Mitaji inatolewa kwa wakulima na riba imepungua pia masoko yapo ya kutosha nje ya nchi kipindi hiki cha uongozi wa Rais Samia Suluhu kilimo kimepewa kipaumbele na kuna dalili zote za wakulima wengi kuwa matajiri wakubwa maana pembejeo za kilimo zinapatikana kwa gharama ndogo sana na wanauza mazao kwa bei ya juu na sio bei ya kupangiwaSerikali iache siasa, tatizo la wakulima nchini ni MITAJI NA MASOKO. Ijikite kutatua hilo
Ndio unachowazaSerikali iache siasa, tatizo la wakulima nchini ni MITAJI NA MASOKO. Ijikite kutatua hilo
Kwenye uongozi wa Rais Samia Suluhu hakuna kitakachoshindikana hili limeanza na lazima liwanufaishe vijana wengi zaidi kama ilivyokusudiwa
lakini pia umeongelea Elimu ni kweli elimu ya Tanzania haimuandai mwanafunzi kujiajiri na Rais Samia Suluhu ameliona hilo na ndio maana unaona anamkakati wa kubadili sera ya elimu ili ifundishwe kwa kuwawezesha wahitimu kuajiajiri
Kilimo pekee haiwezi kuwa suluhisho la ajira na ndio maana vinajengwa vyuo vya veta katika wilaya zote nchini lengo ni kuhakikisha vijana wanapata uwezo wa kujiajiri na kuajiri Mama hajaishia hapo tu anaboresha na ufugaji pia kwa kugawa madume ya ng'ombe kwa wafugaji ili waweze kufuga kisasa na kuboresha biashara ya nyama na mifugo
Vijana wangenufaika kama kila kijana angeingia kwenye kilimo ktk eneo analoishi siyo asubiri kuhamishwa na serikali kwenda sehemu nyingine. Hii ni ajira kwa mgongo wa nyuma. Na tunataka vijana wajiajiri siyo waajiriwe.kwaiyo tukae hapa tusubiri jinsi vijana wengi watakavyonufaika na kilimo
Are you serious?Mitaji inatolewa kwa wakulima na riba imepungua pia masoko yapo ya kutosha nje ya nchi kipindi hiki cha uongozi wa Rais Samia Suluhu kilimo kimepewa kipaumbele na kuna dalili zote za wakulima wengi kuwa matajiri wakubwa maana pembejeo za kilimo zinapatikana kwa gharama ndogo sana na wanauza mazao kwa bei ya juu na sio bei ya kupangiwa
Nioneshe hata kitu kimoja Cha maana ambacho CCM wamewahi kufanikiwa?Kwenye uongozi wa Rais Samia Suluhu hakuna kitakachoshindikana hili limeanza na lazima liwanufaishe vijana wengi zaidi kama ilivyokusudiwa
lakini pia umeongelea Elimu ni kweli elimu ya Tanzania haimuandai mwanafunzi kujiajiri na Rais Samia Suluhu ameliona hilo na ndio maana unaona anamkakati wa kubadili sera ya elimu ili ifundishwe kwa kuwawezesha wahitimu kuajiajiri
Kilimo pekee haiwezi kuwa suluhisho la ajira na ndio maana vinajengwa vyuo vya veta katika wilaya zote nchini lengo ni kuhakikisha vijana wanapata uwezo wa kujiajiri na kuajiri Mama hajaishia hapo tu anaboresha na ufugaji pia kwa kugawa madume ya ng'ombe kwa wafugaji ili waweze kufuga kisasa na kuboresha biashara ya nyama na mifugo
💯 Correct question!.Hao vijana wamepatikana kwa utaratibu upi?
Wale wanaojitolea jeshini pia wangepitia mafunzo haya na muda uwe mchache ili kuwafikia vijana wengi zaidi.
Unapewa maarifa na mtaji juu ila waendelee kuwa chini ya ufuatiliaji baada ya mafunzo kuna hadi wanyoa viduku hapo ruzuku watazibetia.
Nakubaliana na ww asilimia 100%,tatizo tulilo nalo zaidi tanzania ni la SOKO na siyo mafunzo,elimu wanayoitoa leo Dodoma ingefaa kutolewa zaidi mashuleni kilimo kikipewa kipaumbele kama sehemu ya mafunzo ya lazima kwa vijana,tunachakula kingi lakini hatujui njia bora za KUHIFADHI,NAMNA BORA YA KUONGEZA THAMANI YA MAZAO YETU,URASIMU WA TAARIFA SAHIHI NA UUZAJI WA MZAO YETU.
....ingefaa kutolewa zaidi mashuleni kilimo kikipewa kipaumbele kama sehemu ya mafunzo ya lazima kwa vijana.....
Mitaji inatolewa wapi ndugu? Bank ya kilimo imejaa ukiritimba wana zaidi ya mwaka sasa wanafuatilia mikopo yao bila mafanikio, acheni siasa na porojo kwenye mambo ya msingiMitaji inatolewa kwa wakulima na riba imepungua pia masoko yapo ya kutosha nje ya nchi kipindi hiki cha uongozi wa Rais Samia Suluhu kilimo kimepewa kipaumbele na kuna dalili zote za wakulima wengi kuwa matajiri wakubwa maana pembejeo za kilimo zinapatikana kwa gharama ndogo sana na wanauza mazao kwa bei ya juu na sio bei ya kupangiwa