Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Ni sahihi kabsa Ila kwa upande mmoja wa sarafu tugeuze upande wa pili wa sarafu tutapata ukweli wotePutin anazidi kuaibika! Mpaka sasa ameshapoteza askari zaidi ya askari elfu 10 ikiwemo majenerali zaidi ya watano.
Kweli mdharau mwiba mguu huota tende
Sawa ni vyema ukatupatia huo ukweliNi sahihi kabsa Ila kwa upande mmoja wa sarafu tugeuze upande wa pili wa sarafu tutapata ukweli wote
Siku hizi tunashukuru Mungu kuna vyanzo vingi vya habari na tunatambua vyombo vingi vya habari vipo kupush agenda zaoMoto wa mabua
Akikujibu nitagKwa hiyo? Russia si alitangaza atakaemsaidia Ukraine atakula kichapo
BBC NA CNN NI U.T.I iliyokomaa kwa Propaganda...Kuiamini BBC ni ngumu Sana sababu ya propaganda znazoegemea nchi za Magharibi na NATO
Sawa ni vyema ukatupatia huo ukweli
Ndio mkuu na ndipo apo linapokuja swala la propaganda kuhusu huu mzozoSawa ni vyema ukatupatia huo ukweli
Umesikia kutoka wapiNasikia Urusi inatumia zana nyingi za kivita za enzi za USSR sijui kwa nini wameamua hivyo ama wanataka NATO waingie kichwa kichwa halafu ndio waamshe zana zenyewe
siku hizi mtu hakiwa hana hoja ama kaona habari isiyompendeza anasema ni propaganda.
nb:, JPM ALICHAFULIWA VIPI NA BBC?
Kutoka mdomoni mkuuU
Umesikia kutoka wapi
ChaiKutoka mdomoni mkuu
Umeambiwa lete wewe taarifa sahihi zisizo na chembe ya propagandaNdio mkuu na ndipo apo linapokuja swala la propaganda kuhusu huu mzozo
Umeambiwa lete wewe taarifa sahihi zisizo na chembe ya propaganda
Just imagine how silly you sounded in your attempt to convince yourself that you habour intelligent brain cells.BBC na CNN ni wake wenza, mijanaume mizima inafuatilia media za kipumbavu 🤣 shame on you
Hawa wameamua kujitoa ufahamu kwa ajili ya Putin.Just imagine how silly you sounded in your attempt to convince yourself that you habour intelligent brain cells.
Ideot
Kwahiyo mkuu ulitaka urusi isipoteze hata silaha yake moja.Hiyo ukraine sio dhaifu kivita kama mnavyoaminishwa na propaganda za western ili tuwaonee huruma.Ukraine wa jeshi imara na wananchi wana mshikamano kwahiyo sio vita ndogo hiyo.Kibao kinaaendelea kugeuzwa......ukiingia kushambulia watu kwenye nchi yao unaua mama zao, baba zao, watoto wao kwenye mauaji ya kimbari, jiandae kwa lolote, watapigana mpaka afe wa mwisho...
A Russian landing ship has been destroyed and two other boats have been damaged in the occupied Ukrainian port city of Berdyansk, say Ukrainian officials.
The Ukrainian military posted footage early on Thursday and said the Orsk had been hit by its forces.
Details of what caused the explosion and fire on board the ship are unclear.
Berdyansk, which is west of the besieged port of Mariupol, was seized four days after Russia invaded Ukraine.
Russia says it has used the port as a base to ferry in equipment for its troops.
Russian army TV hailed the arrival of the Orsk in Berdyansk last week as an "epic event" as it was the first Russian warship to dock there.
Drone footage filmed by a Russian state TV reporter showed an armoured personnel carrier being offloaded from the Orsk in the port. The armoured vehicles were to be used to reinforce Russian troops, the TV report added.
Russian warship destroyed in occupied port of Berdyansk, says Ukraine
Ukraine's navy says the Orsk, which was used to ferry Russian troops, was hit in Berdyansk.www.bbc.com
Hawa wameamua kujitoa ufahamu kwa ajili ya Putin.
JIwe hajachafuliwa na mtu Bali alijichafua mwenyewe Kwa matendo yake🤔Kupanga ni kuchagua wew Kam umeamua kuwaamini BBC sawa Ila kumbuka tu Marehemu Dr Jpm alichafuliwa kila siku na hawa wahni