Mdudubitehunter
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 309
- 538
Ndoivo yn ulivyosikia na ni kweli kabisa mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa baba G ...?Ni Moyo wa Baba G.
mahaba niuwee uniponde ponde kama nyanya.
Vp ushaanzakukojozwa au bado maana ulituambia 10 yes hujawai kukojozwa
Ni kijana mtanashati ambaye mafanikio yake yanawafanya vijana wavivu wavivu wasojitambua wampe majina ya hovyo
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Anjiita Twangala..ana roho mbaya Kama shetani.. kipindi clouds wanaugonvi na Jay dee..Kuna mtanzania alipiga simu kwenye kipindi chake Cha xxl kuomba wimbo wa Jay dee..nakumbuka huyu B dozen alimtukana PUMBAVU? Live kwenye radio..japo miaka imepita lakini nakumbaka Hadi leo..
Ni Moyo wa Baba G.
mahaba niuwee uniponde ponde kama nyanya.
Ni mtaalam wa masuala ya habari duniani akiwakilisha TZ
Kwanini hujawauliza hao kina juma lukole ulipowakuta wanamuongelea?
Hivi na juma na kwisa ni wale wanaoitwa hawana makuu?
Ukisikia mtu anasema fulani anatafunwa ujue na yeye ni mshirika.
Anaitwa Hamis Mandi, ni mtangazaji wa EFM na kabla ya hapo alikua clouds. Ni kijana mchapakazi na anamiliki brand maarufu ya nguo inayoitwa "Born To Shine".
Inasikitisha sana kwa kweli.
Ndoivo yn ulivyosikia na ni kweli kabisa mkuu
Nadhani Anaenda kuwa msemaji wa simba fc muda sio mrefu[emoji1]
Ulishindwa nini kuwauliza hao hao watu wa kijiweni?
Na wasiwasi na maada hizi za ndugu yetu muandishi
Una tabia za kike umeshindwa nini kuwauliza hao walio kua wanaongea !?Leo nimepta sehem nimekuta watu wanamuongelea bdozen ila nilikuwa na haraka sikuelewa story nzima
Huyu mtu ni nan and why watu wanamuongea hivi [emoji848]