BBC Focus on Africa wafanya mahojiano na Lissu, kupitia mahojiano hayo Lissu aonyesha how talented he is

BBC Focus on Africa wafanya mahojiano na Lissu, kupitia mahojiano hayo Lissu aonyesha how talented he is

Focus on Africa - Tanzania: Tundu Lissu wants to run for president - BBC Sounds

Mbali na kuonyesha uwezo mkubwa wa kumudu lugha ya kingereza,lakini pia anajua kujieleza na kujibu vizuri maswali,sifa ambayo mwanasiasa yoyote anapaswa kuwa nayo.

Mache miongoni mwa aliyosema katika mahojiano hayo na haya hapa chini:

We will create a government that respects first and foremost humanity, human dignity; a govt that protects its citizens. (...) We will do precisely the opposite of what President Magufuli has done for the past five years-Tundu Lissu

Kiingereza ni lugha tu kama Kiswahili, labda kama bado mnaendelea kuwaabudu wazungu ambao walibeba babu zenu kama watumwa.
 
Tundulisu ni mwanaharakati wa kisiasa.

Kwa kawaida wanaharakati wa aina hii hawafai kuwa viongozi wa juu ktk nchi.

Wanaharakati wa kisiasa ndio wanasiasa pekee wanaoweza kuiona pepo.

Wao wameumbwa kusema ukweli na kupigania haki za Raia.
Kwenye kusimamia haki na ukweli yuko tayari hata kufa.

Ila ukimuweka kwenye nafasi ya ngazi za juu kwenye kuongiza nchi atafeli vibaya sana.

Hivyo mtu kama tundulisu hafai kuwa Rais.
 
BBC wenyewe hawana market kwenye nchi yao, wamebakia kutoa majungu na propaganda kwenye African countries ambazo hazijitambui.
 
Focus on Africa - Tanzania: Tundu Lissu wants to run for president - BBC Sounds

Mbali na kuonyesha uwezo mkubwa wa kumudu lugha ya kingereza,lakini pia anajua kujieleza na kujibu vizuri maswali,sifa ambayo mwanasiasa yoyote anapaswa kuwa nayo.

Mache miongoni mwa aliyosema katika mahojiano hayo na haya hapa chini:

We will create a government that respects first and foremost humanity, human dignity; a govt that protects its citizens. (...) We will do precisely the opposite of what President Magufuli has done for the past five years-Tundu Lissu
Lissu hajawahi kutuangusha watanzania
 
Lissu ni zawadi toka kwa mungu
Focus on Africa - Tanzania: Tundu Lissu wants to run for president - BBC Sounds

Mbali na kuonyesha uwezo mkubwa wa kumudu lugha ya kingereza,lakini pia anajua kujieleza na kujibu vizuri maswali,sifa ambayo mwanasiasa yoyote anapaswa kuwa nayo.

Mache miongoni mwa aliyosema katika mahojiano hayo na haya hapa chini:

We will create a government that respects first and foremost humanity, human dignity; a govt that protects its citizens. (...) We will do precisely the opposite of what President Magufuli has done for the past five years-Tundu Lissu
 
😅😅😅 Tundu lisu et naye tutamsahau kama korona..jamani TL wakati wako bado kaka
 
Bila Shaka, lissu atakua rais anayeungwa mkono dunia nzima sababu ya kuijua sheria vizuri. Tayari huko duniani wameshampitisha bado sisi sasa.


1595965027895.png



Mwambieni akawe rais wa hiyo dunia. Sisi JPM anatutosha
tupo msibani wacha kelele.
 
Back
Top Bottom