsa msaada aliepona
Hii unaitumiaje mkuuTumia mgagani mkuu, walio wahi kupata hilo tatizo wanasema huo mmea uliwaponya kabisa.