Kweli kabisa,wamebakiza habari za kisa na mkasa,hata kama hawana nauli ya kuwaleta dodoma,hata televisheni hawaangalii wakati linarushwa live? Vyuo vikuu vipo vingi lakini hata kuwahoji wahadhiri hapana,wakati wako uingereza walikuwa bize na akina lwaitama,wamehamishiwa bongo ni kimya, hivi anold kayanda aliyezoea kumuhoji juma nature atamuhoji rais wa nchi gani? Labda wa TFF, hata mwalekwa pale hapamtoshi, ni mara ya kwanza bbc inakuwa na mwandishi darasa la saba, mc wa kitchen party,labda wamchukue yule jamaa wa star tv dotto bulendu, he is a journalist heavyweight enough for the job,anaweza hata kuandaa kipindi cha review ya magazeti ya africa na ulaya