Ahahahahahahah aisee Nimecheka sana, yaani akina Kyosak wanakwambia kuajiriwa ni kupoteza muda wakati hela ya kuchapisha vitabu ilitokana na ajira baada ya kuvuna vyakutosha ndo akaacha!BBT ni Kilimo Cha kwenye Tablet, sawa na zile stori za kilimo cha matikiti za whatsapp
Wanapata hela Kwa kuuza vitabu vya jinsi ya kujiajiri ahahahah! Sijui nimeeleweka?
Siku Moja nilihudhuria motivational accasion Moja pale msasani kwakweli ndo ulikuwa mwanzo wa mwisho wa kujuana na hao ngulumbili!