Wavamie urusi kwa kosa gan ? Urusi kaivamia nchi shiriki ya NATO? Mbona kama hujui nn maana ya NATOSasa kama udhaifu umeonekana basi si NATO waende sasa wakawavamie mbona simpo tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wavamie urusi kwa kosa gan ? Urusi kaivamia nchi shiriki ya NATO? Mbona kama hujui nn maana ya NATOSasa kama udhaifu umeonekana basi si NATO waende sasa wakawavamie mbona simpo tu.
Ficha ujinga wako, usidhani umeongea nondo sana.Dollar imekua si lolote si chochote zaidi ya karatasi iliyoaminiwa.
Cia wapo wapi?
Jiongeze, ukimuona adui yako anafanya makosa au anaenda kutumbukia shimoni utamshitua ??. Wagner na Serikali ya Putin wote ni adui ya West, jambo la manufaa kwa West ni wao kuvurugana na kutwangana.marekani anataka kuchukua point bila kazi yeyote. aseme tu hakujua lolote. kama alijua mbona hakutoa taarifa?
Marekani anawadanganya sana Watoto. Mbona alishindwa kujua kwamba Osama atatuma Makombora kwake??
Actualy alijua, tofauti wkt uoe hawaku act on time. Ni moja ya uzembe ambao wanajilaumu mpaka leo
Unajua mwizi atakuvamia usiku afu bado unalala? Kamdanganye mtoto mzee sisi watu wazima humu ndani.
Sasa kwanini wanapiga kelele kila siku na wanaipa silaha na logistics Ukraine dhidi ya Russia kama hawaoni Russia ana Makosa kuivamia Ukraine??? ..Libya ilivamia nchi gani ya NATO????.....Yugoslavia ilivamia nchi gani ya NATO???? ....Wavamie urusi kwa kosa gan ? Urusi kaivamia nchi shiriki ya NATO? Mbona kama hujui nn maana ya NATO
nafikiri tathmin hii ililenga zaidi kuainisha uhusiano au hali ilivyo kati ya Urusi na Wegner, naona kama haihusishi Ukrain"Vita ya Ukrein inakwande vibaya Kwa Wagner na wanajeshi wakawaida"..ukisoma hii sentence unagundua kabisa kuwa hawakua na taarifa zozote bali ni propaganda Kwa kujifanya wanafahamu Kila kitu.
Jambo lakujiuliza ni je?.
Kati ya Wagner na wanajeshi wa urusi dhidi ya wanajeshi wa ukrein ninani kati yao vita/SMO inawaendea vibaya?. Jibu lake Kila mwenye ufahamu na akili timamu analifahamu.
Warusi wa Buza wanatakiwa kukaa kimya sasa, warusi wa Moscow sasa wanatafuta exitHivi saa 48 za kuisambaratisha Ukraine bado tu? Mlitwambia warusi wa buza tusiwe na shaka, Ukraine itapigwa ndani ya saa 48, vipi huko.
unaongea kwa uchungu sana,itakuwa umeumia sana kwa kilichotokea!Hayo maasi yameanika udhaifu wa Russia na kuifanya ionekane kwamba haina tofauti na hizi "Shithole Countries" zetu. Russia bure kabisa ni wazungu rangi tu lakini tabia ni za kiswahili sana.
libya alivamia nchi shiriki ya NATO?Wavamie urusi kwa kosa gan ? Urusi kaivamia nchi shiriki ya NATO? Mbona kama hujui nn maana ya NATO
Chuki zenu dhidi ya USA ni za kijingaAliyekudanganya ni nani? Nawewe umeingia kwenye mtego wa kuwaamini US kwamba Kremlin ilikuwa haijui? Hivi watu wanaopigwa risasi kila uchao huko USA wanakuaga wapi kujua kabla? Mbona nyambizi Titan tangu ipate ajali hawakuipata na ipo hukohuko? Mdogo wangu hii ni dunia kuwa makini kabla hujaliwa kichwa! Najua mlifurahi mkiamini sasa Putin anatolewa ikulu sijui mnamuogopea nini huyu jamaa na kwa taarifa yenu kichapo kipo palepale mlikuwa mnapigwa akili na wenye akili na mmedhihirisha kuwa hamnazo ndo maana hata mkubwa mnaemwamini nae kaingizwa chaka
Ndege ngap zimeangushwa!?Inafikirisha sana. Eti waasi wamesonga mbele hadi km 200 kabla ya kuingia Moscow, lakini hakuna hata panya aliyeuliwa.
50.Ndege ngap zimeangushwa!?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ficha ujinga wako, usidhani umeongea nondo sana.
Pesa zote duniani ni fiat money na sio chochote zaidi ya makaratasi yalioaminiwa.
Tofauti ni kiwango cha kuaminiwa kwa dola kipo juu zaidi duniani kuliko pesa nyingine.
Yuko dhaifu sana na amekimbia nchi akawaachia amumluki wake wajidai mitaaniHayo maasi yameanika udhaifu wa Russia na kuifanya ionekane kwamba haina tofauti na hizi "Shithole Countries" zetu. Russia bure kabisa ni wazungu rangi tu lakini tabia ni za kiswahili sana.