Uchaguzi 2020 BBC: Ilani ya uchaguzi ya CHADEMA haielezei nafasi za wanawake katika uongozi, CCM na ACT wameweka 50 - 50!

Uchaguzi 2020 BBC: Ilani ya uchaguzi ya CHADEMA haielezei nafasi za wanawake katika uongozi, CCM na ACT wameweka 50 - 50!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
BBC katika kipindi cha Dira ya Dunia wamehoji kwanini ilani ya CHADEMA haitaji kabisa mgawanyo wa nafasi za uongozi kama ilivyo kwa ilani za vyama vingine.

Kwa mfano CCM na ACT Wazalendo wameweka bayana katika ilani zao kwamba wanalenga kutoa nafasi za uongozi kwa uwiano wa 50% kwa 50% kwa wanaume na wanawake.

Je, CHADEMA kuna mfumo dume?

Chanzo: BBC

Maendeleo hayana vyama!
 
Kuna uandikishwaji una endelea mashuleni kwa watoto,umri kuanzia miaka 17 -18, zoezi lina fanywa kwa siri kwa kushirikisha Mabalozi wa nyumba 10 CCM. Tuna fuatilia kila upumbavu unao fanywa.Kuzuia wizi wa kura kuna thamani kubwa kama kupigana vita dhidi ya wavamizi wa Nchi yako
 
"We suppose to focus according our direction, according our environment, that's only way we can help our peoples. No body should come and say that his there to save the problems of our peoples, we are the one we are leader we suppose to change the direction"
 
Kweli lkn mama Samia wa kike na Magufuli wa kiume so 50-50.
Huko kwingine sasa mmmh. Kikwete ndio naweza kusema 50-50 aliitendea haki.
Awamu hii sasa mfumo dume zaidi. Tusidanganyane
 
Hiki ndo chama kinachothamini wanawake kwa vitendo, achana na hicho chama cha maigizo kinachoandika kama fashion. Hiki ndo chama kilichoweka wagombea wanawake wengi ngazi ya ubunge wa majimbo na madiwani wa kuchaguliwa wa kata mbali na viti maalum.
 
"We suppose to focus according our direction, according our environment, that's only way we can help our peoples. No body should come and say that his there to save the problems of our peoples, we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Alieyasema haya maneno alikua anamaanisha nini kwani kwa wale mnaojua kutasfir
 
Kuna uandikishwaji una endelea mashuleni kwa watoto,umri kuanzia miaka 17 -18, zoezi lina fanywa kwa siri kwa kushirikisha Mabalozi wa nyumba 10 CCM. Tuna fuatilia kila upumbavu unao fanywa.Kuzuia wizi wa kura kuna thamani kubwa kama kupigana vita dhidi ya wavamizi wa Nchi yako
Yaani CHADEMA wa JF ni Wajinga sana.Hawajawahi jibu hoja ipasavyo hata siku moja.

Trash.
 
"We suppose to focus according our direction, according our environment, that's only way we can help our peoples. No body should come and say that his there to save the problems of our peoples, we are the one we are leader we suppose to change the direction"
CHADEMA wa JF hawajawi jibo kwa hoja hata siku moja.

Trash.
 
Kuna uandikishwaji una endelea mashuleni kwa watoto,umri kuanzia miaka 17 -18, zoezi lina fanywa kwa siri kwa kushirikisha Mabalozi wa nyumba 10 CCM. Tuna fuatilia kila upumbavu unao fanywa.Kuzuia wizi wa kura kuna thamani kubwa kama kupigana vita dhidi ya wavamizi wa Nchi yako
JPM 5 AGAIN
 
"We suppose to focus according our direction, according our environment, that's only way we can help our peoples. No body should come and say that his there to save the problems of our peoples, we are the one we are leader we suppose to change the direction"
JPM 5 AGAIN
 
BBC wamewabebabeba chadema naona mbeleko imeanza kukatika rasmi baada ya wazungu kuona kumbe hawa watu ni hopeless maandazi kabisa.
His Excellence, I want to follow you but I can't reach you.
 
Hapo mnawaunga mkono BBC ila wakisema madini yenu hayaleti faida

Wanakuwa wanatumika na mabeberu
 
Bwashee ving'amuzi hatuna lakini BBc tunaangalia Grocery. Mbona hujaeleza maelezo ya juu kabisa ya taarifa iliosomwa na Estar kahumbi(mashalah), kua Chadema ndio kina wagombea wengi wa kike wapatao 61, Act wazalendo 40 na Ccm 24 tu?

Why umeacha kwa makusudi ili uwapotoshe wanawakee?

Utampotosha jane Lowassa pekee ake ila makamanda walioamua akina Sky Eclat huwawezi
 
Back
Top Bottom