Ben Bella
JF-Expert Member
- Dec 3, 2019
- 529
- 1,858
Pia walionesha takwimu za wagombea waliopitishwa na vyama vyao kugombea nafasi za ubunge.
Ilikuwa hivi;
CHADEMA - Waliopitishwa ni 61
CCM - Waliopitishwa ni 24
Takwimu hizo hapo juu ni kati ya wabunge wa majimbo 234.
Ilionekana kwamba CCM wanaendekeza mfumo dume kuliko CHADEMA.
Ilikuwa hivi;
CHADEMA - Waliopitishwa ni 61
CCM - Waliopitishwa ni 24
Takwimu hizo hapo juu ni kati ya wabunge wa majimbo 234.
Ilionekana kwamba CCM wanaendekeza mfumo dume kuliko CHADEMA.