Huo ni utumbo wa mzee wenuMwenyewe unajivunia kuandika kiingereza...
Eeeeh nimeipata sehemu watoto wadogo kupewa vitambulisho. Sasa si wataonwa tuKuna uandikishwaji una endelea mashuleni kwa watoto,umri kuanzia miaka 17 -18, zoezi lina fanywa kwa siri kwa kushirikisha Mabalozi wa nyumba 10 CCM. Tuna fuatilia kila upumbavu unao fanywa.Kuzuia wizi wa kura kuna thamani kubwa kama kupigana vita dhidi ya wavamizi wa Nchi yako
BBC katika kipindi cha Dira ya Dunia wamehoji kwanini ilani ya CHADEMA haitaji kabisa mgawanyo wa nafasi za uongozi kama ilivyo kwa ilani za vyama vingine.
Kwa mfano CCM na ACT wazalendo wameweka bayana katika ilani zao kwamba wanalenga kutoa nafasi za uongozi kwa uwiano wa 50% kwa 50% kwa wanaume na wanawake.
Je, CHADEMA kuna mfumo dume?
Source BBC
Maendeleo hayana vyama!
Anza na CCM hapo juu kuna kiongozi mwanamke? shame on youPale CHADEMA makao makuu kuna kiongozi mwanamke?
Kwenye uongozi wa kanda je?
Labda tuanzie hapo.
cha ajabu sasa.... Chadema ndiyo imesimamisha wabunge wengi wanawake kuliko vyama vyote.BBC katika kipindi cha Dira ya Dunia wamehoji kwanini ilani ya CHADEMA haitaji kabisa mgawanyo wa nafasi za uongozi kama ilivyo kwa ilani za vyama vingine.
Kwa mfano CCM na ACT wazalendo wameweka bayana katika ilani zao kwamba wanalenga kutoa nafasi za uongozi kwa uwiano wa 50% kwa 50% kwa wanaume na wanawake.
Je, CHADEMA kuna mfumo dume?
Source BBC
Maendeleo hayana vyama!
Kiuhalisia wao hawajaweka nadharia kama wengine wao wamefanya kwa vitendo kwakusimamisha wagombea wanawake wengi zaidi ya chama chochote wakija kujumlisha na viti maalumu basi wanaweza kuzidi hata hiyo 50/50BBC katika kipindi cha Dira ya Dunia wamehoji kwanini ilani ya CHADEMA haitaji kabisa mgawanyo wa nafasi za uongozi kama ilivyo kwa ilani za vyama vingine.
Kwa mfano CCM na ACT wazalendo wameweka bayana katika ilani zao kwamba wanalenga kutoa nafasi za uongozi kwa uwiano wa 50% kwa 50% kwa wanaume na wanawake.
Je, CHADEMA kuna mfumo dume?
Source BBC
Maendeleo hayana vyama!
Kiingereza kama chote"We suppose to focus according our direction, according our environment, that's only way we can help our peoples. No body should come and say that his there to save the problems of our peoples, we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Huyu ni nani tena au yule waziri wa ilimu?His Excellence, I want to follow you but I can't reach you.
Kwahiyo na nyie ni mabeberu kwasababu hiyo sera mnayo, siyo?50 kwa 50 ni sera ya mabeberu! Inakuwaje kwa chadema wametupa kapuni na kuishikilia ile ya faragha tu?