Na wazungu wanapenda mpenda haki. Wao wameshatia Tick bado sisi.Jipeni moyo tu, ila october Hatoboi! Hatoamini kitakachotokea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wazungu wanapenda mpenda haki. Wao wameshatia Tick bado sisi.Jipeni moyo tu, ila october Hatoboi! Hatoamini kitakachotokea.
Angesomea kayumba angepata Zero tu kama mwenzake DABHapo ndio alienda kusomea hapo British council, je kama asingeenda??!! 🤣🤣
Mzee Mgaya ni MjumbeNenda kwa Mzee Mgaya atakusaidia (LoL)
Hivi sheria iliyo andikwa kingereza ikipishana na version ya kiswahili ipi inafuatwa?Kiingereza ni lugha tu kama Kiswahili, labda kama bado mnaendelea kuwaabudu wazungu ambao walibeba babu zenu kama watumwa.
Mtasifia na ushuzi maadamu aliyejamba ni LissuFocus on Africa - Tanzania: Tundu Lissu wants to run for president - BBC Sounds
Mbali na kuonyesha uwezo mkubwa wa kumudu lugha ya kingereza,lakini pia anajua kujieleza na kujibu vizuri maswali,sifa ambayo mwanasiasa yoyote anapaswa kuwa nayo.
Mache miongoni mwa aliyosema katika mahojiano hayo na haya hapa chini:
We will create a government that respects first and foremost humanity, human dignity; a govt that protects its citizens. (...) We will do precisely the opposite of what President Magufuli has done for the past five years-Tundu Lissu
Ningesgangaa nisingeona kiingereza kikisifiwa.Focus on Africa - Tanzania: Tundu Lissu wants to run for president - BBC Sounds
Mbali na kuonyesha uwezo mkubwa wa kumudu lugha ya kingereza,lakini pia anajua kujieleza na kujibu vizuri maswali,sifa ambayo mwanasiasa yoyote anapaswa kuwa nayo.
Mache miongoni mwa aliyosema katika mahojiano hayo na haya hapa chini:
We will create a government that respects first and foremost humanity, human dignity; a govt that protects its citizens. (...) We will do precisely the opposite of what President Magufuli has done for the past five years-Tundu Lissu
Anaonekana anajua mengi (pamoja na ngeli) kwani huyo bwashee humtumia kama reference point yake.Mzee Mgaya ni Mjumbe
Hakuna lolote hapo, ''mark my words.'' Endeleeni kujifurahisha tu.Jipeni moyo tu, ila october Hatoboi! Hatoamini kitakachotokea.
Kama aliepo kajaribu kuwa raisi basi Lisu anafaa mara 10 zaidi yake.Tundulisu ni mwanaharakati wa kisiasa.
Kwa kawaida wanaharakati wa aina hii hawafai kuwa viongozi wa juu ktk nchi.
Wanaharakati wa kisiasa ndio wanasiasa pekee wanaoweza kuiona pepo.
Wao wameumbwa kusema ukweli na kupigania haki za Raia.
Kwenye kusimamia haki na ukweli yuko tayari hata kufa.
Ila ukimuweka kwenye nafasi ya ngazi za juu kwenye kuongiza nchi atafeli vibaya sana.
Hivyo mtu kama tundulisu hafai kuwa Rais.
Inategemea upo wapi?Hivi sheria iliyo andikwa kingereza ikipishana na version ya kiswahili ipi inafuatwa?
Tunaongelea hapa Tanzania mkuu.Inategemea upo wapi?
Basi itakuwa ya Kiswahili.Tunaongelea hapa Tanzania mkuu.
Mkuu usishobokee sana lugha za wanaume wenzako, hebu nitafutie clip hata moja unakojua ambayo maraisi wafuatao walizungumza English ambayo wewe unadhani kuwa kuongea English ndio usomi. Mchina ,mrusi,mfaransa,mjapan,mjerumani anayo teknolojia. Ila hatumii English. So niletee clip ya maraisi Wa hizo nchi wakiongea English napiga laki chini mkuu bila chenga. Gentamycine or Zero watazishika hizo helaFocus on Africa - Tanzania: Tundu Lissu wants to run for president - BBC Sounds
Mbali na kuonyesha uwezo mkubwa wa kumudu lugha ya kingereza,lakini pia anajua kujieleza na kujibu vizuri maswali,sifa ambayo mwanasiasa yoyote anapaswa kuwa nayo.
Mache miongoni mwa aliyosema katika mahojiano hayo na haya hapa chini:
We will create a government that respects first and foremost humanity, human dignity; a govt that protects its citizens. (...) We will do precisely the opposite of what President Magufuli has done for the past five years-Tundu Lissu
Umekariri vibaya. Usiwe kama kasuku!" For development to be meaningful; development must be people centered" - Mwl. JKN
This 2020 I go with Lissu.
In GOD we trust.
Labda kama wamebadilisha ni kingereza mkuu. Lakini hata ukiacha sheria katika taaluma kingereza kiko mbali sana, huwezi kusema kuwa ni kama kiswahili tuna kazi kubwa ya kufanya(kuwekeza) ili kiswahili kikidhi na kubeba taaluma yetu. Kama ni mambo yetu ya kawaida basi haijalishi kama unatumia kiswahili au kingereza ingawapo kiswahili kinapendeza zaidi na unafikia wananchi wengi zaidi.Basi itakuwa ya Kiswahili.
Excuse me; what does this means?Umekariri vibaya. Usiwe kama kasuku!
Only stupidity gays can support LissuMental retarded, sometimes silence can hide u're weaknesses. JF attacker [emoji27][emoji27]
Labda kama wamebadilisha ni kingereza mkuu. Lakini hata ukiacha sheria katika taaluma kingereza kiko mbali sana, huwezi kusema kuwa ni kama kiswahili tuna kazi kubwa ya kufanya(kuwekeza) ili kiswahili kikidhi na kubeba taaluma yetu. Kama ni mambo yetu ya kawaida basi haijalishi kama unatumia kiswahili au kingereza ingawapo kiswahili kinapendeza zaidi na unafikia wananchi wengi zaidi.
Excuse me; what does this means?