BBC imepanga kutoa video inayoonesha Unabii Feki wa TB Joshua

BBC imepanga kutoa video inayoonesha Unabii Feki wa TB Joshua

kwa mjibu wa biblia nabii ni mwonaji, manabii walikuwa kuwepo na mpaka sasa wapo, mimi kwa imani yangu ya Kikristo yule alikuwa prophet, nyie kama mngeishi enzi za Yesu au Mhamad mngeshiriki kuwaua kuwa ni manabii fake. BBC hawana uhalali wa kujadili mambo ya Mungu.
Mwonaji wa vipi hem ongezea nyama hapa mkuuu

Bbc si wameongelea suala la jamaa kunajisi watu ama sijaelewa

Ila kumbe kwenye ukristo manabii mpaka leo bado wapo
 
Bbc should give tangible/solid evidence not talks

Maneno wanayoongea hao huo sio ushahidi ni kuchafuana
Huwezi kupublish habari kama hizo kwa maelezo ya hao wahojiwa wakati hawana solid evidence

Ndio mjue hawa bbc sio chombo cha habari tena,alafu mbona tafiti zao wanahangaika na blacks only?
Wanazo habari za uhakika..ndio maana wenye SCOAN hawawezi kuishtaki BBC.
Wakiishtaki, ushahidi mwingi utatolewa..
Huwezi kuweka vielelezo vyote mitandaoni kuwafurahisha wachangiaji mitandaoni.
 
kwa mjibu wa biblia nabii ni mwonaji, manabii walikuwa kuwepo na mpaka sasa wapo, mimi kwa imani yangu ya Kikristo yule alikuwa prophet, nyie kama mngeishi enzi za Yesu au Mhamad mngeshiriki kuwaua kuwa ni manabii fake. BBC hawana uhalali wa kujadili mambo ya Mungu.
Aisee..
 
Video ya unyanyasaji wa Nabii Joshua, haiwezi kutoka kamwe na haipo.

Sio kila Nabii ni Tapeli.
TBJ amefanya mengi mazuli lakini BBC hajawahi kuandika chochote kizuri alichokifanya.

Hakuna video wala nini na ingeisha toka kama ipo
BBC sio Malaika kuwasema kuwa hawaandiki habali za majungu hasa kwa Afrika na watu wake.

Msipoteze muda kuisubiri hiyo video ni kwamba haipo.
TBJ ameishi maisha ya Kilokole tokea akiwa mtoto mdogo.
Alipofikia Umri wa kuoa akaoa.

Tunawasubiri BBC kuweka hiyo video ambayo haipo, na kuitunga hawawezi.
 
Heri ya mwaka mpya mkongwe...

Upo sahihi, lakini habari kama hizi zingekuwa na mashiko zaidi endapo zingetolewa kipindi muhusika akiwa hai naye tusikie utetezi wake...

Pamoja na kwamba SCOAN imepoteza ule umaarufu wake, kuzitoa habari hizi kwa sasa tutakuwa na maelezo ya upande mmoja tu...Usemayo ni sahihi kwa mambo ambayo hatuna hakika. Lkn la huyo jamaa sio la kubahatisha.
Habari ndugu.

Yeyote mwenye akili ya wastani anafahamu kuwa msela alikuwa anapiga hela tu
Hakuna cha unabii wala nini.

Cheki Gwajima. Ati kafufua mtu kanisani wakati MAMA YAKE MZAZI kamzika.

Yaani hizi imani zetu kazi kweli kweli .
🤣🤣
 
Wanazo habari za uhakika..ndio maana wenye SCOAN hawawezi kuishtaki BBC.
Wakiishtaki, ushahidi mwingi utatolewa..
Huwezi kuweka vielelezo vyote mitandaoni kuwafurahisha wachangiaji mitandaoni.
Watu wa dini wakiamua kung'ang'ania imani zao za kijinga huwezi kuwabadilisha.

Kwa mujibu wa Biblia, Yesu aliwaambia watu enzi zake kwamba hawataionja mauti kabla ya yeye kurudi mara ya pili.

Watu wakaacha kulima, wakijua Yesu atarudi tena kabla hawajafa, ya nini kulima?

Mpaka leo wamekufa maelfu na maelfu ya vizazi, miaka zaidi ya 2,000, na Yesu bado hajarudi mara ya pili.

Na bado watu wanamuamini Yesu.

Sasa wewe unaona hao ndio watu wa kubishana nao kwa logic wakakuelewa?

Wakishaamua kula mavi watakula mavi tu, piga ua galagaza.

Watakwambia hii chocolate, si mavi.

Na ingekuwa kipindupindu wanapata wenyewe tu, tungewaacha wale mavi wafe.

Tatizo wanatuambukiza.
 
Watu wa dini wakiamua kung'ang'ania imani zao za kijinga huwezi kuwabadilisha.

Kwa mujibu wa Biblia, Yesu aliwaambia watu enzi zake kwamba hawataionja mauti kabla ya yeye kurudi mara ya pili.

Watu wakaacha kulima, wakijua Yesu atarudi tena kabla hawajafa, ya nini kulima?

Mpaka leo wamekufa maelfu na maelfu ya vizazi, miaka zaidi ya 2,000, na Yesu bado hajarudi mara ya pili.

Na bado watu wanamuamini Yesu.

Sasa wewe unaona hao ndio watu wa kubishana nao kwa logic wakakuelewa?

Wakishaamua kula mavi watakula mavi tu, piga ua galagaza.

Watakwambia hii chocolate, si mavi.

Na ingekuwa kipindupindu wanapata wenyewe tu, tungewaacha wale mavi wafe.

Tatizo wanatuambukiza.
Wewe huijui Biblia kabisa.

Yesu alisharudi mara ya pili kitambo.

Alikufa akaenda Mbinguni akarudi tena na kuwaambia wanafunzi wake wahubiri injiri ulimwenguni kote.

Akirudi tena itakuwa mara ya tatu

Mara ya kwanza alikuja akipitia tumboni kwa Mariamu mamaye
(Sio Maria tafadhari)

Mala ya pili alirudi kupitia Kaburini aliko zikwa.
Siku aliyofufuka (huna akili kabisa)

Mala ya tatu atakuja kama alivyo paa Mbinguni.

Waislamu someni Qurani Yenu. Kamwe hamta ielewa Biblia

Biblia haisomwi kwa uwezo wa Majini.

Biblia inasomwa kwa nguvu za Roho Mtakatifu.

Muhammadi kafariki muda mrefu na amesha oza.
 
Wewe huijui Biblia kabisa.

Yesu alisharudi mara ya pili kitambo.

Alikufa akaenda Mbinguni akarudi tena na kuwaambia wanafunzi wake wahubiri injiri ulimwenguni kote.

Akirudi tena itakuwa mara ya tatu

Mara ya kwanza alikuja akipitia tumboni kwa Mariamu mamaye
(Sio Maria tafadhari)

Mala ya pili alirudi kupitia Kaburini aliko zikwa.
Siku aliyofufuka (huna akili kabisa)

Mala ya tatu atakuja kama alivyo paa Mbinguni.

Waislamu someni Qurani Yenu. Kamwe hamta ielewa Biblia

Biblia haisomwi kwa uwezo wa Majini.

Biblia inasomwa kwa nguvu za Roho Mtakatifu.

Muhammadi kafariki muda mrefu na amesha oza.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
 
Wewe huijui Biblia kabisa.

Yesu alisharudi mara ya pili kitambo.

Alikufa akaenda Mbinguni akarudi tena na kuwaambia wanafunzi wake wahubiri injiri ulimwenguni kote.

Akirudi tena itakuwa mara ya tatu

Mara ya kwanza alikuja akipitia tumboni kwa Mariamu mamaye
(Sio Maria tafadhari)

Mala ya pili alirudi kupitia Kaburini aliko zikwa.
Siku aliyofufuka (huna akili kabisa)

Mala ya tatu atakuja kama alivyo paa Mbinguni.

Waislamu someni Qurani Yenu. Kamwe hamta ielewa Biblia

Biblia haisomwi kwa uwezo wa Majini.

Biblia inasomwa kwa nguvu za Roho Mtakatifu.

Muhammadi kafariki muda mrefu na amesha oza.
Ungejikita kujibu hoja matusi hayafai
 
Hata wa sasa kila mwezi ni lazima ulale na bikira mbili au tatu ili kuimarisha madhabau.
Uzipataje hizi bikira lucifa huwaconnect na hivyo vibinti.
Ngono ni agano shetani anapenda sana ngono.
 
Wewe huijui Biblia kabisa.

Yesu alisharudi mara ya pili kitambo.

Alikufa akaenda Mbinguni akarudi tena na kuwaambia wanafunzi wake wahubiri injiri ulimwenguni kote.

Akirudi tena itakuwa mara ya tatu

Mara ya kwanza alikuja akipitia tumboni kwa Mariamu mamaye
(Sio Maria tafadhari)

Mala ya pili alirudi kupitia Kaburini aliko zikwa.
Siku aliyofufuka (huna akili kabisa)

Mala ya tatu atakuja kama alivyo paa Mbinguni.

Waislamu someni Qurani Yenu. Kamwe hamta ielewa Biblia

Biblia haisomwi kwa uwezo wa Majini.

Biblia inasomwa kwa nguvu za Roho Mtakatifu.

Muhammadi kafariki muda mrefu na amesha oza.
Umejuaje mimi Muislamu?

Unajua mstari ninaouzungumzia ni upi? Au unarukia tu habari kwa jazba?

Unaweza kuthibitisha Yesu alifufuka?

Au unaokoteza hadithi tu?

Roho Mtakatifu unaweza kuthibitisha yupo nje ya hadithi zenu tu?
 
Ungejikita kujibu hoja matusi hayafai
Mathayo (Mat) 18:5
Na ye yote atakayempokea mtoto mmoja mfano wa huyu kwa jina langu, anipokea mimi;
6 bali atakayemkosesha mmojawapo wa wadogo hawa waniaminio, yamfaa afungiwe shingoni jiwe kubwa la kusagia, na kutoswa katika kilindi cha bahari.

7 Ole ni wa ulimwengu kwa sababu ya mambo ya kukosesha! Maana hayana budi kuja mambo ya kukosesha; lakini ole wake mtu yule aliletaye jambo la kukosesha!

8 Basi mkono wako au mguu wako ukikukosesha, ukate ukautupe mbali nawe; ni afadhali kuingia katika uzima hali umepungukiwa na mkono au mguu, kuliko kuwa na mikono miwili au miguu miwili, na kutupwa katika moto wa milele.

9 Na jicho lako likikukosesha, ling’oe, ukalitupe mbali nawe; ni afadhali kuingia katika uzima una chongo, kuliko kuwa na macho mawili, na kutupwa katika jehanum ya moto.

(Kama una macho umesikia)
 
Back
Top Bottom