kwa Mataifa yanayotengeneza Silaha zao wenyewe ni kweli kabisa.Trust me! Hakuna taifa lolote ulimwenguni linaweza kuanika silaha zake zote za kivita hadharani. Mambo mengi ya kijeshi karibia kila taifa ufanywa kuwa siri
La pili ni kuwa Umeongelea jambo la Ethiopia na Tigray sio? sasa jambo ambalo ni hidden ni kuwa vita hii iko kisiasa sana kama sio hivo Ethiopia kukomboa lile jimbo ni suala la sekunde tu.
USA kulinda amani afghanistan!Tofautisha jeshi la kulinda amani, na vita. Marekani haijawai kuwa na Vita na Afghanistan, bali walikuwa walinda Amani dhidi ya Wataliban. Kama ilivyo jeshi la Tanzania DRC Congo, Ilivyokuwa Msumbiji na Kwingineko. Lakini Ethiopia na Eritrea zilikuwa na vita ya kupigania eneo.
Si kulinda amani.
Jeshi la Tanzania lilipelekwa Libya kulinda Amani. Kuna muda walivamiwa baadhi waliuwawa hata huko Congo. Nilikuwa najiuliza zamani kwa nini Tanzania tusipeleke jeshi likawashambulia? Nilikuwa bado mjinga, ndo nikaelimishwa tupo kulinda amani si vita japo majeshi ya waasi mara nyingi ufanya makusudi kuvamia majeshi ya kulinda amani.
Marekani nayo huko walivamiwa na Taliban wakauwawa baadhi ya askari. Unadhani ni kwanini Marekani aikupeleka jeshi na vifaa kuwafutilia mbali wataliban. Marekani haikuwa kwenye vita bali kulinda Amani. Ndo maana iliamua kuondoa majeshi yake Afghanistan. Hata wanapoondoa watu wao Taliban waliheshimu. Haikuwa vita ndugu yangu. Ha ha ha ha!
Tujue kutofautisha kulinda amani na Vita. Na ulindaji amani unasheria zake.
Ni nyie msiotaka kukosolewa hata kama wa 100 mnataka mwaambiwe wa kwanza, kulingana na weledi wa kitanzania🏃.BBC wa ajabu Sana hawa.
Eti Tanzania ni nchi ya 23 kwa nguvu za kijeshi. Eti Congo DRC ni ya 10. Uganda 14 na Kenya 12.
1. Egypt, 2. Algeria 3. Nigeria 4 south Africa 5. Ethiopia 6. Angola 7. Sudan 8. Morocco 9.Libya na 10 ni Congo DRC.
Maajabu hayaishi duniani. Mbona Libya, Ethiopia, Congo DRC na Nigeria vita kibao na uimara huo wa Majeshi yao?
Source: BBC Swahili news.
Pia ni la kizamani kimuundo...hata PK anatuzidi.BBC wa ajabu Sana hawa.
Eti Tanzania ni nchi ya 23 kwa nguvu za kijeshi. Eti Congo DRC ni ya 10. Uganda 14 na Kenya 12.
1. Egypt, 2. Algeria 3. Nigeria 4 south Africa 5. Ethiopia 6. Angola 7. Sudan 8. Morocco 9.Libya na 10 ni Congo DRC.
Maajabu hayaishi duniani. Mbona Libya, Ethiopia, Congo DRC na Nigeria vita kibao na uimara huo wa Majeshi yao?
Source: BBC Swahili news.
Mdau, hebu tuka test mitambo pale kwa marehemu Nkuru. Huenda tutapangiwa nafasi sahihiBBC wa ajabu Sana hawa.
Eti Tanzania ni nchi ya 23 kwa nguvu za kijeshi. Eti Congo DRC ni ya 10. Uganda 14 na Kenya 12.
1. Egypt, 2. Algeria 3. Nigeria 4 south Africa 5. Ethiopia 6. Angola 7. Sudan 8. Morocco 9.Libya na 10 ni Congo DRC.
Maajabu hayaishi duniani. Mbona Libya, Ethiopia, Congo DRC na Nigeria vita kibao na uimara huo wa Majeshi yao?
Source: BBC Swahili news.
😂😂😂😂😂😂sasa mbona wanashindwa kudhibiti waasi hadi tukawasaidie, ukute hadi wanajeshi wetu wamehesabiwa huko.
😂😂😂😂😂😂😂😂Hamza ndio kaporomosha jeshi
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kweli wanaubaguzi hivi huwa hawaoni Tunavyo Vunja Tofali na kukunja Nondo pale Taifa kwenye maonyesho
Misri ndo namba moja, hilo halina ubishi,, Algeria ni secondSouth Africa walitakiwa wawe number 1
Jeshi lao lipo very well organised
Nakubaliana nao kwa 100% hapa kazi yao kupiga raia kwa sababu za kipumbavu utakuta mwanajeshi amedundwa na raia kwenye bar au klabu ya pombe za kienyeji kwa kugombea mwanamke anakimbilia kambini halafu wanatoka zaidi ya 10 kwenda kumchangia raia sasa si upuuzi huo.
BBC wa ajabu Sana hawa.
Eti Tanzania ni nchi ya 23 kwa nguvu za kijeshi. Eti Congo DRC ni ya 10. Uganda 14 na Kenya 12.
1. Egypt, 2. Algeria 3. Nigeria 4 south Africa 5. Ethiopia 6. Angola 7. Sudan 8. Morocco 9.Libya na 10 ni Congo DRC.
Maajabu hayaishi duniani. Mbona Libya, Ethiopia, Congo DRC na Nigeria vita kibao na uimara huo wa Majeshi yao?
Source: BBC Swahili news.
Hayo ni mambo ya kidiplomasia tu hata wanajeshi wa Tanzania wanaenda nchi rafiki kupata mafunzo kama wanavyofanya nchi nyingine kuleta wanajeshi wao hapa kwetu.Ukitaka kuamini kuwa jeshi letu ni bora ndio maana Nchi za jirani huleta wanajeshi wao Tanzania kupata mafunzo zaidi mfano TMA
Nashangaa Kuna watu wanalishusha jeshi letuUkitaka kuamini kuwa jeshi letu ni bora ndio maana Nchi za jirani huleta wanajeshi wao Tanzania kupata mafunzo zaidi mfano TMA
Wanasema kambi za jeshi za Congo DRC zina wanajeshi 134000. Wanaangalia pia idadi, vifaa, bajeti nk