Mara ya Kwanza kuona mwanamke akibakwa ni kawe beach enzi hizo za ujana,nilikuwa mtu wa beach sana maana nimetoka mkoani kuna bahari so nilikuwa napenda kuogelea tangu nikiwa mkoa..
Jamaa wawili wamempandisha mdada mmoja mkali Sana mweupee anaonekana km wa Arusha maana hajui kuogelea na Kiswahili cha chuga.Wahuni walianza nae mdogo mdogo wakimpetipeti Kama malkia yeye amejilaza Tu kwenye Ile tube, taratibu wanasogea nae maji makubwa.
Kuja kustuka wanebaki watatu tu tena wamejitenga mbali na watu..baada ya dakika Kama kumi binti anatapatapa pale kwenye tube Kwa mbaliii kumbe wahuni wanaichakata mbususu Kwa chini..Dakika mbili bibie anakuja nchi kavu huku macho yamemtoka km ngumi alafu mekundu balaa, wenzie aliokuja nao wanamuuliza vipi mbn upo hivyo,akawajibu tuondokeni huku machozi yanamlenga..Jamaa mmoja pembeni yangu akasema huyu tyr w*sh*mt©mb@ kule kwenye maji mengi ndiyo maana amepagawa hivi halafu hasemi tatizo
Mwingine nilishuhidia wakimbaka longoni beach,Kwa wanajeshi pale kigamboni,binti walimvuta Hadi kwenye ksiwa cha jiwe Fulani kubwa(wanaopajua longoni beach wanaelewa) wakamwambia hapa hatukurudishi na tairi tunalitoa hewa ukitaka Toa mzigo tuchakate.
Hizi beach ni hatari siyo Kwa watoto pekee Bali pia hata Kwa wadada/mabinti,wengi sn wanabakwa na hawasemi wansona aibu