BBC imepanga kutoa video inayoonesha Unabii Feki wa TB Joshua

BBC imepanga kutoa video inayoonesha Unabii Feki wa TB Joshua

Mtu mzima miaka 12 unafanyiwa ukatili na umetulia tu.
Unaenda sokoni unarudi ndani kufanyiwa ukatili.
Unaenda kanisani unarudi kufanyiwa ukatili.
Unaenda mjini unapita vituo vya polisi kibao unarudi ndani kufanyiwa ukatili.

Huu sio ukatili ni makubaliano.

Hapa mtu anataka Urithi wa Mali tu.
 
Hao sio walokole ni mapandikizi ya lucifer (shetani). Huduma nyingi za kiroho zinafanywa na shetani kuzuia na kudhoofisha imani ya wokovu! Hata hivyo wokovu ni halisi na watu wanaokoka na kuishi maisha ya haki hapa duniani. Kwa mfano watu kama Mwamposa, kuhani Musa, Mwingira, n.k hao wote ni satanic agents
Ohhhhh..... Godly agents ni kina nani?
 
1704766678655.png
 
Breaking News: BBC inatazamia kuchapisha nakala ya uchunguzi wa kuacha vinywa wazi inayoeleza matukio ya kikatili, Miujiza ya Kughushi, uhalifu, na ubakaji uliofanywa na Marehemu Mchungaji Temitope Balogun Joshua, almaarufu Nabii TB Joshua!!!

Kupitia page ya twitter ya Sahara Reporters wameelezea matukio aliyofanya ambayo yanatarajiwa kupostiwa na BBC katika video
View attachment 2864719

Tizama kipande hiki cha BBC wakihoji watu waliokumbwa na unabii feki wa TB Joshua....
Hii inashangaza!!! 😱🚴🏿‍♀️🚴🏿‍♀️🚴🏿‍♀️💨

📺 Video Credit: BBC
View attachment 2864718

TB Joshua alikuwa ni mchungaji maarufu wa Kikristo na mwanzilishi wa kanisa la Synagogue, Church of All Nations (SCOAN) huko Lagos, Nigeria. Alikuwa na ushawishi mkubwa katika jamii na alihusika katika huduma za kiroho, uponyaji, na mafundisho ya Biblia. Hata hivyo, alifariki dunia mnamo Juni 2021.

Pia soma: UCHUNGUZI WA BBC: TB Joshua aliwanyanyasa na kuwabaka wafuasi wake
Hawa manabii haihitaji BBC kuwajua
 
Nilikuja kugundua jamaa msanii siku moja macheko emmanuel tv, wakarusha jamaa ameenda kutembelea kituo cha walemavu akapeleka baskeli za walemavu kama msaada

Nikajiuliza kwanini asingewaombea wapone, why anawapa baskeli?

Wale ni real walemavu sio maigizo
 
BBC ni nani mpaka wajue unabii fake na unabii wa kweli? Wamefunga maombi Mungu akawaonyesha unabii huo? Kwa Tb Joshua wameenda maelfu ya watu toka pande kuu nne za dunia na viongozi wakubwa wamefika kupata huduma za kiroho na asilimia 90% ya huduma yake ilikuwa live kila mtu alikuwa anaona namna ya mapepo yanavyotolewa, mimi nimefuatilia hao watu wanaotuhumiwa mbona ni maelezo tu bila hata video zinazoonyeshwa huo unyanyasaji? Kwa Tb Joshua wengine walikuwa wanakerwa wakiwa vichaa ili waombewe , mtu kichaa lazima afungwe kamba ili asilete madhara kwa watu wengine. Maswali ya kujiuliza
1. Unawezaje kuamini maelezo ya watu 30 na wakati wanaoenda pale scoan ni maelfu ya watu, kama hau ni maadui zake inakuaje?
2. Hao wanaodai wamedharirishwa kwanini watafute media badala ya kwenda mahakamani kumshitaki?
3. Kwanini wasubiri mtu amekufa ndoa watoe malalamiko hayo ?
4. Usafi na uhalali wa BBC kuhoji mambo ya kiroho wanaitoa wapi? Mbona ushoga unaolingana na biblia wameukumbatia?
5. Kwanini wengi wanaolalamika ni wale waliotolewa maepo na Tbl Kishua?
6. Mbona hao BBC hawaelezi mema yaliyofanywa na Tb Joshua ya kutumia billions of money kusaidia wasijiweza, kusomesha watu?
5 Tunajua huduma ya Tb Joshua iliharibu biashara za wakubwa duniani, ilifikia hatua wenye kansa, HIV, uvimbe, sukari na magonjwa mengi yanapona kwa njia ya maombi bila kutumia dawa.
Palipo na mafanikio chuki lazima, na mti mwema hutupiwa mawe.

BBC hawezi kutuelekeza mambo ya Mungu kuwa huyu ni mtumishi fake au wa Mungu. Hizo scandal wanazotengeneza hazifanikisha mipango yao ya kutaka kufuta legacy ya TB Joshua.

Rubbish
 
Acheni utetezi dhaifu. Lazima ukweli uwekwe wazi.
Dunia Haina ukweli bali wengi wenu ni waongo kama baba yenu ibilisi!
Walivyoona anapinga ushoga waziwazi na yule mtu aliyeombewa na mapema yalikiri yanamtumikisha kwenye ushoga na video kutrend mtandaoni ndio tatizo lilipo anzia na wakamfungia mpaka account ya YouTube!
Hawa ndio wazungu! BBC NEWS
 
Nilikuja kugundua jamaa msanii siku moja macheko emmanuel tv, wakarusha jamaa ameenda kutembelea kituo cha walemavu akapeleka baskeli za walemavu kama msaada

Nikajiuliza kwanini asingewaombea wapone, why anawapa baskeli?

Wale ni real walemavu sio maigizo
Bado hujafikiria
 
MY NAME IS 'LEAVE IT FOR GOD' -
Prophet T.B. Joshua

“I am good example of ‘Leave it for God’. Prophet 'Leave it for God'. That is me for you; I know what I am doing. You think I cannot fight? My name is ‘Leave it for God’. Because I will not allow this to affect my future.

The future is very clear - clear and bright. Why should I allow anything to stain that future? The only way they can stain it is to attack and insult you. Your answer to that insult will stain the future. Don’t trade anything with the future. Suffer now and enjoy tomorrow.

Please - be patient for the future. That is the answer. We are not patient for the future; you are too much in a hurry. “I have to defend myself” - no. A time is coming - your future will answer them. Unanswered questions - the future will answer. If you can be patient, that future will answer your critics. Be patient - your future will answer your critics. That is when God will set a table before you and every essential of life will be on the table. The table will answer your critics.

Future is next - an hour to come, a second to come. Your life can change any moment from now! When we say future, people think ten years from now. 'I cannot wait; I am still a student. I am unemployed. I am homeless. How will I arrange my future? What future is this man talking about?' Future belongs to God and future is what we call mystery. How it happens - you don’t know.

The glory - many have lost it. We have to be frank. We got it before and we lost it but God is merciful. Don’t give up. If you have lost it, that is not the end. Be patient for your future. Your future will answer your critics. Your future will answer your enemies. Your future will answer your adversaries."

#TbJoshuaLegacyLivesOn
 
5 Tunajua huduma ya Tb Joshua iliharibu biashara za wakubwa duniani, ilifikia hatua wenye kansa, HIV, uvimbe, sukari na magonjwa mengi yanapona kwa njia ya maombi bila kutumia dawa.
Wewe ni mbuzi.....
 
BBC ni nani mpaka wajue unabii fake na unabii wa kweli? Wamefunga maombi Mungu akawaonyesha unabii huo? Kwa Tb Joshua wameenda maelfu ya watu toka pande kuu nne za dunia na viongozi wakubwa wamefika kupata huduma za kiroho na asilimia 90% ya huduma yake ilikuwa live kila mtu alikuwa anaona namna ya mapepo yanavyotolewa, mimi nimefuatilia hao watu wanaotuhumiwa mbona ni maelezo tu bila hata video zinazoonyeshwa huo unyanyasaji? Kwa Tb Joshua wengine walikuwa wanakerwa wakiwa vichaa ili waombewe , mtu kichaa lazima afungwe kamba ili asilete madhara kwa watu wengine. Maswali ya kujiuliza
1. Unawezaje kuamini maelezo ya watu 30 na wakati wanaoenda pale scoan ni maelfu ya watu, kama hau ni maadui zake inakuaje?
2. Hao wanaodai wamedharirishwa kwanini watafute media badala ya kwenda mahakamani kumshitaki?
3. Kwanini wasubiri mtu amekufa ndoa watoe malalamiko hayo ?
4. Usafi na uhalali wa BBC kuhoji mambo ya kiroho wanaitoa wapi? Mbona ushoga unaolingana na biblia wameukumbatia?
5. Kwanini wengi wanaolalamika ni wale waliotolewa maepo na Tbl Kishua?
6. Mbona hao BBC hawaelezi mema yaliyofanywa na Tb Joshua ya kutumia billions of money kusaidia wasijiweza, kusomesha watu?
5 Tunajua huduma ya Tb Joshua iliharibu biashara za wakubwa duniani, ilifikia hatua wenye kansa, HIV, uvimbe, sukari na magonjwa mengi yanapona kwa njia ya maombi bila kutumia dawa.
Palipo na mafanikio chuki lazima, na mti mwema hutupiwa mawe.

BBC hawezi kutuelekeza mambo ya Mungu kuwa huyu ni mtumishi fake au wa Mungu. Hizo scandal wanazotengeneza hazifanikisha mipango yao ya kutaka kufuta legacy ya TB Joshua.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli wajinga ndio waliwao hv wakristo baadhi yenu lini mtakua na akili

Angekua anatibu kweli hayo maradhi ingejulikanika tuuuu

Huyo tapeli kama wale wa tuma kwenye namba hii ila utapeli wake kauvika joho la ukristo

Sitaki kuamini kama mwamposa hajawahi kukutapeli

Au yule nabii alijichora matatuu na kibukta chake [emoji1787][emoji3][emoji1787]
 
Nilikuja kugundua jamaa msanii siku moja macheko emmanuel tv, wakarusha jamaa ameenda kutembelea kituo cha walemavu akapeleka baskeli za walemavu kama msaada

Nikajiuliza kwanini asingewaombea wapone, why anawapa baskeli?

Wale ni real walemavu sio maigizo
@JR 16 pitia hapa hem
 
TB Joshua alikuwa ni mchungaji maarufu wa Kikristo na mwanzilishi wa kanisa la Synagogue, Church of All Nations (SCOAN) huko Lagos, Nigeria. Alikuwa na ushawishi mkubwa katika jamii na alihusika katika huduma za kiroho, uponyaji, na mafundisho ya Biblia. Hata hivyo, alifariki dunia mnamo Juni 2021.
Ana pacha wake yuko Morogoro wanafanana hivyohivyo hata jina wanafanana pia
 
Sio waandishi wote wana njaa, hasa unapozungumzia waandishi wa chombo kikubwa kama BBC cha ulimwengu wa kwanza ambaacho kinatoa hadi taarifa hasi za mabilionea mara nyingi tu.
BBC hii siyo unayoisema wewe hapa.

Kuwa chombo kikubwa haiwezi kuwa sababu ya kupindisha habari maybe wajui waandishi wewe ukae kwa kutulia.


Nikudokeze kidogo tu, ukienda kwenye page ya yutubu ya TBJ kuna hizi issues nyingi naona aliwahi kuhojiwa na kuelezea why hao BBC hawakufanya kwa wkt huo kukiwa na rumors kibao?.

Lakini hebu tuseme lengo la bbc ni kufungua watu akili sawa na je, hao waliokuwa wanabakwa kwa nini hawajenda kulipoti polisi au kwa jamaa zao?.

Although kuna jambo bbc wanalitumia baada ya jamaa kupinga ushoga, note this!.
 
@JR 16 pitia hapa hem

@JR 16 pitia hapa hem
Umemfanya nicheke, TB Joshua ni mtu alikemea na kuwafungua mashoga na kuachana na kazi hiyo, tuliona vijana mashoga kule Paraguay na Peru walivyofunguliwa kupitia mambo, wengi baada ya kuombewa walikuwa wanalia, kumbe lilikuwa ni pepo. Iko hivi hata Yesu na mitume hawa kuponya kila mtu, walipoona ni wale waliohitaji uponyaji na kumpokea Yesu Kristo kuwa mwokozi wa maisha yao, pia kuna vilema wengine ni vilema kwa ajili ya utukufu wa Mungu, Mungu ndo amewaomba vile vile. BBC wanataka kutuaminisha kwamba Mungu haponyi kupitia watumishi wake, kwamba uponyaji ulioandikwa kwenye biblia ni uongo, BBC inatakiwa wakasaidie vijana mapunga wa huko Ukata.
 
Umemfanya nicheke, TB Joshua ni mtu alikemea na kuwafungua mashoga na kuachana na kazi hiyo, tuliona vijana mashoga kule Paraguay na Peru walivyofunguliwa kupitia mambo, wengi baada ya kuombewa walikuwa wanalia, kumbe lilikuwa ni pepo. Iko hivi hata Yesu na mitume hawa kuponya kila mtu, walipoona ni wale waliohitaji uponyaji na kumpokea Yesu Kristo kuwa mwokozi wa maisha yao, pia kuna vilema wengine ni vilema kwa ajili ya utukufu wa Mungu, Mungu ndo amewaomba vile vile. BBC wanataka kutuaminisha kwamba Mungu haponyi kupitia watumishi wake, kwamba uponyaji ulioandikwa kwenye biblia ni uongo, BBC inatakiwa wakasaidie vijana mapunga wa huko Ukata.
Kwahio una amini kama jamaa kweli alikua nabii???
 
Kwahio una amini kama jamaa kweli alikua nabii???
kwa mjibu wa biblia nabii ni mwonaji, manabii walikuwa kuwepo na mpaka sasa wapo, mimi kwa imani yangu ya Kikristo yule alikuwa prophet, nyie kama mngeishi enzi za Yesu au Mhamad mngeshiriki kuwaua kuwa ni manabii fake. BBC hawana uhalali wa kujadili mambo ya Mungu.
 
Back
Top Bottom