BBC waendeleza ubeberu: Eti Tanzania nchi ya 23 kijeshi Afrika, Uganda ya 14 na Kenya ya 12

BBC waendeleza ubeberu: Eti Tanzania nchi ya 23 kijeshi Afrika, Uganda ya 14 na Kenya ya 12

Believe me, tunajifariji tunapojisifiaga kuwa jeshi letu ni miongoni mwa majeshi yenye nguvu Afrika. Jeshi letu lacks professionalism, liko kisiasa sana. Basi tu watu wengi hawajui kuhusu madudu ya hili jeshi.

Nyerere alishawahi sema kuwa jeshi letu ni the most politicized institution in Tanzania, tena walilifanya liwe hivyo kwa makusudi kabisa. Mpaka leo liko hivyo, halijabadilika.

We have a weak army. Anaebisha basi haijui vizuri JWTZ.
Uko sawa kabisa mkuu,jeshi gani linashabikia chama cha kipumbavu kama CCM? JWTZ ni Tawi la CCM siyo jeshi imara kabisa
 
hii siyo ajabu ndugu yangu.kwani mbona tunaambiwa Tanzania ni kisiwa cha amani lakini ni jambo la kushangaza kwenye listi ya nchi 50 zenye amani dunianiTanzania haipo .Tuendelee kuishi kwa matumaini
Kumbe tunadanganywa?
 
BBC wa ajabu Sana hawa.

Eti Tanzania ni nchi ya 23 kwa nguvu za kijeshi. Eti Congo DRC ni ya 10. Uganda 14 na Kenya 12.

1. Egypt, 2. Algeria 3. Nigeria 4 south Africa 5. Ethiopia 6. Angola 7. Sudan 8. Morocco 9.Libya na 10 ni Congo DRC.

Maajabu hayaishi duniani. Mbona Libya, Ethiopia, Congo DRC na Nigeria vita kibao na uimara huo wa Majeshi yao?

Source: BBC Swahili news.
Kenya no doubts, hakuna nguvu za kijeshi bila uchumi imara
1633282750826.png
 
Unajua maana ya utafiti? Ok, moja ya aina ya utafiti ni kujumuika na jamii husika ukaishi nayo na kufanya wafanyao, hii uwezesha kupata kile unachokihitaji kwa urahisi. Kuishi kwangu huku nimekuwa nikifatilia mgogoro huu mkubwa. Nashukuru kuwa nimekutana na watu wakubwa kwa wadogo ambao wamenipa historia hii. Lakini pia nimejionea mwenyewe.

Sijaongelea kujisifia kusafiri duniani. Nimeitaja Ethiopia kuliko na Tatizo na kuwakatalia hao BBC kuwa jeshi la Ethiopia linaudhahifu mkubwa.
Nashangaa wewe umefadhahika na kuanza kudhani tunaongelea kutembea duniani. Ingekuwa hivyo ningetaja nchi zote nilizotembelea lkn nimeongelea Ethiopia kwa sababu nipo huku na ninafanya tafiti kadhaa.

Wewe uzunguke dunia nzima ni maamuzi yako, ila swala hapa ni Ethiopia, nilioiongelea. Usiwe na mawazo ya kujihisi na sishindani nawe kuzunguka dunia. Jikite katika hoja. Utafiti unaruhusu mtu kwenda eneo husika na ukaeleza ulichokiona. Uwezi zuia nisiseme nilichokiona Ethiopia kwa kuwa niko huku. Nimeshuhudia mauaji kwa macho yangu. Nimeshuhudia mateso kwa macho yangu. Ati nisiseme niko Ethiopia. Naeleza nilichokiona. Mada si kuzunguka ulimwengu! Nimeongelea Ethiopia narudia unielewe.
Bro safi sana. Leo nilitaka nimtafute mchambuzi anifafanulie ishu ya Tigray bahati mbaya mambo yakawa mengi. Kama hutajali fungua hata uzi tufahamu huo mgogoro wa Tigray ulivyo. Mawazo yangu yananipeleka nidhani mgogoro wa Tigray ni kama wa Rohingya
 
JWTZ ni jeshi imara kwa sababu ya intelijensia yake. Ni jeshi lililoweza kuzuia majaribio mengi ya uasi na uvunjifu wa amani. Huu upumbavu wa kusema tafiti hupingwa kwa tafiti ifike mahala uachwe. Waliokuja na hii kauli ya tafiti hupingwa kwa tafiti ndo walituambia mzungu Rebman aligundua Mlima Kilimanjaro. BBC ni wa kupuuzwa kwasababu wana nia ovu. Adhabu ya hao BBC ni kukaliwa tu kimya na kuwaona kama wendawazimu. Kwa mission ambazo JWTZ imezifanya za ukombozi Afrika itoshe kusema ni jeshi imara la kuaminika. Kaburu kasumbuana sana na JWTZ. Watanzania wengi bado wana imani na JWTZ. Ni miongoni mwa taasisi chache za nchi ambazo zinaheshimika na kuaminika.
 
BBC wa ajabu Sana hawa.

Eti Tanzania ni nchi ya 23 kwa nguvu za kijeshi. Eti Congo DRC ni ya 10. Uganda 14 na Kenya 12.

1. Egypt, 2. Algeria 3. Nigeria 4 south Africa 5. Ethiopia 6. Angola 7. Sudan 8. Morocco 9.Libya na 10 ni Congo DRC.

Maajabu hayaishi duniani. Mbona Libya, Ethiopia, Congo DRC na Nigeria vita kibao na uimara huo wa Majeshi yao?

Source: BBC Swahili news.
Nguvu sio weledi, unaweza kuwa na jeshi kubwa hakuna weledi. Wingi wa vifaa, wingi wa askari hauwezi kufidia ukosefu wa weledi.
 
BBC wa ajabu Sana hawa.

Eti Tanzania ni nchi ya 23 kwa nguvu za kijeshi. Eti Congo DRC ni ya 10. Uganda 14 na Kenya 12.

1. Egypt, 2. Algeria 3. Nigeria 4 south Africa 5. Ethiopia 6. Angola 7. Sudan 8. Morocco 9.Libya na 10 ni Congo DRC.

Maajabu hayaishi duniani. Mbona Libya, Ethiopia, Congo DRC na Nigeria vita kibao na uimara huo wa Majeshi yao?

Source: BBC Swahili news.
Kweli ubeberu mtupu. Ni misinformation. Nimeonda wakongo wakitamba eti nchi yao jeshi imara namba 10. Jeshi la ovyo kama drc rushwa imetawala na majenerali feki wanaotokana na waasi wa maimai na wa kitutsi m23.
 
BBC wa ajabu Sana hawa.

Eti Tanzania ni nchi ya 23 kwa nguvu za kijeshi. Eti Congo DRC ni ya 10. Uganda 14 na Kenya 12.

1. Egypt, 2. Algeria 3. Nigeria 4 south Africa 5. Ethiopia 6. Angola 7. Sudan 8. Morocco 9.Libya na 10 ni Congo DRC.

Maajabu hayaishi duniani. Mbona Libya, Ethiopia, Congo DRC na Nigeria vita kibao na uimara huo wa Majeshi yao?

Source: BBC Swahili news.
Nguvu za jeshi la nchi halipimwi kwa vita ilizoshinda, bali kwa vifaa vya kivita ilivyonavyo. Kama nguvu ya jeshi ingekuwa inapimwa kwa vita ilizoshinda, chna isingekuwa ya pili au tatu, maana zaidi ya vita ya wao kwa wao haijapingana vita yoyote muhimu.
 
You have hit the nail on the head. Huwa najiuliza Sana ikatokea Hamza hamsini wameingia mtaani au kwenye soko Kama la kariakoo itakuaje?
Hapo ndgu yangu umesema uongo. Ungesema police na siasa ningekuunga mkono, lakini siyo jeshi. Ngoja nikimbie kwa daktari mizii, nitaongezea baadaye.
 
Naongea nachokijua, nimeishi Ethiopia miaka, na bado nipo huku. Nafahamu siasa za Ethiopia na mauaji yanayo endelea. Jiulize ni kwanini Ethiopia ilimshindwa Eritrea? Unawajua Tigray wewe? Unajua ni kwanini Waziri ana haha kuwamaliza lakini kashindwa? Jeshi la Ethiopia halimuwezi Mtigray hata siku moja. Ndo maana linaomba msaada toka Eritrea, na majeshi ya Amhara.

Wewe inaonesha hujui vizuri Ethiopia na historia ya wa Tigray. Nchi kadhaa uonesha silaha zake kutaka ufahari si kwamba wanaficha. Marekani uonesha, Korea, China, na zinginezo. Hata hapa majuzi Ethiopia kaonesha siraha zake kuwatisha Tigray, lakini anapokea kichapo haswa. Tigray wameingia hadi Amhara, wamefunga njia ya barabara na reli ya Djibout na Ethiopia. Na sasa wapo Gondar ambao ni mji mkubwa.

Usiongee story tu, hujui mengi ya Ethiopia. na hujui jeshi la Ethiopia? Unajua ni akina nani walikuwa jeshi la Ethiopia, na kwanini sasa jeshi linalegalega? usiongee kitu usichokijua.
Tigray anaelekea kushindwa,mkuu.
 
BBC wa ajabu Sana hawa.

Eti Tanzania ni nchi ya 23 kwa nguvu za kijeshi. Eti Congo DRC ni ya 10. Uganda 14 na Kenya 12.

1. Egypt, 2. Algeria 3. Nigeria 4 south Africa 5. Ethiopia 6. Angola 7. Sudan 8. Morocco 9.Libya na 10 ni Congo DRC.

Maajabu hayaishi duniani. Mbona Libya, Ethiopia, Congo DRC na Nigeria vita kibao na uimara huo wa Majeshi yao?

Source: BBC Swahili news.
Matifa wanayoyaangalia ni yale yaliyofanya biashara ya kununua silaha waziwazi na kumbukumbu zipo wazi lakini Tz Mtindo wake wa ununuzi wa zana za vita upo kisiri sana hivyo hawana takwimu
 
Matifa wanayoyaangalia ni yale yaliyofanya biashara ya kununua silaha waziwazi na kumbukumbu zipo wazi lakini Tz Mtindo wake wa ununuzi wa zana za vita upo kisiri sana hivyo hawana takwimu
ni jambo jema kuwa na usiri ktk silaha na mbinu za kivita kwa ujumla.ila naona maonyesho ya majeshi yetu wakati wa sikukuu ya UHURU ni mambo yalopitwa na wakati sana.kwa mfano kuvunja matofali,kubeba mavitu mazito,kutembea kwenye kamba nk.ni vizuri jeshi letu lingejikita kwenye TECHNOLOGIES .siku ya sherehe ya uhuru waje na maonyesho ya TECHNOLOGY,
kwa mfano wanaweza kuwa viwanda vya kuzalisha silaha hapa Tz,viwanda vya magari , tractors, electronic surveillance, computer technologies nk.hii itajenga jeshi imara lenye ubunifu wa hali ya juu ktk technologies na kusaidia kukuza na kuendeleza viwanda Tz,
 
Vipi wametoa list ya kijeshi Ulaya?
Maana Uingereza sio ya kwanza.
 
BBC wa ajabu Sana hawa.

Eti Tanzania ni nchi ya 23 kwa nguvu za kijeshi. Eti Congo DRC ni ya 10. Uganda 14 na Kenya 12.

1. Egypt, 2. Algeria 3. Nigeria 4 south Africa 5. Ethiopia 6. Angola 7. Sudan 8. Morocco 9.Libya na 10 ni Congo DRC.

Maajabu hayaishi duniani. Mbona Libya, Ethiopia, Congo DRC na Nigeria vita kibao na uimara huo wa Majeshi yao?

Source: BBC Swahili news.
Weka hapa link ya hiyo habari, halafu tuwekee hapa utafiti wako
 
M
BBC wa ajabu Sana hawa.

Eti Tanzania ni nchi ya 23 kwa nguvu za kijeshi. Eti Congo DRC ni ya 10. Uganda 14 na Kenya 12.

1. Egypt, 2. Algeria 3. Nigeria 4 south Africa 5. Ethiopia 6. Angola 7. Sudan 8. Morocco 9.Libya na 10 ni Congo DRC.

Maajabu hayaishi duniani. Mbona Libya, Ethiopia, Congo DRC na Nigeria vita kibao na uimara huo wa Majeshi yao?

Source: BBC Swahili news.
Mbona mtandao wa GLOBAL FIRE POWER unaonyesha hivyo hivyo, kuwa Tz ni ya 23 kwa nguvu za KIJESHI Afrika?

 
Tuombe vita ya kirafiki baina ya nchi na nchi final tujue nchi ipi inaongoza kijeshi.
 
Ni kweli maana jeshi letu siku wakisema wapigane vita watakaopigana ni robo yao tuu maana wengi watapiga simu kwa baba zao ambao ndo wakuu ,hili jeshi ni wamejaa wala mshahara watoto wao wenyewe jeshi ni la kisiasa aliajiri vijana wazarendo ambao wapo tayari badala yake nawfasi wanapewa wakuu ili waweke nduguzao

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom