BBC waendeleza ubeberu: Eti Tanzania nchi ya 23 kijeshi Afrika, Uganda ya 14 na Kenya ya 12

BBC waendeleza ubeberu: Eti Tanzania nchi ya 23 kijeshi Afrika, Uganda ya 14 na Kenya ya 12

Kabla haujabisha angalia na vigezo walivyoweka..., labda ni bajeti inayoenda kwenye Jeshi, Number ya Wanajeshi, Vifaa n.k.

Anyway karne hii ya Adui Mazingira taanza kuona faida ya Jeshi iwapo in times of peace hao wanajeshi wangeingia field kupambania Uchumi (Tokomeza Umasikini)
 
Trust me! Hakuna taifa lolote ulimwenguni linaweza kuanika silaha zake zote za kivita hadharani. Mambo mengi ya kijeshi karibia kila taifa ufanywa kuwa siri

La pili ni kuwa Umeongelea jambo la Ethiopia na Tigray sio? sasa jambo ambalo ni hidden ni kuwa vita hii iko kisiasa sana kama sio hivo Ethiopia kukomboa lile jimbo ni suala la sekunde tu.
kwa Mataifa yanayotengeneza Silaha zao wenyewe ni kweli kabisa.
Ila kwa Mataifa yanayonunua Silaha, ni rahisi kujua; Idadi ya silaha zilizonunuliwa kwa kipindi cha Mwaka hadi Miaka kumi, Idadi ya Askari, Idadi ya reserve hivyo Kenya na Uganda zipo mbele kwa sababu ya Ununuzi wa silaha , Mafunzo, tusisahau Uganda ana latest SU 30 jet fighter sisi hatuna hata moja, navy wa Kenya wapo na New Military ship sisi hatuna
 
Tofautisha jeshi la kulinda amani, na vita. Marekani haijawai kuwa na Vita na Afghanistan, bali walikuwa walinda Amani dhidi ya Wataliban. Kama ilivyo jeshi la Tanzania DRC Congo, Ilivyokuwa Msumbiji na Kwingineko. Lakini Ethiopia na Eritrea zilikuwa na vita ya kupigania eneo.
Si kulinda amani.

Jeshi la Tanzania lilipelekwa Libya kulinda Amani. Kuna muda walivamiwa baadhi waliuwawa hata huko Congo. Nilikuwa najiuliza zamani kwa nini Tanzania tusipeleke jeshi likawashambulia? Nilikuwa bado mjinga, ndo nikaelimishwa tupo kulinda amani si vita japo majeshi ya waasi mara nyingi ufanya makusudi kuvamia majeshi ya kulinda amani.

Marekani nayo huko walivamiwa na Taliban wakauwawa baadhi ya askari. Unadhani ni kwanini Marekani aikupeleka jeshi na vifaa kuwafutilia mbali wataliban. Marekani haikuwa kwenye vita bali kulinda Amani. Ndo maana iliamua kuondoa majeshi yake Afghanistan. Hata wanapoondoa watu wao Taliban waliheshimu. Haikuwa vita ndugu yangu. Ha ha ha ha!
Tujue kutofautisha kulinda amani na Vita. Na ulindaji amani unasheria zake.
USA kulinda amani afghanistan!
 
BBC wa ajabu Sana hawa.

Eti Tanzania ni nchi ya 23 kwa nguvu za kijeshi. Eti Congo DRC ni ya 10. Uganda 14 na Kenya 12.

1. Egypt, 2. Algeria 3. Nigeria 4 south Africa 5. Ethiopia 6. Angola 7. Sudan 8. Morocco 9.Libya na 10 ni Congo DRC.

Maajabu hayaishi duniani. Mbona Libya, Ethiopia, Congo DRC na Nigeria vita kibao na uimara huo wa Majeshi yao?

Source: BBC Swahili news.
Ni nyie msiotaka kukosolewa hata kama wa 100 mnataka mwaambiwe wa kwanza, kulingana na weledi wa kitanzania🏃.
 
BBC wa ajabu Sana hawa.

Eti Tanzania ni nchi ya 23 kwa nguvu za kijeshi. Eti Congo DRC ni ya 10. Uganda 14 na Kenya 12.

1. Egypt, 2. Algeria 3. Nigeria 4 south Africa 5. Ethiopia 6. Angola 7. Sudan 8. Morocco 9.Libya na 10 ni Congo DRC.

Maajabu hayaishi duniani. Mbona Libya, Ethiopia, Congo DRC na Nigeria vita kibao na uimara huo wa Majeshi yao?

Source: BBC Swahili news.
Pia ni la kizamani kimuundo...hata PK anatuzidi.
 
BBC wa ajabu Sana hawa.

Eti Tanzania ni nchi ya 23 kwa nguvu za kijeshi. Eti Congo DRC ni ya 10. Uganda 14 na Kenya 12.

1. Egypt, 2. Algeria 3. Nigeria 4 south Africa 5. Ethiopia 6. Angola 7. Sudan 8. Morocco 9.Libya na 10 ni Congo DRC.

Maajabu hayaishi duniani. Mbona Libya, Ethiopia, Congo DRC na Nigeria vita kibao na uimara huo wa Majeshi yao?

Source: BBC Swahili news.
Mdau, hebu tuka test mitambo pale kwa marehemu Nkuru. Huenda tutapangiwa nafasi sahihi
 
Tanzania imepigana vita hivyo inajua namna ya kuficha taarifa zake nyeti.

Katika modern world kwa hapa Afrika Tanzania ndio nchi pekee iliyopigana vita na kuingia nchi nyingine na kuweka utawala wake.
 
Sasa mkuu ulitaka tuwe namba ngapi na wakati hata hatupigani
 
Nakubaliana nao kwa 100% hapa kazi yao kupiga raia kwa sababu za kipumbavu utakuta mwanajeshi amedundwa na raia kwenye bar au klabu ya pombe za kienyeji kwa kugombea mwanamke anakimbilia kambini halafu wanatoka zaidi ya 10 kwenda kumchangia raia sasa si upuuzi huo.

leta fact
 
BBC wa ajabu Sana hawa.

Eti Tanzania ni nchi ya 23 kwa nguvu za kijeshi. Eti Congo DRC ni ya 10. Uganda 14 na Kenya 12.

1. Egypt, 2. Algeria 3. Nigeria 4 south Africa 5. Ethiopia 6. Angola 7. Sudan 8. Morocco 9.Libya na 10 ni Congo DRC.

Maajabu hayaishi duniani. Mbona Libya, Ethiopia, Congo DRC na Nigeria vita kibao na uimara huo wa Majeshi yao?

Source: BBC Swahili news.

Ukitaka kuamini kuwa jeshi letu ni bora ndio maana Nchi za jirani huleta wanajeshi wao Tanzania kupata mafunzo zaidi mfano TMA
 
Ukitaka kuamini kuwa jeshi letu ni bora ndio maana Nchi za jirani huleta wanajeshi wao Tanzania kupata mafunzo zaidi mfano TMA
Hayo ni mambo ya kidiplomasia tu hata wanajeshi wa Tanzania wanaenda nchi rafiki kupata mafunzo kama wanavyofanya nchi nyingine kuleta wanajeshi wao hapa kwetu.
 
Wakurya ndoa walipaisha jeshi letu likawa imara sana mpaka tukamchakaza idd amini!! front line state ni wakurya walikuwa wanarindima na wahehe!! makabiala mengine walikuwa wanogopa kuingia vitani!

sasa hakuna vita nashangaa eti wazaramo pia wanataka jeshi!! mweee! kwa nini tusiwe wa mwisho??? jitahidini mlirudishe kwa wakurya muone!! tena msiwape pesa, wapeni chakula tu!!

wao km wao muwakabidhi CHACHA, MARWA EEE! Chesi la africa hili hapa mura tunakupa bure! fanya utakavyo!! waasi wote vibaraka wa africa wanakamatwa faster

mkiweza muingie kongo!! changanya,tutsi, na wazulu plus kurya. nakwambia africa yoooteina nyooka vita itaisha! simjaribu muone?
 
Kwa criteria wanazotumia sisi wadogo kweli hakuna la kubisha hapo,
Wana angalia budget na size ya jeshi ku rank..
Mambo ya kupigana nan atapigwa au nan atampiga mwenzie hayapo hapo.
Wanasema kambi za jeshi za Congo DRC zina wanajeshi 134000. Wanaangalia pia idadi, vifaa, bajeti nk
 
Back
Top Bottom