BBC Focus on Africa wafanya mahojiano na Lissu, kupitia mahojiano hayo Lissu aonyesha how talented he is

BBC Focus on Africa wafanya mahojiano na Lissu, kupitia mahojiano hayo Lissu aonyesha how talented he is

Kiingereza ni lugha tu kama Kiswahili, labda kama bado mnaendelea kuwaabudu wazungu ambao walibeba babu zenu kama watumwa.
Hivi sheria iliyo andikwa kingereza ikipishana na version ya kiswahili ipi inafuatwa?
 
Focus on Africa - Tanzania: Tundu Lissu wants to run for president - BBC Sounds

Mbali na kuonyesha uwezo mkubwa wa kumudu lugha ya kingereza,lakini pia anajua kujieleza na kujibu vizuri maswali,sifa ambayo mwanasiasa yoyote anapaswa kuwa nayo.

Mache miongoni mwa aliyosema katika mahojiano hayo na haya hapa chini:

We will create a government that respects first and foremost humanity, human dignity; a govt that protects its citizens. (...) We will do precisely the opposite of what President Magufuli has done for the past five years-Tundu Lissu
Mtasifia na ushuzi maadamu aliyejamba ni Lissu
 
Focus on Africa - Tanzania: Tundu Lissu wants to run for president - BBC Sounds

Mbali na kuonyesha uwezo mkubwa wa kumudu lugha ya kingereza,lakini pia anajua kujieleza na kujibu vizuri maswali,sifa ambayo mwanasiasa yoyote anapaswa kuwa nayo.

Mache miongoni mwa aliyosema katika mahojiano hayo na haya hapa chini:

We will create a government that respects first and foremost humanity, human dignity; a govt that protects its citizens. (...) We will do precisely the opposite of what President Magufuli has done for the past five years-Tundu Lissu
Ningesgangaa nisingeona kiingereza kikisifiwa.
 
Tundulisu ni mwanaharakati wa kisiasa.

Kwa kawaida wanaharakati wa aina hii hawafai kuwa viongozi wa juu ktk nchi.

Wanaharakati wa kisiasa ndio wanasiasa pekee wanaoweza kuiona pepo.

Wao wameumbwa kusema ukweli na kupigania haki za Raia.
Kwenye kusimamia haki na ukweli yuko tayari hata kufa.

Ila ukimuweka kwenye nafasi ya ngazi za juu kwenye kuongiza nchi atafeli vibaya sana.

Hivyo mtu kama tundulisu hafai kuwa Rais.
Kama aliepo kajaribu kuwa raisi basi Lisu anafaa mara 10 zaidi yake.
 
" For development to be meaningful; development must be people centered" - Mwl. JKN

This 2020 I go with Lissu.
In GOD we trust.
 
Focus on Africa - Tanzania: Tundu Lissu wants to run for president - BBC Sounds

Mbali na kuonyesha uwezo mkubwa wa kumudu lugha ya kingereza,lakini pia anajua kujieleza na kujibu vizuri maswali,sifa ambayo mwanasiasa yoyote anapaswa kuwa nayo.

Mache miongoni mwa aliyosema katika mahojiano hayo na haya hapa chini:

We will create a government that respects first and foremost humanity, human dignity; a govt that protects its citizens. (...) We will do precisely the opposite of what President Magufuli has done for the past five years-Tundu Lissu
Mkuu usishobokee sana lugha za wanaume wenzako, hebu nitafutie clip hata moja unakojua ambayo maraisi wafuatao walizungumza English ambayo wewe unadhani kuwa kuongea English ndio usomi. Mchina ,mrusi,mfaransa,mjapan,mjerumani anayo teknolojia. Ila hatumii English. So niletee clip ya maraisi Wa hizo nchi wakiongea English napiga laki chini mkuu bila chenga. Gentamycine or Zero watazishika hizo hela
 
Basi itakuwa ya Kiswahili.
Labda kama wamebadilisha ni kingereza mkuu. Lakini hata ukiacha sheria katika taaluma kingereza kiko mbali sana, huwezi kusema kuwa ni kama kiswahili tuna kazi kubwa ya kufanya(kuwekeza) ili kiswahili kikidhi na kubeba taaluma yetu. Kama ni mambo yetu ya kawaida basi haijalishi kama unatumia kiswahili au kingereza ingawapo kiswahili kinapendeza zaidi na unafikia wananchi wengi zaidi.
 
Labda kama wamebadilisha ni kingereza mkuu. Lakini hata ukiacha sheria katika taaluma kingereza kiko mbali sana, huwezi kusema kuwa ni kama kiswahili tuna kazi kubwa ya kufanya(kuwekeza) ili kiswahili kikidhi na kubeba taaluma yetu. Kama ni mambo yetu ya kawaida basi haijalishi kama unatumia kiswahili au kingereza ingawapo kiswahili kinapendeza zaidi na unafikia wananchi wengi zaidi.

Huo ni mtazamo wako, ulitaka nani abadilishe? Sheria zetu zote zipo Kiswahili sema wapi umekwazika? Au unaongelea maswala ambayo wewe/wengine wameshindwa kutafsiri Kiswahili? Hata kwenye kiingereza chenyewe kuna maneno wanatumia ya kilatini etc. Kwa nini usiweke mfano hai tuangalie.
 
Back
Top Bottom